Saluni 50,000/- kanipoteza mazima

Saluni 50,000/- kanipoteza mazima

Hmm...hizo handbags ni authentic kweli au ndo zile za Kariakoo?

Manake mjini hapa nimeona hadi Buscemis zinauzwa Kariakoo....lakini ni feki feki feki.

Kuna wakati na mimi nilijitoa nikanunua Burberry hand bag e-bay. Niliikuta ile ile inauzwa Mwenge mtumbani😛😛
 
Kuna wakati na mimi nilijitoa nikanunua Burberry hand bag e-bay. Niliikuta ile ile inauzwa Mwenge mtumbani😛😛

Za mitumba zipo lakini feki nadhani ndo nyingi zaidi.

Kibongo bongo wadada wengi hivyo kumiliki hizo high end designer products si rahisi.

Wengi wanazo feki tu.
 
20111214174138495.jpg
 
Za mitumba zipo lakini feki nadhani ndo nyingi zaidi.

Kibongo bongo wadada wengi hivyo kumiliki hizo high end designer products si rahisi.

Wengi wanazo feki tu.
Hii ndio bongo mkuu unapata hadi Rolex kwa 50,000/- tu!
 
Mkuu, hapo umemkosea, ungempatia tu, hicho ndo kipaumbele chake, zingatia kuwa hapo alikuwa anakuomba mtaji ajitengeneze, apenedeze, avutie na kupendwa na wateja wengi zaidi kule bar ili aongeze kipato kwa kutongozwa na wanaume wengi, ni sawa na kama angekuomba hiyo pesa na kuiwekeza kwenye biashara.

Yote ni ulofa tu.Kwani hadi yeye kumtamani anadhani alipendezeshwa kwa kiasi gani?Ni kweli hicho ni kipaumbele chake kuongeza soko.Dandia pale ubavu unapokuruhusu kwani hata wa buku tatu wapo.Angeombwa buku tatu angehoji za kazi gani na hivyo vipaumbele vingehojiwa?
 
Hao kijiji kwao ni nyumba ya miti Na anang'ang'ania town mwaka wa 10 huu analipa kodi akienda hom kijiji anapeleka zawadi ya nguo hom. Kupato cha Laki Na nusu nywele 50000, mwambie atoe mshahara wake ajilupie hiyo 50000 kama atakubali, alikuwa anataka umuweke mjini tu huyo
 
Binti baa medi analipwa laki na hamsini kwa mwezi, anathubutu kuniomba elfu hamsini, sio kulipia kodi ya nyumba au kumsaidia mdogo wake ada bali akatengeneze nywele. Shenzi nimemuacha kuanzia leo, hajui vipaumbele vyake.
yaani hamsini unaona hatari?we ulitaka umpe ngapi?
 
Mbona hyo ni hela ya kawaida jamani,siku hiz salon zimepanda bei.kizuri gharamaaaaa....gharamikia tu mkuu.
 
Mimi ninashindwa kuelewa hapa unamkuta mtu anafanya kazi mshahara Tsh. 350,000 kwa mwezi lakini ana usafiri Suzuki four wheel drive, handbag ya LV au Gucci ya 1.2 mil, amesuka lace wig 300,000 tena yuko single.
Rejea maada yako sehemu. Atakuwa mistress Hugo.
 
Back
Top Bottom