figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,703
- 59,222
Wana-CCM wote wanaaomuombea Mabaya Lissu, inapofika siku ya kifo wanakuwa wapole kama wananyolewa. Wanajuta sana..
Pamoja na Ukwasi wao na kutunga Sheria zinazowalinda wanapofanya ufisadi lakini saa ya kifo ikifika wanajuta.
Dakika ya kifo wanasema, "Roho yangu imezimika, siku zangu zimekoma, Kaburi i tayari kunipokea." 🤣🤣🤣
Pamoja na Ukwasi wao na kutunga Sheria zinazowalinda wanapofanya ufisadi lakini saa ya kifo ikifika wanajuta.
Dakika ya kifo wanasema, "Roho yangu imezimika, siku zangu zimekoma, Kaburi i tayari kunipokea." 🤣🤣🤣