Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

Sakata ya ugaidi dhidi ya CHADEMA: Shibuda, Sofia Simba watajwa

We have chosen dishonesty as a way of life. We are truly addicted to lying. It’s almost an automatic reflex. It seem telling the truth, being moral and good is near to impossible because we are not brave enough for that.

By living and dying dishonestly ,the politician are taking advantage of it.

Hii story ukiisoma kwa macho matatu utagundua kama ukweli umechanganywa na uongo mwingi kwa faida ya kibinafsi na kisiasa lakini wanasahau kama njia ya muongo ni FUPI.

Taifa la wananchi waongo hata serikali nayo itakuwa niya kiongo kiongo kwa vile serikali inatokana na wananchi hao hao waongo waongo. Kama wananchi hawabadiriki, hata serikali kutoka kuzimu au mbinguni ikiingia madarakani haiwezi kuepuka kazi za uwongo uwongo.

Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.

This is truly more than gutter politics.

Wewe unaongea vitu gani? mbona hueleweki
 
Mpaka huu mwaka upinduke tutasikia na kujione mengi ila bottom line mwisho wa ubaya aibu
 
Utakuwaje ukweli wakati hata hujasikia upande wa pili kwa maana kuwa wale wanaowatuhumu katika story yao. Ungeniambia kama unasimama kwenye PRESUMPTION kidogo ningekuelewa. Ukweli lazima usimamiwe na nguzo mbili ambazo ni msemaji na msemwaji. Ndiyo maana hata mahakama kuupata ukweli huwa zinatoa nafasi kwa nguzo hizo za tukio kutoa account zao kabla haijapima na kutoa uamuzi based on account and court experience(cases).

Mimi tu hii story yao inanifanya hata nisitake kusikia account ya upande wa pili kwa sababu imejaa mashimo kimantiki. Ndiyo maana nikasema, tukubali kutokubaliana kwa vile binadamu tuko tofauti kimaumbile na kiakili na hakuna kinachoharibika kwa vile swala ndiyo limeibuka na tutasikia zaidi mahakamani.
Unaona unavyojichanganya wewe mwenyewe! Kwahiyo basi kama ule upande wapili ungeonesha ushirikiano na mwandishi wa habari hizi wewe usingeamini kwa sababu ulishajiweka katika upande na kuutolea hukumu. Pole sana kwa kuteseka bila sababu kisa kutetea maslahi binafsi! mpo wengi wa nanmna yako.
 
Kauli ya Wassira kuwa CHADEMA itakufa kabla ya kuisha 2013 ndiyo mipango yao ilikuwa hii lakini yote imebuma Mungu yupo upande wa CHADEMA na wao wamebaki na Shetani
nchi yote imeoza. Hata waandishi wa habari. Hivi ukimuuliza mtu kwamba amehusika na mambo yote ya kutunga kesi hewa na kutesa watu unategemea akujibu nini? Tanzania daima, acheni kutumia hii njia. Haifanyi kazi. Huyu msemaji wa polisi, Advera...kwake hata kupumua ni kosa. Huyu mama kinywa chake kimejaa maneno tu. Hiyo kazi haiwezi...si kazi ya mipasho.
Mpaka sasa kuna anayebishi kwamba polisi hawakuhusika kuwatesa kina Ulimboka na yule mwingine? Hivi nchi yetu haina sheria? Hawa watu hawawezi kushtakiwa? Unaweza kumchukua mtu tu na kwenda kumtesa afu ukamwachia mitaani tu?
 
We have chosen dishonesty as a way of life. We are truly addicted to lying. It's almost an automatic reflex. It seem telling the truth, being moral and good is near to impossible because we are not brave enough for that.

By living and dying dishonestly ,the politician are taking advantage of it.

Hii story ukiisoma kwa macho matatu utagundua kama ukweli umechanganywa na uongo mwingi kwa faida ya kibinafsi na kisiasa lakini wanasahau kama njia ya muongo ni FUPI.

Taifa la wananchi waongo hata serikali nayo itakuwa niya kiongo kiongo kwa vile serikali inatokana na wananchi hao hao waongo waongo. Kama wananchi hawabadiriki, hata serikali kutoka kuzimu au mbinguni ikiingia madarakani haiwezi kuepuka kazi za uwongo uwongo.

Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.

This is truly more than gutter politics.

Unfortunately post yako imeshidwa kuaddress uongo wa Tanzania Daima
 
Utakuwaje ukweli wakati hata hujasikia upande wa pili kwa maana kuwa wale wanaowatuhumu katika story yao. Ungeniambia kama unasimama kwenye PRESUMPTION kidogo ningekuelewa. Ukweli lazima usimamiwe na nguzo mbili ambazo ni msemaji na msemwaji. Ndiyo maana hata mahakama kuupata ukweli huwa zinatoa nafasi kwa nguzo hizo za tukio kutoa account zao kabla haijapima na kutoa uamuzi based on account and court experience(cases).

Mimi tu hii story yao inanifanya hata nisitake kusikia account ya upande wa pili kwa sababu imejaa mashimo kimantiki. Ndiyo maana nikasema, tukubali kutokubaliana kwa vile binadamu tuko tofauti kimaumbile na kiakili na hakuna kinachoharibika kwa vile swala ndiyo limeibuka na tutasikia zaidi mahakamani.
labda utusaidie kujibu swali hili: waliomwagia mtu tindikali Tabora ni magaidi na waliowamwagia tindikali waingereza huko Zanzibar sio magaidi. Hiyo ni kwa mujibu wa upande huo wa pili unaotaka tuusikilize pia. Jaribu kutueleza hapo. Inaonekana wewe bado una imani na hii serikali ya kishetani.
 
Unfortunately post yako imeshidwa kuaddress uongo wa Tanzania Daima
lakini hao watu wote si Tanzania daima iliwapigia simu kabla ya kuandika? CCM ni chama cha kishetani na dalili za mtu afanyaye kazi kwa kutegemea shetani ni aibu na kushindwa kila upande. Angalieni serikali ya CCM. Wako busy wanatengenezea watu dhambi ila wenye makosa wanaachwa huru wapitishe madawa airport. Huu si ushetani?
 
Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.
Wewe jamaa ni mnafiki kweli. Utatesaje watu wako ili umfukuze shibuda?
 
Mkuu, hilo ni angalizo langu. Ukikubaliana nalo, sawa na usipokubaliana nalo napo ni sawa tu ili mradi tunabakia kwenye principle ya kukubali kutokubaliana.

Kusoma kwa macho matatu maana yake ni kusoma huku uki-reflect juu ya mdai, mdaiwa na wewe mwenyewe.

Binadamu tuko tofauti, inawezekana wewe umesoma habari na ukakubaliana nayo na haindoi wala kuongeza kilichoandikwa, vile vile na mimi nimeisoma habari sikukubaliana nayo kwa vile imetiwa uwongo mwingi lakini vile vile haiongezi wala kupunguza kilichoandikwa.

Tusaidie na sisi tuweze kuujua huo uongo.
 
Napatwa na wasiwasi mkubwa kwa akili za wafuasi wa chadema kila walishwalo wanakula banti na viroba si mchezo..mhariri tanzania daima km kweli gazet lako limeandika utumbo huu napatwa na wasiwasi huu ya utashi wako bt ni gazet la chama chenu cha wazee wakudanganya watu.hadith ya kitoto na kipuudhi kwamwenye akil timamu amepima vijana wenu wamedhiirisha ni wafupi wa akil wameanin hiyo habar na kuichangia seriously tena poor chadema low thinking capacity walio nayo watu wenu ndo maana wanaamin mkishika madaraka vitu vitashuka bei ndan ya miez 6.na vijana wote watapata ajira..wakomboz Feli na vilaza..

jimu...kama unawasiwasi na maelezo yao wapeleke mahakamani....
 
Unaona unavyojichanganya wewe mwenyewe! Kwahiyo basi kama ule upande wapili ungeonesha ushirikiano na mwandishi wa habari hizi wewe usingeamini kwa sababu ulishajiweka katika upande na kuutolea hukumu. Pole sana kwa kuteseka bila sababu kisa kutetea maslahi binafsi! mpo wengi wa nanmna yako.
Tatizo unakimbilia kwenye angalizo lisilojitoshereza na kuanza kunitafutia sehemu ya ajira kitu ambacho ni nje ya hoja zetu na ni dalili ya hoja za kibaguzi zinazosimamiwa na falsafa ya you're either with us, or against us otherwise, kama unanifahamu.


Nilikwambia katika bandiko langu la #89 Fictitious story haihitaji upande wa ukweli kwa sababu kimantiki haupo, na nilisema hivi,
Fictitious story huwa haina upande wa ukweli kwa sababu ni mambo ya kufikirika bali pia huwa haisimami kwenye ukweli.

Huhitaji kuwa muhusika wa story kubaini kama kuna ukweli na uwongo ndani yake ndiyo maana ya kuipambanua mantiki na kusoma katika mistari.

This is pure mixture of truth and fiction.

Tukubali kutokubaliana.
Tofauti yetu, Mimi najenga hoja kama hii ni truth and fiction zimewekwa pamoja kupata picha inayotafutwa ma wewe unajenga hoja kama haya yalifanyika ni kweli kwa sababu upande mmoja umesema. Kama huioni tofauti yetu ambayo ni upande upi unahitaji nguzo mbili ziwepo basi sina zaidi la kuongeza. Ndiyo maana nikasema nimesoma kwa kutumia macho matatu kitu ambacho hukunielewa vile vile.

Msingi wa majadiliano mema ni kukubali kutokubaliana badala ya kutafuta mchawi ndani ya majadiliano.
 
mbona kila akiye hojiwa sijaona alie kataa kuhusika na jambo hili ovu, kila mmoja anajitetea tu. Bila shaka huu ni ukweli
 
labda utusaidie kujibu swali hili: waliomwagia mtu tindikali Tabora ni magaidi na waliowamwagia tindikali waingereza huko Zanzibar sio magaidi. Hiyo ni kwa mujibu wa upande huo wa pili unaotaka tuusikilize pia. Jaribu kutueleza hapo. Inaonekana wewe bado una imani na hii serikali ya kishetani.
Sheria siyo universal.

Maana ya neno ugaidi na sheria yake mpaka leo wataalamu wa sheria duniani walishashindwa kukubaliana. Hata hakimu alilitolea ufafanuzi hili swala kulingana na macho ya kimataifa lakini kikubwa zaidi, The law is an ass.

Swala la kuwa na imani na serikali au hapana ni neno pana sana. Inategemea na uelewa wako kwa sababu kama watu wasingekuwa na imani na serikali basi kuna sheria za kuitoa madarakani kupitia wabunge bungeni lakini cha 'kushangaza' wabunge wote bado wanashirikiana na serikali ambayo kwako huna imani nayo.
 
Back
Top Bottom