Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,637
- 31,135
Anabishana na ukweli huyo wala haikua nahaja yakuleta ushahidi kwamjuaji asiejuaView attachment 1655888
Mwaka jana walilipa advance payment kwa mujibu wa al jazeera au hapa napo unasemaje?
Anabishana na ukweli huyo wala haikua nahaja yakuleta ushahidi kwamjuaji asiejuaView attachment 1655888
Mwaka jana walilipa advance payment kwa mujibu wa al jazeera au hapa napo unasemaje?
Uwe unafatilia mambo kwanza mkuuIndia haja nunua S-400 na hatanunua kamwe. Na vikwazo alivyo pewa turkey ni fundisho kwa wengine ili Wasi subutu.
Ivi Kufanya advance payment ndo amenunua??View attachment 1655888
Mwaka jana walilipa advance payment kwa mujibu wa al jazeera au hapa napo unasemaje?
Uturuki ni ya pili katika NATO kwa kipi??Sijui kama una habari uturuki bado wanaikalia sehemu ya ugiriki,,katika jeshi la NATO uturuki ni ya pili baada ya US,,,,
Ivi Kufanya advance payment ndo amenunua??
Jiulize kwa nini mpaka sasa India amestack haendelei??
Hapo alikua ana test US resolve. Sasa sanctions kwa turkey ni onyo tosha kwa India na wengine wote.
Anabishana na ukweli huyo wala haikua nahaja yakuleta ushahidi kwamjuaji asiejua
Wee jamaaHivi S_400 unazani inaweza msaidia chochote uturuki zidi ya USA.???
Marekani akitaka kuchukua uturuki anachukua mchana kweupe na hakuna wa kumzuia.
Kama haiwezi kumsaidia kwann kawekewa vikwazo?Hivi S_400 unazani inaweza msaidia chochote uturuki zidi ya USA.???
Marekani akitaka kuchukua uturuki anachukua mchana kweupe na hakuna wa kumzuia.
Uturuki ni kinyago cha USA so hakiwezi kumtisha hata. Airforce ya uturuki ni USA made Sasa Kuna nini apo??Kama haiwezi kumsaidia kwann kawekewa vikwazo?
Lengo la vikwazo ni kuzuia Russia influence. La sivyo us allies wote watanunua silaha urusi.Kama haiwezi kumsaidia kwann kawekewa vikwazo?
Uturuki hawezi simama na USA Hilo linajulikana, Ila S-400 ni game changer weapon.Hivi S_400 unazani inaweza msaidia chochote uturuki zidi ya USA.???
Marekani akitaka kuchukua uturuki anachukua mchana kweupe na hakuna wa kumzuia.
Yap!.. inaonekana Marekani analinda soko lake la silaha.Lengo la vikwazo ni kuzuia Russia influence. La sivyo us allies wote watanunua silaha urusi.
India haja nunua S-400 na hatanunua kamwe. Na vikwazo alivyo pewa turkey ni fundisho kwa wengine ili Wasi subutu.