Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,414
- 5,697
Nasikitika tuu Sam na zile mbwembwe zake sitaziona maana huko sijui hata huwa ni chanel gani
.....mbowe aangekubali ahojiwe ni kivipi alitia gia angani angejibu !?Afadhali....
Maana alikuwa anahoji na kualika maccm tu.
Huko kunamfaa.
Kitengo mawasiliano mjengoni(Gerson Msigwa ) ,miezi kumi mingi utamuona analipoti ziara Mzee. Channel watu wanafata cyo heraSasa huyu nae kafuata nini huko?
Tuungame mkuu nyumbani kumenogaKilalakheli mkuu
Mara ya mwisho kuangalia taarifa ya habari ni mwaka 2015 kwenye uchaguzi..Tuungame mkuu nyumbani kumenoga
Ha haaa..nyumbani kumenoga mkuuUngana na ukoo wako
Leo jaribu mkuu hutajutaMara ya mwisho kuangalia taarifa ya habari ni mwaka 2015 kwenye uchaguzi..
JF yatosha kwa habari zote
Ha haaa..nyumbani kumenoga mkuu
Cha msingi kodi yako inatumika kuendesha Haina Shida MkuuHiyo idhaa kwa jinsi yeyote ile sitodhubutu kuiangalia hata kama atashuka malaika kuwa mtangazaji.