Sala ya siku 3, je kama nchi tuna nini? Tunaomba huku hakuna juhudi za kupambana na corona? Wenzetu wanasali au wanawekeza kwenye afya?

Halafu kwa akili hizi za kuwekeza kwenye maombi badala ya kuwekeza kwenye ujuzi na maarifa utakuta kuna pimbi anashangaa na kulaumu mtu mweusi kubaguliwa!
 
Wewe ingia kwenye maombi kama ilivyo maono ya kiongozi wako,kwani ukiwa kwenye maombi umeambiwa huduma za afya zimesimama? unataka kila mtu apimwe ili iweje! la msingi wizara ya afya inaendelea na juhudi za kutokomeza huu ugonjwa na Ndio maana mmeambiwa tuliombee taifa na wakati huo huo wataalam wetu wanapambana pia. Sasa wewe unataka ukae tu umebweteka huku ukiwatazama wizara ya afya wakihangaika bila wewe kuonyesha support yoyote hata ya maombi kwa mola wako?
 
Watanzania, Kabla ya kupiga magoti kwa Muumba wetu atuepushie janga hili kwanza tujitathimini kama tumewasamehe wale wote tunaodhani walitukosea na kuwasweka kolokoloni...kuwajeruhi wengine kubakia vilema wa maisha na wengine kuuawa huku tukiacha familia zao zikilia machozi

Tukiyajutia haya kwanza ndipo twende mbele zake tumwombe atuepushie janga hili la corona...

Vinginevyo ni kumkejeli Muumba!! am not part of....!!

You say that you are not part of it,how! Kwani hao unaowashitumu kuonea watu na kudhuru una hakika gani kwamba hawajatubu madhambi yao!!! la msingi wewe kama mtanzania chukua nafasi yako kuliombea taifa lako na sio kutoa hukumu na kuongea longo longo nyingi hapa: na pia kama huwezi kuomba basi acha sisi tutaomba kwa niaba yako na kizazi chako pia
 
Kumbe ni ruksa kumuombea yeye na taifa lakini ukimumbea Lissu ni kosa?
 
Hajui kitu huyo muelimishe,taarifa za Rwanda haziaminiki hasa kwenye takwimu
Ni Sawa na kuamini vifo vya Wachina mpaka Marekani wametilia shaka idadi hiyo haitoki kwenye 3000 na kitu.
Au utaamini ripoti ya Korea N
 
Return Of Undertaker
Mkuu unaakili mnooo yaan naweza kua mm na wewe tuu hapa Tz tunaoamini ktk kuthubutu na sio kimiujiza ktk swala linalohitaji utekelezaji.

Congra...........
 
Back
Top Bottom