MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 503
- 398
Mziki kipaji sio kila saa nyoo
mimi nimecopy wimbo wa taifa. uchumi wangu ni $3 kwa siku.Ni kosa la jinai msanii kucopy kazi ya mwenzio, hapo adhabu itakua si chini ya 700 millions
Ni miaka zaidi ya 2000 sasa yesu bdo anaishi kwa baba yake,itakua kibaHabari wanajf!!
Mimi ni jirani wa ali kiba (msanii anayeishi kwa mama na kula ugali wa shikamoo).
Nadhani inafahamika kuwa mdogo wetu ali kiba ni kula kulala,asubuhi hii nimeskia ali kiba anaplay ngoma ya salome ilyo kuwa released na msanii wa karne simba vampire hivyo nimeshawishika kuamini kuwa ali kiba ni fan wa simba....
Ongera san mond platinum.. Simbaaaaa.Kanichambua kama karanga mama. Chambua kama karangaaa
Good morning mabibi na mabwana. Inatia moyo sana kuona msanii kutoka bongo land anaweka rekodi na kuivunja mwenyewe. Mpaka sasa hakuna msanii yeyote barani afrika ambaye Video zake zinatizamwa na watu wengi ndani ya muda mfupi kama Mondi Platnumz.
Sio kuwa tunajivunia Viewers ila tunajivunia Mziki wetu kutoboa zaidi Anga za kimataifa.
Japo kuna watu wachache walioanza kuleta chokochoko na kutaka wimbo huu mpya ufungiwe kwa madai ya kutokuwa na maadili ila wengi wetu tunampongeza kwa ubunifu na kumsaidia Bi Saida karoli kurudi tena masikioni mwa watu. Binafsi baada ya kusikia wimbo huu niliamua Kudownload na wimbo wa Saida karoli ili nione kama ameutendea haki wimbo huo.
Hongera Diamond platnumz na tunatarajia leo Tutahit 1M viewers ikiwa ni siku ya pili baada ya Salome Kufufuliwa.
Ujumbe wa leo " WENYE WIVU WAJINYONGE"
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]
Kanichambua kama karanga mama. Chambua kama karangaaa
Good morning mabibi na mabwana. Inatia moyo sana kuona msanii kutoka bongo land anaweka rekodi na kuivunja mwenyewe. Mpaka sasa hakuna msanii yeyote barani afrika ambaye Video zake zinatizamwa na watu wengi ndani ya muda mfupi kama Mondi Platnumz.
Sio kuwa tunajivunia Viewers ila tunajivunia Mziki wetu kutoboa zaidi Anga za kimataifa.
Japo kuna watu wachache walioanza kuleta chokochoko na kutaka wimbo huu mpya ufungiwe kwa madai ya kutokuwa na maadili ila wengi wetu tunampongeza kwa ubunifu na kumsaidia Bi Saida karoli kurudi tena masikioni mwa watu. Binafsi baada ya kusikia wimbo huu niliamua Kudownload na wimbo wa Saida karoli ili nione kama ameutendea haki wimbo huo.
Hongera Diamond platnumz na tunatarajia leo Tutahit 1M viewers ikiwa ni siku ya pili baada ya Salome Kufufuliwa.
Ujumbe wa leo " WENYE WIVU WAJINYONGE"
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]