Salamu Toka kwa Erickb52

Salamu Toka kwa Erickb52

Erickb52 umekuja kufuata nini bana
Nilikuwa nishashangilia naanza kumvizia Amyner kumbe unajitokeza bana
Afadhsali lakini umeenda kuwasalimia wale watoto wako kule meatu maana walikuwa wanapata shida sana Mtambuzi mbona umetoa piccha ya mke wangu Dena Amsi bana na mimi nilikuambia ni siri usiitoe
halafu Erickb52 nilimuona Asprin mitaa ya hapa sijui alikuwa anakuja kumkagua nani aise
na Bishanga nasikia anamuwania sana Amyner na alivyo na manoti chezea tajiri wa kihaya wewe utaangushwa soon
Hehehehheheheeeee Mr Rocky unadhani Amyner ni cheap kama wakezo Yummy na yule mpya(Jina kapuni)
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Nimezipokea kutoka uwanja wa NMC. Nipo nasikitika tu hapa!
Kaka nilikuja hadi mitaa hiyo ila hali ikawa mbaya nkaja kupumzika hm ntakucheki badae unipe updates za huko
Mwambie na sweetlady nangoja muhtasali wa yalojiri kama alienda NMC
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Dah Mtambuzi naomba picha ya mwanao King'asti coz nimemmiss sana na siunajua ndoa inakaribia hebu nipe faster
Mtoto akililia wembe mpe.......... Haya mwanangu King'asti huyu hapa......LOL

African-American-Marine-woman1.jpg
 
Last edited by a moderator:
Tumeshapata taarifa zako we Erickb52 huko mafichoni unachokifanya. Japo hukunikumbuka kwa salam lakini mimi nasema ahsante,


ujumbe: salam ni nusu ya kuonana
 
Last edited by a moderator:
Kaka nilikuja hadi mitaa hiyo ila hali ikawa mbaya nkaja kupumzika hm ntakucheki badae unipe updates za huko
Mwambie na sweetlady nangoja muhtasali wa yalojiri kama alienda NMC

Nilienda nikakuta holaaaa mwenzio ndio mana sijakustua.....ila jumanne tutawakilisha..... Afu hiyo tabia ya kubadilisha signature kila kukicha umeianza lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom