Salaamu kwa Wanaume.

Salaamu kwa Wanaume.

Kumbukumbu yangu enzi sijazeeka, Mwanaume ukiwa unajua kuhudumia(ukiwa hauna mkono wa birika), ni mwendo wa kupewa yote tu kunako 6x6

Unakuta baby anajituma balaa kwa bed plus full kunyumbulika

Mwanaume unabaki unagugumia tu, wewe mtoto utaniua babu yako si unajua nimezaliwa mwaka 47 🤭

NB: Vijana kama unataka kufanya maendeleo, jitahidi usiwe na makando kando ya nyumba ndogo

Kumbukeni kuna Uzee
 
Unakuta mwanaume anamtunza mkewe na mwanaume huyohuyo Ukiachana na mke wake unakuta ana michepuko mitatu yote anahudumia,hakika nyinyi ni mashababi kabisa!Mbarikiwe sana ukiona unaangukia kwenye kundi hili ujue NAKUPENDA SANA endelea na moyo wako mzuri

Ahsante sana kwa upendo Shemeji.

Huu uzi hauwahusu wale wanaume waoga wa majukumu na wachoyowachoyo nyie uzi wenu siku nyingine nitawqpa salamu zenu

Kataa ndoa wote wa JF unawajua.
Ungewatag kabisa ..anyway kwakuwa haiwahusu basi tuwaache kwa leo😊😊😊😊
 
Back
Top Bottom