muwasho
Member
- Nov 20, 2011
- 5
- 0
Walimu zaidi ya wanne walimshambulia kijana wa kiume katika shule ya sekondari ya st Anne kwa madai kua wana mhisi ameweka pedi darasani...jambo hilo lilileta ugomvi mpaka kupelekea shule kufungwa na hatma yake haijulikani......mamlaka husika nafikri mnaisoma hii hebu rekebisheni mambo ili watoto warudi shule