Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,658
We have chosen dishonesty as a way of life. We are truly addicted to lying. Its almost an automatic reflex. It seem telling the truth, being moral and good is near to impossible because we are not brave enough for that.
By living and dying dishonestly ,the politician are taking advantage of it.
Hii story ukiisoma kwa macho matatu utagundua kama ukweli umechanganywa na uongo mwingi kwa faida ya kibinafsi na kisiasa lakini wanasahau kama njia ya muongo ni FUPI.
Taifa la wananchi waongo hata serikali nayo itakuwa niya kiongo kiongo kwa vile serikali inatokana na wananchi hao hao waongo waongo. Kama wananchi hawabadiriki, hata serikali kutoka kuzimu au mbinguni ikiingia madarakani haiwezi kuepuka kazi za uwongo uwongo.
Wametengeneza story na Rajabu Kihawa ya ukweli na uwongo mwingi ili kuhakikisha Mh. Shibuda anafutika katika siasa za CHADEMA. Walikosa kwa muda mrefu sehemu ya kumpata kwa sababu ameamua kwa muda mrefu kuwa kimya kisiasa. Wanatafuta negative reaction zake ili wapate sehemu ya kuanzia kumsindikiza atoke nje ya mlango wa CHADEMA.
This is truly more than gutter politics.
Wewe unaongea vitu gani? mbona hueleweki