Saluni 50,000/- kanipoteza mazima

50000 mtaji wa mtu huo we unataka ukarekeabishe nywele bora ungesema unaenda kurekebisha ubongo ningekuelewa

nilivaa viatu vyako tu

Yaan watu wengine maboya kweli, ungedhani kwasababu ya shida angekuwa na akili zaidi.
 
Wanapenda makuu sana,ila kweli ndugu siku hizi wadada classic kusuka rasta elfu 50,sijui kuweka wigi elf 70,akitaka lace wig cjui lki 3, mbona utawakoma???tafuta size yako asie na makuu na anaewaza maendeleo mda wote..Sio hawa wa kuchuna wala show off
 
Wanapenda makuu sana,ila kweli ndugu siku hizi wadada classic kusuka rasta elfu 50,sijui kuweka wigi elf 70,akitaka lace wig cjui lki 3, mbona utawakoma???tafuta size yako asie na makuu na anaewaza maendeleo mda wote..Sio hawa wa kuchuna wala show off
Sina tatizo na huyo anayetumia laki saba kununua brazilian hair kama kipato chake au cha mume wake au familia yake kinafikia huko. Nina tatizo na huyu mwenye mshahara wa laki na nusu.
 
Binti baa medi analipwa laki na hamsini kwa mwezi, anathubutu kuniomba elfu hamsini, sio kulipia kodi ya nyumba au kumsaidia mdogo wake ada bali akatengeneze nywele. Shenzi nimemuacha kuanzia leo, hajui vipaumbele vyake.
Mkuu, hapo umemkosea, ungempatia tu, hicho ndo kipaumbele chake, zingatia kuwa hapo alikuwa anakuomba mtaji ajitengeneze, apenedeze, avutie na kupendwa na wateja wengi zaidi kule bar ili aongeze kipato kwa kutongozwa na wanaume wengi, ni sawa na kama angekuomba hiyo pesa na kuiwekeza kwenye biashara.
 
Mkuu akikuganda zaidi mdai risiti ya EFD kama Hana na wewe mwambie huna.
Lazima tujenge uchumi wa taifa letu bwana
 
Hahahahaha ulitaka bure? Kamuombe dadako atakupa bure
Busara ilitakiwa kwa nyote wawili kuepusha haya mambo.
jun255 hakuna sehemu nimesema bure, ninaweza kukununua wewe na mama yako mzazi hata kwa milioni kumi ila kwa mtu anayefanya kazi ya mshahara wa laki na nusu, sioni kama anatakiwa kutumia elfu hamsini kutengeneza nywele. BTW wewe na mama yako mnaweza kudai shilingi ngapi?
 
Busara ilitakiwa kwa nyote wawili kuepusha haya mambo.
Mkuu okonkwo mimi huwa busara yangu ipo kwenye kuepuka kum provoke mtu ila ikitokea umeni provoke nina dili na wewe kwenye hizo hizo frequency. Naamini kwenye jicho kwa kichwa falsafa.
 
50000 mtaji wa mtu huo we unataka ukarekeabishe nywele bora ungesema unaenda kurekebisha ubongo ningekuelewa

nilivaa viatu vyako tu
nywele ndio mtaji wake kwani wewe hujui. kupitia nywele atapata wateja wengi na itamlipa zaidi. hata huyu aliyekataa kutoa 50,000 huenda alimpendea nywele zilizotengenezwa vizuri
 
nywele ndio mtaji wake kwani wewe hujui. kupitia nywele atapata wateja wengi na itamlipa zaidi. hata huyu aliyekataa kutoa 50,000 huenda alimpendea nywele zilizotengenezwa vizuri
Kig kama una point hivi
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Mwanamke huwa haombi direct kuwa anataka pesa afanyie nini Ndio maana Hata mama zetu waliachiwa pesa ya mboga sisi tukavaa unadhani kina baba wote huwa wanatoa fungu Kwa ajili ya nguo? Labda za sikuu tu ila hizi Mara nguo za ndani haswa Kwa wale house wives huwa Ni mabaki ya chenji za sokoni

Taratibu jifunze kuwajua wanawake hapo nywele elfu 10 hardly , handbag 20 , voucher elf 5 , body spray 5 na 10 iliyobaki ni upkeep

Usikimbie mbio ndefu hivyo Kwa 50 elfu ya saloon. Mpe tu
 
Wanapenda makuu sana,ila kweli ndugu siku hizi wadada classic kusuka rasta elfu 50,sijui kuweka wigi elf 70,akitaka lace wig cjui lki 3, mbona utawakoma???tafuta size yako asie na makuu na anaewaza maendeleo mda wote..Sio hawa wa kuchuna wala show off
Shem aggy naomba tuongee kidogo pm dadangu
 
Back
Top Bottom