KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,882
- 4,511
Asante kwa kumuelewesha.Hakika unafatilia yanayoendelea nchin kwetu.Pia drones hupita angani kila Mara zikihamasisha kupima na kuelimisha watu juu ya corona kwa sababu tunaamin si wananchi wote wenye access ya kupata taarifa kupitia tv,simu au radio.Lakini tambua kuwa Rwanda wanafanya testing, sisi hatufanyi. Kwa kuwa hatufanyi, hatujui hata idadi ya walioambukizwa. Tunasuburi mtu aumwe ndiyo apimwe au ahisiwe kuwa ameambukizwa, ndiyo apimwe.
Rwanda wanafanya testing. Wanawagundua walioambukizwa hata kabla ya kuanza kuumwa. Kwa takwimu zilizopo, mpaka sasa hakuna raia wa Rwanda aliyepoteza maisha kwa Covid 19.