joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,164
- 31,748
Nimekuuliza kama ww ulivyo niuliza.unataka unisingizie nimekutishia na silaha eh ?
Nimekuuliza kama ww ulivyo niuliza.unataka unisingizie nimekutishia na silaha eh ?
Sasa kupeana mkono nyota unaibiwa kivipi ?Gubu tu maana Harmonizer alikuwa fursa kwao. Kijana anapiga show asilimia zote zinakwenda kwa kina salaam. Yeye anapewa pesa ya ice cream tu.Wanaogopana uchawi na kuibiana nyota
Yaani hii inafanana na umeajiriwa halafu mzigo mkubwa unapiga kazini ila malipo kiduchu.Sasa kupeana mkono nyota unaibiwa kivipi ?Gubu tu maana Harmonizer alikuwa fursa kwao. Kijana anapiga show asilimia zote zinakwenda kwa kina salaam. Yeye anapewa pesa ya ice cream tu.
hahaha!nlikuwa nadhan ntasoma mpk mwsho bila kukuta rply kama hii,asnte sanaa kwa huu ushaur mkuu,acha nkaangalie uzi nyingine maana tayar ushaifungia hapaKama wewe ni mwanaume na umeandika hiyo heading,jitafakari............
sijui ni kukuTafsiri ya neno KWIOO jaman mmeniacha naona wenzangu mnachangia tuvinaonyesha mmeelewa
Labda tusubiri wengne watafafanua zaidsijui ni kuku
Sasa hivi anapata ngapi na amepiga show ngapi ?Sasa kupeana mkono nyota unaibiwa kivipi ?Gubu tu maana Harmonizer alikuwa fursa kwao. Kijana anapiga show asilimia zote zinakwenda kwa kina salaam. Yeye anapewa pesa ya ice cream tu.
Anaogopa Coronani wivu tu
Ndio ubinadamu kila mtu anachangamoto yakeSalaam SK kumbe bado hajavunja ungo
Kwio ni sauti anayotoa Kuku. Kuku maana yake ni qummer kwa uswahilini. So katika ule wimbo unavyosema 'Unamtaka kwio' actually alimaanisha 'Unataka qummer'Tafsiri ya neno KWIOO jaman mmeniacha naona wenzangu mnachangia tuvinaonyesha mmeelewa
Kuwa huru ni kila kitu. Sio unatoka jasho hata mia haupati eti kisa wao ndo wamekitoa.Sasa hivi anapata ngapi na amepiga show ngapi ?
Dah hatar sana mkuu kama hyo ndio tafsir yenyewe Asante kwakunifahamisha piaKwio ni sauti anayotoa Kuku. Kuku maana yake ni qummer kwa uswahilini. So katika ule wimbo unavyosema 'Unamtaka kwio' actually alimaanisha 'Unataka qummer'
Hivyo kwio ni qummer.
Harmonize amejaribu sana kuenda sawa na wenzake aliowaacha WCB lakini jamaa wamejenga chuki kubwa dhidi yake.Msibani morogoro mazishi ya Mke wa Babu Tale, SALAAM SK mmoja wa mameneja wa Diamond akataa mkono wa HARMONIZE, binfsi sijapenda bifu hadi msibani? kama hasira angekuwa nazo Harmonize kwa zile M600, sio yeye. Nb kumbe Wcb walikuwa wanafaidika na uwepo wa TEMBO sasa mambo magumu