zunya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 1,484
- 991
lindo???? mmmh ni shikida kumbe ni jinaiNi kosa kufanya hivyo.
Hiyo ni sawa na kujipangia lindo wewe mwenyewe.
lindo???? mmmh ni shikida kumbe ni jinaiNi kosa kufanya hivyo.
Hiyo ni sawa na kujipangia lindo wewe mwenyewe.
Angalia kwenye spam emails, kama haipo wasiliana na dawati la msaada wapo fasta watakujibu inawezekana ulikosea email. Unawapa email sahihi na check namba watakurekebishia.Bado nimekwama. Nikiingia naandikiwa hivi: SAMAHANI BADO HUJAHAKIKI AKAUNTI YAKO. HAKIKI AKAUNTI YAKO KWA KUBOFYA KWENYE BARUAPEPE YAKO ULIYOTUMIWA NA WATUMISHI PORTAL. Hata hivyo sioni baruapepe yoyote kutoka watumishi portal. Nifanyeje ndugu?
mbona inasumbua sanaUkishajisajili nenda kaingie, haina haja ya kungoja link ya uhakiki mkuu
Tumia hiyo ya hazina ipo vizuri kuliko ya utumishi.mbona inasumbua sana
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai ikizingua tena njoo private.mbona inasumbua sana
Samahani ndg nimejisajil wizara y'a fedha bahati Mbaya laini namba y'a simu nimeibadili na email nimesahau Paeswordwww.salaryslip.mof.go.tz
moja kwa moja mpka kwenye dawati la usajiri.
kama walivyosema ni ndani ya masaa 24 utakuwa umethibitishwa.
Angalizo : tumia kompyuta , simu za mkononi hazijawa na ufanisi mzuri zaidi japo zinajitahidi.
Ninashida na salary slip najalib huko utumish portal VP naweza printSamahani ndg nimejisajil wizara y'a fedha bahati Mbaya laini namba y'a simu nimeibadili na email nimesahau Paesword
Kuna namba za simu hapo kwenye website.Samahani ndg nimejisajil wizara y'a fedha bahati Mbaya laini namba y'a simu nimeibadili na email nimesahau Paesword
Kwa kutumia computer ni rahisi zaidi.Ninashida na salary slip najalib huko utumish portal VP naweza print
Hawa ndo walimu wa dotcomSamahani ndg nimejisajil wizara y'a fedha bahati Mbaya laini namba y'a simu nimeibadili na email nimesahau Paesword
Mwezi andika kwa maneno mfano 11November2018Hawa ndo walimu wa dotcom
Unakumbuka email address uliyoitumia mwanzo? Kama unaikumbuka unaweza ku-reset password ukaendelea kuitumia ya mwanzo.naombeni msaada ni takribani miezi miwili sasa kuna akaunti niliyokuwa naitumia mwanzo na nilijiunga lakini sikufanikiwa ila nikaja nikafungua akaunti nyingine sasa naingiza taarifa za kujisajili wanasema your (check no yangu sasa)has already taken kila nikiingiza taarifa,,,sasa naomba msaada wenu
suala kama hili nadhani pale kwenye site husika kuna kipengele cha msaada, tumia hapo wata kusaidia nini chakufanya.naombeni msaada ni takribani miezi miwili sasa kuna akaunti niliyokuwa naitumia mwanzo na nilijiunga lakini sikufanikiwa ila nikaja nikafungua akaunti nyingine sasa naingiza taarifa za kujisajili wanasema your (check no yangu sasa)has already taken kila nikiingiza taarifa,,,sasa naomba msaada wenu
Unakumbuka email address uliyoitumia mwanzo? Kama unaikumbuka unaweza ku-reset password ukaendelea kuitumia ya mwanzo.
Check no moja haiwezi fungua akaunti mbili