kibakuli tz
Member
- Jun 27, 2020
- 6
- 8
kwa kwelini wivu tu
kwa kwelini wivu tu
Kwa kwelini wivu tu
Sawa ata africa iliachwa kuwa huru , lakini yanayotokea wote tunayashuhudiaKuwa huru ni kila kitu. Sio unatoka jasho hata mia haupati eti kisa wao ndo wamekitoa.
Walimkimbia vip mkuu tupia kapicha kidogo
Umeanza kwenye kafara ,sasa hivi upo kwenye kuzulumiwa kwani mara kwanza alikuwa anaingiza kiasi gani na kulipwa kiasi gani?Kuwa huru ni kila kitu. Sio unatoka jasho hata mia haupati eti kisa wao ndo wamekitoa.
Mbona Maalim Seif Sharif Hamad alikataa mkono wa Ali Mohammed Shein kwenye msiba wa Aboud Jumbe Mwinyi, lakini sijakusikia hata siku moja unalalamika?Msibani morogoro mazishi ya Mke wa Babu Tale, SALAAM SK mmoja wa mameneja wa Diamond akataa mkono wa HARMONIZE, binfsi sijapenda bifu hadi msibani? kama hasira angekuwa nazo Harmonize kwa zile M600, sio yeye. Nb kumbe Wcb walikuwa wanafaidika na uwepo wa TEMBO sasa mambo magumu
Umemalizaaaaaaah haswaaahChakufurahisha hapo ni Tembo anajilisha na kulisha, Salama bado analishwa na Mondi. Wanaume wasio riski utawajua tu.
Tembo ndo maana anafanikiwa, anajua kujishusha. Hata hiyo yakwenda mpaka Morogoro, inahitaji moyo. Angeweza kuishia hapa hapa Dar.
Hapo ndo binadamu tuone thamani ya kuwa ´´Mungu si Athumani.´´. Maana angekuwa ni mwanadamu kama Athumani au huyo Salama, kutoa riziki kwa roho zetu hizi, wengi tungekufa njaa.
acha mambo yako ya Ajabu kama ni Mtoto wa kiume...Mwanaume unaanzaje kuandika neno KWIOO, badirika Mzee babaWe gasho nin!
Kwa hio Konde boy alikuwa punda ?Wbc managers,akili zao wanazijua wenyewe. Bifu la nini wakati Harmonize alishawalipa chao ?Au ndo walitaka waendelee kumnyonya ?Na hivi Magu kadhibiti wauza ganda Sallam ndo hana chake kabisa,na Coronavirus nayo ikaja kupigilia msumari.
Nilikumbuka hilo tukio nilipoona hii "SREDI".
Kumbe walikuwa wanabeba Ganda Sasa Hali itakuwa mbaya maradufu.Wbc managers,akili zao wanazijua wenyewe. Bifu la nini wakati Harmonize alishawalipa chao ?Au ndo walitaka waendelee kumnyonya ?Na hivi Magu kadhibiti wauza ganda Sallam ndo hana chake kabisa,na Coronavirus nayo ikaja kupigilia msumari.
KumbeWanaogopana uchawi na kuibiana nyota