sanjomnyama
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 261
- 160
Huyu jamaa kufulia kimziki msaahau kabisa anajua nin anafanya na anatafuta solo kote note ndo mana watyu wengine wanamwona kama anatumia kipupwe Noooo But mshkaji mtafutaji sana Leo Bongofleva,Mara Mduara Leo kwa hiv lazima awe juu sikuzote kwakuwa haoneshi kama karidhika japo ndo Artist wa Bongo Fleva mwenye mafanikio kimziki zaid kwa hapa kwetu Tz Leokwa Saida Tena??Hahah Bigg upp Mondi wachapeeeee
