Fisadi Mtoto
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 639
- 81
anyway nadhani wewe sina haja ya kukujibu sana, lakini kimsingi ningependa kusema wazi hapa kuwa mimi simpendi nape kama nape napenda wapiga vita ufisadi(baba zako) maana wewe ni fisadi mtoto.. So kila anayeonyesha msimamo wa dhati kupinga ufisadi namuunga mkono kwa dhati...so nape katika hili
Unapaswa kukua kutambua faidas na hasara za ufisadi ndani ya nchi yetu.usikae na kufata tu mkumbo.
Ukiangalia kwa makini ufiasadi hauna tofauti na marshal plan ambapo serikali iliwezesha asasi za kiraia kiuchumi... Hakuna nchi duniani imepata kuendelea bila kuwepo na primitive accumulation of capital,ambapo miaka iliopita nchi kama UK,germany,japan walipata capital kutoka kwenye makoloni yao.
Waka invest kwao na kupata maendeleo. Kwa sasa hakuna nchi unayoweza kuitawala, hivyo ni wajibu wa serikali kuhakikisha kuwa wananchi wake wenye vipaji vya biashara wanawezeshwa....ufisadi waliofanya ni sustainable,kwa kuwa wamechukua hela zilizokuwa zimekaa bila uwekezaji BOT, na pesa yenyewe ya epa haikuwa ya serilali bali ya wafanyabiashara wa nje wao wamewekeza katika biashara mbalimbali na wananchi wanapata kazi...angalia kampuni ya simu ya celtel imeajili wananchi wangapi?
Angalia Kiwira coal mine ilikuwa imeshakufa na sasa imeajili wafanyakazi zaidi ya mia tatu na inazalisha umeme,angalia bank M imeajili watanzania na inalipa mishahara mizuri kuliko bank nyingine yeyote huko Tanzania.... ufisadi tunaokataa ni kama ule wa kuwakopesha wananchi fedha za kikwete kihalali lakini hauleti manufaa yeyote kwao zaidi ya kwemda kuchezea ngoma...sasa wanarudisha hizo pesa ni jambo zuri ambalo walipaswa kuwa mfano wa kuiga.