Hahahaaaaa eeeeh nimekumbuka na nkamkumbuka na Bishanga wakati ule kabadili Location akaweka Unga LTD then alipofika kule akakuta vidume watatu nao wamejiexport lol ilikuwa kaaaazi true trueMie pia sijamwona mda mrefu sana..........umemkumbuka vile nimetaja unga ltd eeh?
Hahahaaaa Mentor kwanza huyo shem beibe nasty unataka namba yake ya nini wakati unaweza kuwasiliana kupitia namba ya Judgement ?Alafu Erickb52 unajua utani asubuhi asubuhi c mzuri!!!
Hahahaaa halafu na zile picha zimeondoka so atakuwa anatuma comment kavu eeehAsprin jirani yake kahama na lap top yake hivyo sio rahisi umwone jf siku za karibuni.........madhara ya kutumia vitu vya majirani haya!..........
Kaizer kuna mahali nimemwona anachokoza wenzie .........
Bishanga jana kalewa mpaka kazima mpaka mida hii.......chezeiya viroba wewe tena alikuwa hajakula chochote!
King'asti unataka kusema hawa Judgment na Mr Rocky wanakusumbuaje?
Hahahaaaa mi siwezi kuwa muha aisee coz wale jamaa ni wabishi dunia nzima hakuna lol
Unaweza kumwambia Kigoma hakuna bahari ye akakuambia kuwa ipo na mkabishana hadi panakucha lol
Hahahaaaa Mentor kwanza huyo shem beibe nasty unataka namba yake ya nini wakati unaweza kuwasiliana kupitia namba ya Judgement ?
Au ndo unataka kumzunguka kama Smiling Saint ?
Hahahahaaaa hata mimi nilikuwa naandika huku nacheka lol
Unajua ni wabishi kiukweli na sio natania
Heheheee najua lazma ujiteteee loolJamani jamani...unaona madhara ya kudandia treni kwa mbele!?? ungekuwa Lamu ushapigiwa 0713..lol! beibe nasty ni mdogo wangu (mtoto wa mama mdogo in real life) alitakiwa anipe namba ya shemeji Judgement tangu Ijumaa ila kaniekea pozi mpaka nimnunulie (*********)!!!
ndo nimekuja kumsemelea kwa mumewe...
Asprin popote pale ulipo you have been missed and heartfelt greetings to you too with love. Once you receive nisalimie Zion Daughter na wake zako wooote. Nimesahau majina ila namkumbuka tu cacico (sababu ni shoga yake mdogo wangu gfsonwin) na Kongosho sababu ako unique... lol
Hahahaaaa Kongosho umenichekesha na Kutunza harakati lol sikuwa naijua hiyo!Nawe umeadimika jamani?
Nani anakutunza harakati?
(Note: Kutunza harakati = keep busy)
Asprin popote pale ulipo you have been missed and heartfelt greetings to you too with love. Once you receive nisalimie Zion Daughter na wake zako wooote. Nimesahau majina ila namkumbuka tu cacico (sababu ni shoga yake mdogo wangu gfsonwin) na Kongosho sababu ako unique... lol