Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,126
- 6,764
Nilifikiri Lowasa Hayupo tena uongozini baada ya Mkuu kusema amekumbwa na ajali ya kisiasa.Hivi bado yupo -kivipi?
Kinyumenyume.Kama konda wa daladala haendeshi gari , lakini ndiye anayemwambia dereva simama, shusha, nenda, angalia Pesa, KULA VICHWA.