Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Ukiwa hater bhna kila anachofanya mpinzani unahisi dongo kumbe mwenzio walaaa hana story
 
Kwanini wakimbizane kama jogoo,
Ainame kidogo ashike magoti, yeye kasimama kama ngongoti....... Daaaa noma sana
 
paper work zilifanyika mkuu.Muta Felicien aliekua meneja wa Saida kitambo alihusika since Saida alikua akiuza haki zote za umiliki(sijui kwa kujua au kutojua) kwake.sidhan kama Saisa atafaidika na lolote hapa.

btw:nimependa ubunifu wa video na kiwango cha Raymond..kazi nzuri
Wasanii wengi hawajui maana ya "publishing rights" See Music Publishing - How To Guide To Music Publishing | TuneCore

Bob Marley alipigania sana hizi rights, kuna wakati akawa anawapa rights mpaka ndugu zake na rafiki zake wa utotoni. Watu wakawa wanashangaa, mbona Bob Marley kawaandika hawa watu hata si wanamuziki kama ndio wana publishing rights za nyimbo hizi?

Sasa hivi hawa watu wamekuwa matajiri kwa sababu ya royalties na licensing fees.

Halafu Bongo hata sheria zenyewe sijui kama zipo za kueleweka.
 

Kuna mtu anaelewa hii lugha atutafsirie?

Mimi nilichoambulia ni Halidi na Philemon walipendana sana mapenzi yao yakadumu, mwenye wivu ajinyonge.

Halafu wanaoneshwa Wamasai wawili wanaume.

Sounds like a petition of sorts for gay marriage between two men.

Saida Karoli kukosa upeo kumemuangusha ingawa alitoa wimbo mzuri.

She was had such a huge hit, Uganda wakamuita wakategemea mtu mmoja sophisticated, wakakuta bonge la mshamba, wakashangaa sana.
 
upload_2016-9-19_17-45-58.png
upload_2016-9-19_17-49-12.png
upload_2016-9-19_17-52-45.png
 

Attachments

  • upload_2016-9-19_17-48-51.png
    upload_2016-9-19_17-48-51.png
    14.8 KB · Views: 40
Kilichonifurahisha zaidi kwenye wimbo huu ni jinsi alivyotumia tamathali za semi kwa wingi huku tafsida zikishamiri. Tz tunahitaji wasanii wa namna hii ili kukuza lugha yetu ya kiswahili.
 
yaan hii nyimbo jamani so hot.. daaahh chibu dii chibu deeeee uendelee kiwa huko huko juu,
 
Diamond kazindua wimbo wake mpya ni ule wimbo wa Saida Karoli wa Salome kaumix mix.

Mwanasheria wa Saida anapanga kwenda mahakamani. Itakuwa nafasi ya Saida Karoli kurudi kwenye muziki maana atalipwa mamilioni naona. Tusubiri tuone.

This Song was written by Diamond Platnumz & Rayvanny in Tanzania 2016. The beat was produced, mixed and got Mastered by Lizer from Wasafi Records Tanzania. The Video was shot in Tanzania by Director Nicorux from South Africa, on the 10th of April 2016.
hivi ulichoandika ume compare na mada tajwa hapo juu
 
N kwel diamond anaelekea kupotea
Hiv anaigaje wimbo kihivyo?
Kapoteza mvuto kabisa
Nijuavyo mm wimbo wa saida kalori
Hizo swagga ni za Saida
Nmepoteza mb zng kuidownload hii
Shame to u WCB
hivi ni kwanini umeandika wcb kwa herufi kubwa?

kama una akili utaelewa nini hapa
 
Back
Top Bottom