Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Kiba kaimba nyimbo ya ISSA MATONA kimaso maso, Jide muogo jang'ombe na siwema , Mr Paul zuwena hawa wote hawajashtakiwa ila diamond platnumz ndio ashtakiwe, punguza roho mbaya kwa kijana mwenzio mtafutaji.
 
Wamewekeza kwenye nyimbo nzuri na wameongezea ujanja wao imekua nzuri ila nashindwa kujua yupi ni diamond na yupi ni raymond, nitawatofautisha video ikitoka.

Pia ningependa kujua ni nani mnufaika wa copyright ya Salome original version iiyoimbwa na Saida Karoli?
Ni muhimu kujua hili kwakuwa huu mziki wa saida umepata mwekezaji anayeenda kupakua mamilion very soon kwa tunaofahamu muziki tumeshaona hilo tayari. Je bidada anakwenda kunufaika na nyimbo hii?
 
anaweza wakati kakopy? aje na vitu vipya kama aje ya kiba

Ebu acha kumlinganisha msanii wa kimataifa Domo na huyo local artist

Hajakopi wimbo mzima, ka chukua idea
Siyo wa kwanza na hata kuwa wa mwisho
Domo ashaimba nyimbo mpya mpaka ana tuzo za kimataifa. Uyo Kiba hizo mpya zime mfikisha wapi!!?

*muziki haumdai kwa sasa domo, yeye ndo anaudai

Wimbo mzuri sana
 
Hahaha yaani subiri mawingu fm waupige brush mbona utakubali mwenyewe
 
Hii nyimbo ni nzuri tu bila hata chenga ila itapendeza kama video itakuwa ya mahadhi kama ya nyimbo yenyewe na ichezwe kama kwa miondoko ile ile ya kihaya
 
Back
Top Bottom