Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Sasa alipoondoka ikabaki TC ladha tayari isha pungua hapo left eye ilikuwa khabari nyingine ile.She was the heart of TLC, without her TLC is not the same.
Sasa alipoondoka ikabaki TC ladha tayari isha pungua hapo left eye ilikuwa khabari nyingine ile.She was the heart of TLC, without her TLC is not the same.
Mkuu umenikumbusha mbali SWV. Nimesoma nikamkumbuka Deborah CoxMnapoanza kutukumbusha zama hizo za kina chumvi na pilipili huku kina Lisa (jicho la kushoto )pale SWV (sisters with sauti )jamani miaka hiyo ilikuwa na ladha yake tofauti sana queen latifah na dabrat wacha wakati uitwe wakati!
Mnh hapana kwa South nawakumbuka zaidi Dialom Kids na Makhotela QueensKuna group moja hvi la kisouth kama skosei jaman jina limenitoka sjui ni NAKOMAMANGA Mshana walipata hlo jina ni la nyimbo au Lao ka skosei waljtahid mnoooo pindi natolewa kamas na wakubwa
Hawa wadada walikua wa wap vileMnh hapana kwa South nawakumbuka zaidi Dialom Kids na Makhotela Queens
Basi ushanipata kwani umegusa mahala pake vipi kwema lakini?Swaiba nilikuwa nakusubiri utie neno
Pole sana kwa kukukumbusha enzi hizo yote haya kayaleta mshana na mwenzie BAK kazidi kuchagiza khabari hizi. Yaah Deborah coz nae hakuwa nyuma na kina braxtone miaka ya baadae ndio wakaja kina Lil'Kim faith Evans kina fox brown palikuwa patamu hapoMkuu umenikumbusha mbali SWV. Nimesoma nikamkumbuka Deborah Cox
Yatupasa tumshukuru huku pia kwemaMungu ni mwema kaka
Dah Faith Evans na ngoma yake ya ...have you ever been...Pole sana kwa kukukumbusha enzi hizo yote haya kayaleta mshana na mwenzie BAK kazidi kuchagiza khabari hizi. Yaah Deborah coz nae hakuwa nyuma na kina braxtone miaka ya baadae ndio wakaja kina Lil'Kim faith Evans kina fox brown palikuwa patamu hapo
Pana never gonna let you go na gone already nadhani kimoja kati ya hivyo ingawa imekuwa kitambo tenaDah Faith Evans na ngoma yake ya ...have you ever been...
BAK please do the needful
What a man....Salt N paper with Dj Spinderela, kama niko sahihi! Milikuwa dogo ila nakumbuka vibao vyao kama twist and shout, na zingine kadhaa nimesahau majina ila melody nakumbuka!
Lady of Rage...Yuko lage wa snoop dogg