F35-Bomber
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 1,245
- 965
Salary slip ya mwaka 2014 ntaipataje mkuu.
umetumia watumishi portal?Ninaambiwa sijahakiki akaunti. Kwamba nifanye hivyo kwa kubofya ktk email niliyotumiwa kwenye address yangu. Ila sijatumiwa chochote.
mkuu hii kitu sidhani kama utaweza kupatiwa,Salary slip ya mwaka 2014 ntaipataje mkuu.
Mkuu, Nimeshindwa kujisajili Utumishi Portal Baada Ya kujaza Jina,Email na Check No. Kuna Sehemu mbili chini ziko wazi hawajasema natakiwa nijaze ninimkuu hii kitu sidhani kama utaweza kupatiwa,
hii mifumo ya kujipatia salary slip online, ina salary slips za mwezi anzia huduma ilipozinduliwa.
mfano, kwenye website ya www.salaryslip.mof.go.tz kuna salary slips za mwezi July 2017 mpka mwezi November 2017.
pia kwenye watumishi Portal ni vivyo.
mkuu hakikisha una salary slip mkononi.Mkuu, Nimeshindwa kujisajili Utumishi Portal Baada Ya kujaza Jina,Email na Check No. Kuna Sehemu mbili chini ziko wazi hawajasema natakiwa nijaze nini
Labda itakuwa tekno hiyiwww.salaryslip.mof.go.tz
moja kwa moja mpka kwenye dawati la usajiri.
kama walivyosema ni ndani ya masaa 24 utakuwa umethibitishwa.
Angalizo : tumia kompyuta , simu za mkononi hazijawa na ufanisi mzuri zaidi japo zinajitahidi.
Vote na sub vote,angalia kwenye salary slipMkuu, Nimeshindwa kujisajili Utumishi Portal Baada Ya kujaza Jina,Email na Check No. Kuna Sehemu mbili chini ziko wazi hawajasema natakiwa nijaze nini
Ok sasa nikitaka ya mwaka 2014 naipatajemkuu hii kitu sidhani kama utaweza kupatiwa,
hii mifumo ya kujipatia salary slip online, ina salary slips za mwezi anzia huduma ilipozinduliwa.
mfano, kwenye website ya www.salaryslip.mof.go.tz kuna salary slips za mwezi July 2017 mpka mwezi November 2017.
pia kwenye watumishi Portal ni vivyo.
sijawahi kuona watu wa TPDF, Polisi, Magereza na Fire wanaomba kubadilishana vituo vya kazi, imekaaje iyo wakuuWatumishi wote
Ndiyo. Nimetumia watumishi portal. Nifanyeje ndugu.umetumia watumishi portal?
tumia www.salaryslip.mof.go.tzNdiyo. Nimetumia watumishi portal. Nifanyeje ndugu.
hiyo ni ngumu kuipata online katika website zote mbili watumishi portal na salaryslip portal, kwa lugha rahisi ni haipo.Ok sasa nikitaka ya mwaka 2014 naipataje
Ni kosa kufanya hivyo.sijawahi kuona watu wa TPDF, Polisi, Magereza na Fire wanaomba kubadilishana vituo vya kazi, imekaaje iyo wakuu
Bado nimekwama. Nikiingia naandikiwa hivi: SAMAHANI BADO HUJAHAKIKI AKAUNTI YAKO. HAKIKI AKAUNTI YAKO KWA KUBOFYA KWENYE BARUAPEPE YAKO ULIYOTUMIWA NA WATUMISHI PORTAL. Hata hivyo sioni baruapepe yoyote kutoka watumishi portal. Nifanyeje ndugu?
tumia salary portal usitumie watumishi portalBado nimekwama. Nikiingia naandikiwa hivi: SAMAHANI BADO HUJAHAKIKI AKAUNTI YAKO. HAKIKI AKAUNTI YAKO KWA KUBOFYA KWENYE BARUAPEPE YAKO ULIYOTUMIWA NA WATUMISHI PORTAL. Hata hivyo sioni baruapepe yoyote kutoka watumishi portal. Nifanyeje ndugu?
Kwenye email yako angalia kwenye "spam", email za utumishi haziko encrypted kwahiyo inapotumwa kwenda account ya gmail au hotmail haiendi kwenye "inbox" wanaitupia kwenye spamNinaambiwa sijahakiki akaunti. Kwamba nifanye hivyo kwa kubofya ktk email niliyotumiwa kwenye address yangu. Ila sijatumiwa chochote.