hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Jamaa wana roho za kikoloni sanaYaani hii inafanana na umeajiriwa halafu mzigo mkubwa unapiga kazini ila malipo kiduchu.
Mara ukaacha kazi ukaamua kujiajiri halafu ukatusua ile mbaya.waajiri wako wa zamani wakikuona lazima wakuchunie