Salaamu kwa Wanaume.

Salaamu kwa Wanaume.

Wanaume siku zote wamekuwa wanawalea wanawake waliowakuta ukubwani bila masimangi huyu mwanaume mmoja tu au wachache wanaolelewa na wanawake wao wasisababishe masimango kwa wanaume wanaojitafuta wanaopewa pesa
Nature hairuhusu hayo mambo,ATASIMANGWA TU!
 
Mapadri hasa katoliki nyinyi siti ya mbele mbinguni maana mnajua kuhonga na kutunza michepuko yenu hadi mnajenga,na mnajua kufanana na watoto wenu aiseee!mbarikiwe
Aseee😃😃😃
GrJehQUXEAALhip.jpeg
 
ila nivyostaafu u strong woman nikajaelewa mwanamke yeyote ataendelea kuwa "strong woman mpaka pale atakapokutana na Mwanaume,elewa neno Mwana-mume!

Uzi hapa

cc ShesRise_1
Naunga mkono hoja Wallah wa billah🔥🔥 ngoja tuendelee kua strong woman mpka siku tukutane na Mwana -mume

Ila ukikuta na sample ya Natafuta Ajira utazeeka ukiwa strong woman 🤣🤣
 
Back
Top Bottom