Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

diamond kazindua wimbo wake mpya ni ule wimbo wa saida karoli wa salome kaumix mix
mwanasheria wa saida anapanga kwenda mahakamani
itakuwa nafasi ya saida karoli kurudi kwenye mziki maana atalipwa mamilioni naona
tusubiri tuone
Mbona hamkuwahi sema jide kaiba mhogo wa jang'ombe, siwema?
Je ule wimbo wa mr paul?
And sidhani kama diamond anaweza urudia pasipo idhini ya mwenye hati miliki.
Na ule wimbo saida siyo mwenye hatimiliki, mwenye hati miliki ni aliyekuwa meneja wake saida alisainishwa mkataba wa kinyonyaji.
 
Ukitunga yako utakuwa umefanya la maana
 
I dont know much about music lakini what i think ni kwamba yawezekana Diamond kafanya kitu kinaitwa sampling. Wasanii wa sikuizi wanachofanya wanacopy baadhi ya vipande vya nyimbo za zamani au hata melody na tune kabisa then wana modify wanaweka manjonjo au wanaibadilisha wanavooona wao inafaa then wanaachia mzigo. Mimi wala sishangai ingia chart za billboards top 100 ya mwezi huu utaona kuna ngoma ya BoB Marley-Is this love na kuna Tory Lanez-Luv ni mfano wa nyimbo zilizofanyiwa sampling na nyingine nyingi tu nikianza kumention hapa sitomaliza . Tory Lanez ametengeneza jina kwa kufanya sampling za nyimbo za watu.Anyways ngoja tuone itakuwaje lakini mi sidhani kama kaiba,lazima atakua kawasiliana na management ya Saida.
 
Mbona hamkuwahi sema jide kaiba mhogo wa jang'ombe, siwema?
Je ule wimbo wa mr paul?
And sidhani kama diamond anaweza urudia pasipo idhini ya mwenye hati miliki.
Na ule wimbo saida siyo mwenye hatimiliki, mwenye hati miliki ni aliyekuwa meneja wake saida alisainishwa mkataba wa kinyonyaji.
mkuu sio mimi mwenyewe nimesikia tu
 
Kweli kabisa. Ila atakua ashapewa hela yake, cdhan diamond kama kaiba. Atakua kafanya sampling, kashawasiliana na management ya Saida wamepewa hela yao.
Yeah maaana saida tulisha msahau
 
Back
Top Bottom