Taiq
Member
- Feb 14, 2023
- 83
- 71
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa viongozi wa TAMISEMI kwa kutuletea mifumo mbalimbali ya kiutumishi, ambayo ni mkombozi kwa mtumishi wa umma. Kwa nini mifumo hii ni mkombozi? Mifumo hii ni mkombozi kwa sababu zifuatazo:
1. Mifumo hii ni kipimo sahihi cha uwajibikaji.
2. Mifumo hii inakwenda kupunguza rushwa.
3. Kupitia mifumo tunaokoa muda wa kutumia nyaraka mbalimbali za kiutumishi na kupunguza urasimu kwa viongozi wasio waadilifu.
4. Pia mifumo itaipunguzia serekali ghalama za kutuma nyaraka mbalimbali za kiutumishi.
5. Mifumo ni chanzo pekee na sahihi kwa utunzaji nyaraka za kiutumishi.
Mwisho napenda kutoa ushauri juu ya baadhi ya watumishi wasio waadilifu ambao wameanza kutokutoa taarifa zisizo sahihi juu ya uwamisho kwa watumishi. Hivyo basi nawaomba viongozi watoe muongozo wa kiutumishi ambao utatoa suluhisho juu ya taratibu za uhamisho na hasa uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi kwa idara ya elimu na nyinginezo.
Kwa sasa kunataarifa zisizo rasimi ambazo zinadai uhamisho wa kubadilishana ni kwa ajili ya wafanyakazi wenye cheo kinachofanana. Je hizi taarifa ni sahihi na kama ni sahihi naomba mtusaidie muongozo.
1. Mifumo hii ni kipimo sahihi cha uwajibikaji.
2. Mifumo hii inakwenda kupunguza rushwa.
3. Kupitia mifumo tunaokoa muda wa kutumia nyaraka mbalimbali za kiutumishi na kupunguza urasimu kwa viongozi wasio waadilifu.
4. Pia mifumo itaipunguzia serekali ghalama za kutuma nyaraka mbalimbali za kiutumishi.
5. Mifumo ni chanzo pekee na sahihi kwa utunzaji nyaraka za kiutumishi.
Mwisho napenda kutoa ushauri juu ya baadhi ya watumishi wasio waadilifu ambao wameanza kutokutoa taarifa zisizo sahihi juu ya uwamisho kwa watumishi. Hivyo basi nawaomba viongozi watoe muongozo wa kiutumishi ambao utatoa suluhisho juu ya taratibu za uhamisho na hasa uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi kwa idara ya elimu na nyinginezo.
Kwa sasa kunataarifa zisizo rasimi ambazo zinadai uhamisho wa kubadilishana ni kwa ajili ya wafanyakazi wenye cheo kinachofanana. Je hizi taarifa ni sahihi na kama ni sahihi naomba mtusaidie muongozo.