Salt n pepa! Enzi ya enzi

Salt n pepa! Enzi ya enzi

Ngoma yao ya Whatta Man ilinibamba sanaaaa...Verse ya kwanza hiyo tujikumbushe.

I wanna take a minute or two, and give much respect due
To the man that's made a difference in my world
And although most men are ho's he flows on the down low
Cuz I never heard about him with another girl
But I don't sweat it because it's just pathetic
To let it get me involved in that he said/she said crowd
I know that ain't nobody perfect, I give props to those who deserve it
And believe me y'all, he's worth it
So here's to the future cuz we got through the past
I finally found somebody that can make me laugh
(Ha ha ha) You so crazy
I think I wanna have your baby
 
Siwezi kuisahau Lets talk about sex.....enzi hizo birthday parties ni tukio kweli kweli! Ndio muda pekee unaweza kukaa ni mchuchu mpaka usiku!
Halafu mkafanya mar2c
 
Kwangu mm hawa ndio the best female rappers to ever walk on earth.
Ukiacha hawa kuna Queen Latifa, Yule Dem wa Non Chalant,Eve, Miss Eliot na wengine ktk Old School.
Hakuna cha Mainstream rappers kama akina Nick Manaj, nk.
Huyo Dada wa Non chalant kakichafua sana kwenye "5 o'clock in the morning"
 
Ngoma yao ya Whatta Man ilinibamba sanaaaa...Verse ya kwanza hiyo tujikumbushe.

I wanna take a minute or two, and give much respect due
To the man that's made a difference in my world
And although most men are ho's he flows on the down low
Cuz I never heard about him with another girl
But I don't sweat it because it's just pathetic
To let it get me involved in that he said/she said crowd
I know that ain't nobody perfect, I give props to those who deserve it
And believe me y'all, he's worth it
So here's to the future cuz we got through the past
I finally found somebody that can make me laugh
(Ha ha ha) You so crazy
I think I wanna have your baby
Hapo Treach wa Naughty By Nature anashikwashikwa....
 
Yule Eve wa rough raider first lady na kibao chake I got a men ilikuwa khatari sana kuanzia mdundo mpaka ujumbe.
 
Hapana Mkuu 🙂🙂

Nilikuwa na hio album 'nineteen NAUGHTY three' huo wimbo hip hop horay nilikuwa naflow neno kwa neno...verse ya Vinny ndio nilikuwa naipenda sana! Hivi uliwahi kuwa na ile nguo tulikuwa tunaita OPP? (Hoodie)
 
Nilikuwa na hio album 'nineteen NAUGHTY three' huo wimbo hip hop horay nilikuwa naflow neno kwa neno...verse ya Vinny ndio nilikuwa naipenda sana! Hivi uliwahi kuwa na ile nguo tulikuwa tunaita OPP? (Hoodie)
USA baby
 
saltpepper300.jpg
 
Kuna single moja hivi walitoa jamaa flani hivi wakijiita "Next" ngoma ikiitwa too close dah ilinishika ile mbaya.
 
too close had leo nasikiliza ipo mbele kabisa ktk laptop
huku push it wa salt n pepa hivo vitu hatare
 
Back
Top Bottom