Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Diamond alitakiwa kupata ruhusa kwa saida,.Duniani kote wasanii wakubwa wana utaratibu huu,.mfano ngoma aliyofanya mayunga na akoni chorus ilikuwa ya msanii wa zamani kutoka afrika ya kusini..walipata kibali(walitoa mtonyo) ndio wakapewa ruhusa ya kuachia ngoma
Wewe umejuaje kama ajapata baraka za wamiliki? Awezi kukurupuka kama unavyofikili ila dogo anawasumbua mnajua atafeli kesho kesho unaamka mnamuona anazidi kupasua tu...acha uchawi kijana
 
Sijui kwa nini ila mimi napenda mziki wa Mondi na wa Kiba equally...huwa natamani sana siku watoe collabo.

Naamini (napenda kuamini) wao hawana tofauti kama walivyo mashabiki wao..hivyo one day yes!!!

still hopeful...
 
Ila wimbo wame cover wa Saida Karoli, kama hawakuelewana kuna kesi hapa.

Hii hata si sampling, hii ni cover version.

Huu wimbo wa Saida Karoli kila mtu anayefuatilia muziki anajua, mpaka kuna movie moja ya Kimarekani ya Tyler Perry inaitwa "Peeples" umepigwa kama soundtrack.
1474282721573.png
 
Mwanamuziki wa kimataifa anayeshika namba mbili africa nzima kuwa na followers 2.7million nyuma ya David Adeleke Adedeji AKA Davido, Diamond Platnumz au ukipenda muite Simba vampire leo ametoa ahadi ya kutoa ngoma yake mpya endapo ngoma yake aliyofanya na p square iitwayo kidogo itafikisha viewers million 5 katika you tube

Mpaka sasa video hiyo imetazamwa mara 4,763,745

Diamond Platnumz ameachia wimbo mpya 'Salome' aliomshirikisha Raymond



Mashairi


[Verse 1: RayVanny]

Kioo hakidanganyi mama
Umejipodoa umepodoka
Mwendo na shape vyote mwanana
Mi suruali yanidondoka
Tukimbizane nini Salome wangu?
Hiyo michezo ya jogoo
Mbona watizama chini Salome wangu?
Ukimuona jongoo
Inama kidogo
Shika magoti
Mi nimesimama kama ngongoti
Mtoto jojo sio roboti
Chumbani bingiribingiri 'samasoti'

[Chorus: Diamond Platnumz]

Unantenkenyaga ukinyonga Salome
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Unantenkenyaga ukinyonga kweli
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Aaah orera bakuru vani
Orera ngambee
Orera na Zari ma
Orera ngambe

[Verse 2: Diamond Platnumz]

Utamu kolea a porokoto
Ting'ali ting'ali ndani kwa moto
Ntamnyongea msokoto
Nteme sumu kali kama koboko
Eeh mapenzi yananipa shida
(Shida mama)
Ni donda lisilokuwa na tiba
(Tiba bwana)
Usije baby ukanicharanga
Ukanichambua moyo kama karanga
Mie baby kwenye msambwanda
Huwa siendagi nge nge ni nga nga nga

[Chorus: Diamond Platnumz]

Unantenkenyaga ukinyonga Salome
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Unantenkenyaga ukinyonga kweli
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Aah orera bakuru vani
Orera ngambee
Orera na Zari ma
Orera ngambe

[Verse 3: RayVanny]

Miee mwenzako nyang'anyang'a
Miee binzari we ndio nyanya
Baby kwang'waru
Nisimamie kama kangaroo
Ibane kangwaru
Babu Juma mpige kwakwaru
(Kwakwarukwa)

[Bridge]
Asa chambua kama karanga sasa
(Chambua kama karanga)
Ichambue kama karanga Salome
(Chambua kama karanga)
Asa washa, washa, moto washa, washa
Songa, songa, ugali songa, songa
Mpaka chini ka chi
Mpaka chini ka chi

Wenye wivu wajinyonge leo
(Wenye wivu wajinyonge)
Aaah wenye wivu wajinyonge sana
(Wenye wivu wajinyonge)
Wenye wivu wajinyonge kweli
(Wenye wivu wajinyonge)
Oooh wenye wivu wajinyonge sana
(Wenye wivu wajinyonge)

[Outro]

Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Macho kodo!)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Wale kodo!)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Ukinyonga)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(We ukisonga)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa

-----------
View attachment 402995

WCB walimalizana na Uongozi wa Saida kabla ya kutoa kibao

“Tunakushukuru sana uongozi wa Saida Karoli na mzee Felician Mutakyawa kutupa haki na baraka zote kutumia wimbo wa Maria Salome,” aliandika Sallam instagram.

“Tunatambua kwamba nyimbo hii itaendelea kuwa moja ya nyimbo bora kuwahi kutoka katika nchi ya Tanzania,”

Saafi
 
anaweza wakati kakopy? aje na vitu vipya kama aje ya kiba
Ungekuwa mhaya sidhani kams hayo maneno ungeyakumbuka mwenzio kiba kaishakimbiwa na mafans wake wahaya wote kisa wimbo wa salome ngojea mond atoe wimbo mwingine wa kilughs chako utaona kama utamkumbuka huyo kiba
 
Ungekuwa mhaya sidhani kams hayo maneno ungeyakumbuka mwenzio kiba kaishakimbiwa na mafans wake wahaya wote kisa wimbo wa salome ngojea mond atoe wimbo mwingine wa kilughs chako utaona kama utamkumbuka huyo kiba
Watu wengine ni wa kuwapuuza tu ndugu yangu manake hawaongozwi na uhalisia bali wanasukumwa na kitu kingine!
 
Mwanamuziki wa kimataifa anayeshika namba mbili africa nzima kuwa na followers 2.7million nyuma ya David Adeleke Adedeji AKA Davido, Diamond Platnumz au ukipenda muite Simba vampire leo ametoa ahadi ya kutoa ngoma yake mpya endapo ngoma yake aliyofanya na p square iitwayo kidogo itafikisha viewers million 5 katika you tube

Mpaka sasa video hiyo imetazamwa mara 4,763,745

Diamond Platnumz ameachia wimbo mpya 'Salome' aliomshirikisha Raymond



Mashairi


[Verse 1: RayVanny]

Kioo hakidanganyi mama
Umejipodoa umepodoka
Mwendo na shape vyote mwanana
Mi suruali yanidondoka
Tukimbizane nini Salome wangu?
Hiyo michezo ya jogoo
Mbona watizama chini Salome wangu?
Ukimuona jongoo
Inama kidogo
Shika magoti
Mi nimesimama kama ngongoti
Mtoto jojo sio roboti
Chumbani bingiribingiri 'samasoti'

[Chorus: Diamond Platnumz]

Unantenkenyaga ukinyonga Salome
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Unantenkenyaga ukinyonga kweli
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Aaah orera bakuru vani
Orera ngambee
Orera na Zari ma
Orera ngambe

[Verse 2: Diamond Platnumz]

Utamu kolea a porokoto
Ting'ali ting'ali ndani kwa moto
Ntamnyongea msokoto
Nteme sumu kali kama koboko
Eeh mapenzi yananipa shida
(Shida mama)
Ni donda lisilokuwa na tiba
(Tiba bwana)
Usije baby ukanicharanga
Ukanichambua moyo kama karanga
Mie baby kwenye msambwanda
Huwa siendagi nge nge ni nga nga nga

[Chorus: Diamond Platnumz]

Unantenkenyaga ukinyonga Salome
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Unantenkenyaga ukinyonga kweli
(Unantekenyaga ukinyongaa)
Aah orera bakuru vani
Orera ngambee
Orera na Zari ma
Orera ngambe

[Verse 3: RayVanny]

Miee mwenzako nyang'anyang'a
Miee binzari we ndio nyanya
Baby kwang'waru
Nisimamie kama kangaroo
Ibane kangwaru
Babu Juma mpige kwakwaru
(Kwakwarukwa)

[Bridge]
Asa chambua kama karanga sasa
(Chambua kama karanga)
Ichambue kama karanga Salome
(Chambua kama karanga)
Asa washa, washa, moto washa, washa
Songa, songa, ugali songa, songa
Mpaka chini ka chi
Mpaka chini ka chi

Wenye wivu wajinyonge leo
(Wenye wivu wajinyonge)
Aaah wenye wivu wajinyonge sana
(Wenye wivu wajinyonge)
Wenye wivu wajinyonge kweli
(Wenye wivu wajinyonge)
Oooh wenye wivu wajinyonge sana
(Wenye wivu wajinyonge)

[Outro]

Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Macho kodo!)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Wale kodo!)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(Ukinyonga)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa
(We ukisonga)
Wanakodoa kodo!
Wanakodoa

-----------
View attachment 402995

WCB walimalizana na Uongozi wa Saida kabla ya kutoa kibao

“Tunakushukuru sana uongozi wa Saida Karoli na mzee Felician Mutakyawa kutupa haki na baraka zote kutumia wimbo wa Maria Salome,” aliandika Sallam instagram.

“Tunatambua kwamba nyimbo hii itaendelea kuwa moja ya nyimbo bora kuwahi kutoka katika nchi ya Tanzania,”

Chonka si diamond wakora mno wanyijukya omka ninja ugi chencha engoma ombugenyi yoyoyoyo mbaka singe tata
 
Mkuu hance mtanashati, kuna version ya Club Bangger (Official Audio) hapa, si mbaya ukiwawekea raia wapate imagination club itakuwa vp!!
 
Hii ngoma ni kali mno...Tulitegemea ule nisamehe wa Baraka na Ali ungekuwa mkali ila walituangusha wale jamaa...Diamond anajua kutumia nafasi kwa hili dude majamaa wamekuja kuivunja vunja Nisamehe.

Ila inaniuma kusema hivi maana mapenzi yangu kwa King Kiba ni makubwa mno ila Hapa no naacha unafiki.

Raymond ni nyokoo huyu mtoto...kwa mtazamo wangu kamfunika Boss wake kwenye hii ngoma.

[HASHTAG]#TeamKariakoo[/HASHTAG]
Diamond sio mtu mzur jaman kaivuruga vuruga nisamehe jaman eti ndo lilikuwa jiwe la mwaka uwiiiiii polen san tim k
 
Aisee huyu jamaa basi tena.....we unadhani kupiga Picha na Mr. Prezda mchezo??...kufunguliwa geti la Mr. Prezda eti ukamsalimie tu MCHEZO??....ujue nae kakubali mziki wa WCB...
Mwambieni Ali na yeye aende muone kama hajarushwa kichurachura kuanzia MSOGA mpaka DAR
 
Aisee huyu jamaa basi tena.....we unadhani kupiga Picha na Mr. Prezda mchezo??...kufunguliwa geti la Mr. Prezda eti ukamsalimie tu MCHEZO??....ujue nae kakubali mziki wa WCB...
Mwambieni Ali na yeye aende muone kama hajarushwa kichurachura kuanzia MSOGA mpaka DAR
 
Back
Top Bottom