cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,338
Hahaaa hajawa maturedSalaam SK kumbe bado hajavunja ungo
Hahaaa hajawa maturedSalaam SK kumbe bado hajavunja ungo
YALA ROHO YANGUSalaam SK kumbe bado hajavunja ungo
Wivu tu.
Tafuta clip ya msiba wa msanii wa The mafikWalimkimbia vip mkuu tupia kapicha kidogo
Umejuane huyo ni mtoto wa kiume?huu uandishi wa Mtoto wa Kiume kuanza kuandika KWIOO umeanza lini...au ndo mtoto wa kiume wa 5 katika familia yenye MABINTI wa4
Kwio hutolewa na wanawake, so kama mtoa mada ni mwanamke hapo haina nongwa ila kama ni mwanaume basi atakuwa mtoto si rizkiTafsiri ya neno KWIOO jaman mmeniacha naona wenzangu mnachangia tuvinaonyesha mmeelewa
WA MJINI TUJUZENI KWIO NDIO NINI JAMANI ? LOL
SIJAONA KIONGOZI, JUZI PIA NILISIKIA HUKO NJIANI....ETI KWIO AKE ! MNI TAG PLIIZ MAANA NILIVYOSIKIA KWIO AKE NIKAJUA KUKU WAKE AU MCHUMBA WAKE ! SASA HAPA KILA NIKIUNGA KAMA LINAKATAAWameshatoa maana mkuu pitia huko juu japo n kama matusi vile kwa huku kwetu HUNGUMALWA SHINYANGA huwezi tumia neno hili
Robidinyo katoa neno,😀😀😀😀😀Sallam fala tu, zee la misifa sana na limefanya makusudi ili lizungumziwe, baada ya siku kadhaa utaona linapewa interview
Baada ya konde kusepa wcb posho za mameneja zilipungua, ndo maana hilo fala limenuna ni tabia za kike
Sio kweli.Kwio ni sauti anayotoa Kuku. Kuku maana yake ni qummer kwa uswahilini. So katika ule wimbo unavyosema 'Unamtaka kwio' actually alimaanisha 'Unataka qummer'
Hivyo kwio ni qummer.