TAIFA LA KESHO
Member
- Aug 11, 2013
- 23
- 0
Eti mwiguli ni mropokaji kumbe hata msalit wetu analijua! mpangowenu Umebuma.
kazi ipo!
Sawa kabisa wengi hawayaamini haya unayoyaandika hapa wanafikiri mawazo yako ni mgando kama
wao hizo ngano za Tanzania Daima hata mtoto wa darasa la pili anazishtukiadah wadanganyika bwana!
Kauli ya Wassira kuwa CHADEMA itakufa kabla ya kuisha 2013 ndiyo mipango yao ilikuwa hii lakini yote imebuma Mungu yupo upande wa CHADEMA na wao wamebaki na Shetani
kanusha au kubali kwamba ulikutwa hapo hotelini na kundi lako na mkasema mnashangilia ushindi. Hakuna mahali specific kwa polisi kutesea watuhumiwa. Polisi wanaweza kukutesea popote, ilimradi ndipo panapowapendeza wao.sikuhizi hotel zinatumika kuhoji na kutesa watuhumiwa!!!!!
Wale jamaa walikamatwa na polisi, wakahojiwa kwa muda mrefu tu, wakapelekwa vituo mbalimbali vya polisi hatimae wakafunguliwa mashitaka ya ugaidi! katika hatua hizo zote mimi na wewe hatukuhusika, walipoachiwa wakaeleza yaliyojili katika hatua mbalimbali za mateso yao, sasa iweje wewe usema hawasemi ukweli? Sasa kumbe ukweli ni upi? mbona huusemi?Fictitious story huwa haina upande wa ukweli kwa sababu ni mambo ya kufikirika bali pia huwa haisimami kwenye ukweli.
Huhitaji kuwa muhusika wa story kubaini kama kuna ukweli na uwongo ndani yake ndiyo maana ya kuipambanua mantiki na kusoma katika mistari.
This is pure mixture of truth and fiction.
Tukubali kutokubaliana.
Wewe mbona unakuwa na matumaini katika vitu vya hovyo? Kesi iliyotupwa imedhihirisha kwamba polisi hawafanyi kazi kwa ueledi bali kwa mashinikizo ya Mwigulu Nchemba bingwa wa kupanga mauaji! sasa unataka kulazimisha kwamba kipande kilichobaki bado polisi waliokosa ueledi watashinda! ama kweli kutetea masilahi binafsi kunakufanya uwe mjinga kupita kiasi!Hujui au unajifanya kutokujua kama kuna kesi bado inaendelea mahakamani inayomuhusu mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa CHADEMA Taifa.
Subiri kesi ikianza kuunguruma ndipo utakapo funuliwa macho yako kwa vile kwa sasa hata ukiambiwa tazama huwezi kuona.
Kama vile wewe ulivyo yala matango pori ya mzee muovu Mohamed Saidi mpaka ukavimbiwa na kujiharishia!Ha ha haaa umeona eehhh gazeti lenyewe la udaku watu wanaendelea kulishwa matango pori.
Mtela, mara ya mwisho ulipigwa ban hapa JF kwa kosa la uongo! bado unategemea tutakuamini tena? wewe umeshaolewa na mwanamme mwenzako muovu, jaribu kuivumulia ndoa yako na Mwigulu ndio mapenzi yalivyo mwanangu!Mwandishi hilo Toilet paper anaitwa Isanga mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Singida na ananamba yangu ya simu ila hajanipigia!!!!!!
Mbona hukuripoti polisi? wewe kwa uongo tumekuzowea!Tanzania Daima mbona hamuandiki jinsi Boss wenu alivyomuua Chacha Wangwe!!!! naomba mnipigie simu ili niwasimulie jinsi ya Boss wenu alivyomuua Chacha wangwe.
We have chosen dishonesty as a way of life. We are truly addicted to lying. Its almost an automatic reflex. It seem telling the truth, being moral and good is near to impossible because we are not brave enough for that.
By living and dying dishonestly ,the politician are taking advantage of it.
Hii story ukiisoma kwa macho matatu utagundua kama ukweli umechanganywa na uongo mwingi kwa faida ya kibinafsi na kisiasa lakini wanasahau kama njia ya muongo ni FUPI.
Taifa la wananchi waongo hata serikali nayo itakuwa niya kiongo kiongo kwa vile serikali inatokana na wananchi hao hao waongo waongo. Kama wananchi hawabadiriki, hata serikali kutoka kuzimu au mbinguni ikiingia madarakani haiwezi kuepuka kazi za uwongo uwongo.
Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.
This is truly more than gutter politics.
Utakuwaje ukweli wakati hata hujasikia upande wa pili kwa maana kuwa wale wanaowatuhumu katika story yao. Ungeniambia kama unasimama kwenye PRESUMPTION kidogo ningekuelewa. Ukweli lazima usimamiwe na nguzo mbili ambazo ni msemaji na msemwaji. Ndiyo maana hata mahakama kuupata ukweli huwa zinatoa nafasi kwa nguzo hizo za tukio kutoa account zao kabla haijapima na kutoa uamuzi based on account and court experience(cases).Wale jamaa walikamatwa na polisi, wakahojiwa kwa muda mrefu tu, wakapelekwa vituo mbalimbali vya polisi hatimae wakafunguliwa mashitaka ya ugaidi! katika hatua hizo zote mimi na wewe hatukuhusika, walipoachiwa wakaeleza yaliyojili katika hatua mbalimbali za mateso yao, sasa iweje wewe usema hawasemi ukweli? Sasa kumbe ukweli ni upi? mbona huusemi?