sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Inawezekana ana shida nyingine na si nywele kama alivyosema. Mana mwingine anadhani akisema shida halisi basi utaona kama upo pale kwa ajili ya kumtatulia shida zake . ndiyo maana katumia neno nywele kama urembo akijua atasuka ana kipendeza basi.