Salaamu kwa Wanaume.

Naomba tafsiri isiyo rasmi ya mwanaume mchoyo ikiwa mwanaume huyu ameoa ana provide kila kitu muhimu kwa familia yake lakini ni mzito kutoa pesa kwa mabuzi.
 
Wewe kujitegemea ni lazima, wewe ni binadamu mwenye jinsia ya kiume,unatakiwa ukaze,acha kujifananisha na na ke!imagine mkeo unayemuona ni tajiri leo kwenye pochi yake yupo na kadi za mwanamme ambaye si baba yake si angeacha?wewe ni mchoyo na ni MASKINI.....Mimi hata ukiniona maskini sijali wala nini maana hakuna tuzo ya mwanamke shujaa eti asiyependa kuhudumiwa
 
Hakuna namna utakwepa kumuhudumia mwanamke,huyo mke wako na u trust fund wake bado anakomaa na kadi zako utakwepea wapi kuhudumia mwanamke?pamoja na roho yako ya umaskini na uchoyo ila kuna mmoja kakuotea anakula kiulaini bila jasho
Issue si kumhudumia mwanamke.

Kila mwanamke anatakiwa kuhudumiwa. Kila mwanamme anatakiwa kuhudumiwa.

Issue ni kwamba wewe ni mwanamke golikipa. Hujui reciprocity.

Una mentality ya "Chako changu, changu changu".

Poverty mentality.

Wewe ni mwanamke golikipa unayetaka kuhudumiwa halafu zaidi ya kipapa huna cha ku offer.
 

Umekazana na reprocity,reprocity mbona nimeshaweka wazi tangu mwanzo mimi sio STRONG WOMAN!Mimi siamini katika huo Usawa nimeshastaafu huko,mimi sio feminist mimi ni mwanamke soft,na enjoy kuhudumiwa na mume wangu,take it or leave it ila huo ndio ukweli,na sio mimi peke yangu naongea kwa niaba ya wanawake wenzangu akiwemo na mke wako aliyehold kadi zako zote ili miamala iwe rahisi.
 
Wewe umekubali kuwa mtumwa kwa kupenda kuhudumiwa.
 
 

Attachments

  • IMG_0643.jpeg
    86.2 KB · Views: 6
Nashukuru, wiki hii naona umepunguza ujinga first born wangu
Mom,
mbona daima mimi hua naeleza ukweli mtupu tu jukwaani, tena ni kwenye mambo ya msingi tu?
Labda kuna watu wanakupotosha hasa Lamomy maana saa zingine hua ananikasirika bure tu. kua nae makini sana huyu akieleza chochote kunihusu 🐒
 
Mom,
mbona daima mimi hua naeleza ukweli mtupu, tena ni kwenye mambo ya msingi tu?
Labda kuna watu wanakupotosha hasa Lamomy maana saa zingine hua ananikasirika bure tu. kua nae makini sana huyu akieleza chochote kunihusu 🐒
🤣🤣🤣Hamna kiumbe namuamini kama huyo Lamomy kanyoooka sana kwenye Blue ni Blue,kwenye black ni black so ukiniambia nisimwamini unanipa tabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…