Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Kaka mwenye chuki dhidi ya Nchimbi....ulikuwa unampa ruhusa wewe kutokuwa eneo lake la kazi au unajitungia tu wewe..hujui siasa za tanzania ndio maana mambo menginine ya ndani inabidi tuwaaachie walioko nyumbani tz.ili nchimbi aweze kuooperate sio lazima atembee yeye,tayari ana watu kila sehemu ya tanzania....
umetaka pia kujua shule ambazo zilijengwa na uongozi wa Nchimbi mpaka zikawa ni mfano kwa kujenga shule za kata tanzania,kabla ya kuzitaja kwanza ningependa kukupa hali halisi ilikuwaje bunda pamoja na kupata kuwa na waziri mkuu warioba na watu kama kina wasira etc...kulikuwa na shule tano tu za umma wilaya nzima hivyo kupelekea asilimia 20 tu ya wanafunzi waliofauru darasa la saba kupata nafasi ya kujiunga sekondari...bajeti ya halmashauri ikawa haitoshi..ikabidi mh Nchimbi awaombe wananchi wajifunge mkanda kuhakikisha watoto wote wanapata shule..aksaanza operation ya mawka mmoja ilioleta shule zifuatazo:
1.Emanuel Nchimbi{walimpa jina kwa heshima yake}sec
2.Sazira Sec
3.Kunzungu Sec
4.Rubana Sec
5,Nyiendo Sec
6.Sizaki Sec
7.Sarama Sec
8.Wariku Sec
9.Gutta Sec
10.Nyeruma Sec
11.Muranda Sec
12.Chitengule Sec
13Kisorya Sec
14.Mwigundu Sec
15.Mihingo Sec
16.Mekomariro Sec
17.Hunyari Sec
Na pia baada ya thesis yake ya masters kuwa abt saccos alienda na kuanzisha kwa vitendo bank kata katika kata ya bunda ambapo zilijengewa ofisi na waratibu...kwa sasa unaposikia watu wanaenda bunda kujifunza bank kata bunda basi ujue ni kazi ya Nchimbi...bravooooo mpiganaji.
kAKA KWA DATA ULIZOTOA INAWEZEKANA KUWA NI KWELI.LAKINI SIYO JAMBO RAHISI KWA JAMAA MJANJA KAMA HUYU KUWA MJINGA KIASI CHA KUTOWEZA KUFANYA HAYO...
 
Kaka mwenye chuki dhidi ya Nchimbi....ulikuwa unampa ruhusa wewe kutokuwa eneo lake la kazi au unajitungia tu wewe..hujui siasa za tanzania ndio maana mambo menginine ya ndani inabidi tuwaaachie walioko nyumbani tz.ili nchimbi aweze kuooperate sio lazima atembee yeye,tayari ana watu kila sehemu ya tanzania....
umetaka pia kujua shule ambazo zilijengwa na uongozi wa Nchimbi mpaka zikawa ni mfano kwa kujenga shule za kata tanzania,kabla ya kuzitaja kwanza ningependa kukupa hali halisi ilikuwaje bunda pamoja na kupata kuwa na waziri mkuu warioba na watu kama kina wasira etc...kulikuwa na shule tano tu za umma wilaya nzima hivyo kupelekea asilimia 20 tu ya wanafunzi waliofauru darasa la saba kupata nafasi ya kujiunga sekondari...bajeti ya halmashauri ikawa haitoshi..ikabidi mh Nchimbi awaombe wananchi wajifunge mkanda kuhakikisha watoto wote wanapata shule..aksaanza operation ya mawka mmoja ilioleta shule zifuatazo:
1.Emanuel Nchimbi{walimpa jina kwa heshima yake}sec
2.Sazira Sec
3.Kunzungu Sec
4.Rubana Sec
5,Nyiendo Sec
6.Sizaki Sec
7.Sarama Sec
8.Wariku Sec
9.Gutta Sec
10.Nyeruma Sec
11.Muranda Sec
12.Chitengule Sec
13Kisorya Sec
14.Mwigundu Sec
15.Mihingo Sec
16.Mekomariro Sec
17.Hunyari Sec
Na pia baada ya thesis yake ya masters kuwa abt saccos alienda na kuanzisha kwa vitendo bank kata katika kata ya bunda ambapo zilijengewa ofisi na waratibu...kwa sasa unaposikia watu wanaenda bunda kujifunza bank kata bunda basi ujue ni kazi ya Nchimbi...bravooooo mpiganaji.
Jamani kama haya ni ya kweli basi huyu jamaa amejitahidi inawezekana kuwa anayatanya mambo makubwa lakini hapigi makelele kama mh magufuli...maana ingekuwa ni magufuli ni wazi kwa mambo makubwa kama hayo pasingetosha kabisa....Nchimbi kidogo sasa naanza kukuheshimu ndugu.
 
1.Emanuel Nchimbi{walimpa jina kwa heshima yake}sec
2.Sazira Sec
3.Kunzungu Sec
4.Rubana Sec
5,Nyiendo Sec
6.Sizaki Sec
7.Sarama Sec
8.Wariku Sec
9.Gutta Sec
10.Nyeruma Sec
11.Muranda Sec
12.Chitengule Sec
13Kisorya Sec
14.Mwigundu Sec
15.Mihingo Sec
16.Mekomariro Sec
17.Hunyari Sec

Mkuu good try, ila na wewe unajaribu tu kutuchezea akili kwa kufikiria ni wajinga au tumelala na kwamba hatujui ya huko Bunda, kwa hiyo ukiuokota majina tu na kuyaweka hapa basi utakuwa ni ukweli,

Eti unasema wilaya ya Bunda ina shule zote hizi za secondari? Yaaani yeye alizikuta halafu akaongeza 17 zaidi? Naomba mkuu unipe siku kama mbili nikuletee majibu rasmi kuhusiana na hili,

Halafu naomba kukuliza tena eti haya yote yana husika vipi na Nape kupewa heshima bungeni na wabunge, pamoja na Spika, huku Nchimbi akiwemo mle ndani ya bunge? Hawa wabunge walikuwa na maana gani kumpa heshima nzito namna hiyo kiongozi Nape, huku wakijua tayari kuwa mbuneg mwenzao ndio kwanza amempa alama ya E huko UV-CCM?
 
Mkuu good try, ila na wewe unajaribu tu kutuchezea akili kwa kufikiria ni wajinga au tumelala na kwamba hatujui ya huko Bunda, kwa hiyo ukiuokota majina tu na kuyaweka hapa basi utakuwa ni ukweli,

Eti unasema wilaya ya Bunda ina shule zote hizi za secondari? Yaaani yeye alizikuta halafu akaongeza 17 zaidi? Naomba mkuu unipe siku kama mbili nikuletee majibu rasmi kuhusiana na hili,

Halafu naomba kukuliza tena eti haya yote yana husika vipi na Nape kupewa heshima bungeni na wabunge, pamoja na Spika, huku Nchimbi akiwemo mle ndani ya bunge? Hawa wabunge walikuwa na maana gani kumpa heshima nzito namna hiyo kiongozi Nape, huku wakijua tayari kuwa mbuneg mwenzao ndio kwanza amempa alama ya E huko UV-CCM?
Haya yamekuja kutokana na wewe najua kichwa chako hakiwezi kumbuka lakini pitia post zako humu ndani ktk thread hii umesema kwamba Nchimbi hana record yeyote ya kujivunia kama kiongozi,nikakwambia record zake.ukasema nitajie hizo shule alizojenga kwa kuim arisha nguvu za watu,wafadhiri na yeye mwenyewe kwa mwaka mmoja. Nimekuletea sasa roho inakuuma tena na kusema nimetunga....no investigation no right to speak.

Huwezi sema nimewafanya wajinga alafu unakwenda kufanya utafiti.hapo tayari utafiti wako utakuwa na walakini kwa kuwa hauko huru...majibu yako yatakuja ukiwa ni mnyonge na utajua kwa nini tunamuheshimu Nchimbi....lakini kwa kuwa ni bias naomba usije sema shule zenyewe sio za ghorofa..uje na uwaambie wenzio wakati sie tunapiga domo hapa huyu jamaa anaweka record zake za uongozi uliotukuka.

Nakuomba kwa uungwana kabisa urudi,useme jamani haya ya camarade Nchimbi ni ya kweli.usije ona haya mjukuu wa seguyemisi
 
Mkuu Mohamed,

Heshima mbele bro, exactly hicho ndio kinacho-miss kwenye this whole mess ya Umoja Wa Vijana, hakuna record wala mifano ya uongozi, ungetegemea kuwa by now wananchi wa Tanzania, tutakuwa tumejifunza namna ya kuheshimu uwezo wa kiongozi, kwa kuuchambua wazi tena bila unafiki,

Nchimbi, sio siri ni a great campaigner lakini hana strong record ya uongozi, zaidi tu ya kuwatumia viongozi wengine tena mpaka wenye academic qualifications kuliko zake, kwa ajili ya manufaa yake, lakini record ya kazi ya uongozi wake kwa wananchi hakuna! record ya uongozi wake kwa taifa hakuna!

Sawa at one point alikuwa ni mmoja wa the architects, waliomsaidia Rais wa sasa na mtandao mzima kuingia kwenye power, lakini record nzima ya Mtandao na Rais wa sasa, ni mfano tosha wa kumuweka pembeni kabisa na mchakato mzima wa huu uchaguzi, na hata kumkatalia kabisa mgombea anayetaka kumpigia debe, kwa sababu amepiga sana debe kwa Kiwete, Lowassa, na Rostam kushika power, and they did, matokeo yako wazi kwa kila mwananchi wa taifa hili, sasa iweje tena huyu huyu Nchimbi bado tu aendelee kujaribu kutuchagulia viongozi wengine tena?

Hapa ndipo ninaposema kuwa hawa viongozi wetu wa taifa, wana-benki sana kwenye uwezo mdogo wa wananchi kuelewa kinachoendelea, mimi nilitegemea Nchimbi ajitokeze public na kusema wazi kuwa ameshindwa ku-prove wananchi wrong kuwa hana uwezo mkubwa wa uongozi kisiasa on the national level, kwa hiyo anajitoa kwenye any-process ya kutafuta viongozi wengine wa siasa wa taifa, lakini here he is bila aibu eti this time amempa Nape, alama ya E sasa swali hapa linapaswa kuwa nani hasa anastaili kupewa E, kati ya Nape, Lowassa, Kikwete, na Chimbi? Eti unahitaji kuwa professor kulijibu hili, ambalo realistically ni a none political question?

Kwa wale mnaomfagilia Nchimbi na huu udikteta wake kwenye hiki chama, can you just for once mkatupa his leadership record? Halafu ni lini mtakubali publicly kuwa amekuwa akiwa-back wrong political leaders? na wasiokuwa na record kama yeye? I mean ifike mahali ukweli uwekwe wazi, marafiki wa Nchimbi, siku zote wamekuwa ni kina Lowassa, Rita mlaki, na Rostam, halafu leo tena huyu huyu Nchimbi bado anakuwa na political power ya kujaribu kutuwekea another joker huko Vijana?

Hivi kweli anaweza kujibu swali la kwa nini siku ya kutajwa majina ya wabunge wa kuliwakilisha bunge kwenye mazishi ya Mheshimiwa Mbunge Amina Chifupa (RIP) huko Iringa, ilibidi Spika aliruke jina lake bila kulitaja ingawa na yeye alikuwemo kwenye lists hiyo? Hivi anakumbuka maneno ya Spika later on katika kujaribu kuwaelewesha waandishi wa habari kuwa ni kwa nini aliliruka jina lake? Ile tu peke yake haimtoshi kukubali kuwa it ia about time sasa akakaa pembeni na kuwaachia kina Nape nao wajaribu?

Ameshasahau jinsi alivyokuwa akililia mtandao kupewa nafasi kwenye vikao vya kamati kuu, na kwamba wasipopewa nchi haitawalika, hivi kweli anaweza kusimama na kusema wazi kuwa sasa yeye na wenzake wakiwa kwenye power kama walivyokuwa wakililia, nchi inatawalika kweli? Unajua ni ishu kama hizi ndio zinaeleza wazi, uwezo wetu wananchi wa kuelewa siasa yetu, wengine wanasema maneno ya Ridhiwani, hivi jamani kweli record ya baba yake kama rais wa nchi hii for the last two years, kweli inampa huyu kijana nafasi ya kutaka kuamua kiongozi wa vijana awe nani?

I mean to you rais Kikwete, huwezi tena kumlaumu mtu ulitaka nafasi, wananchi tutakupa, hivi kweli haya unayoyafanya sasa ndio hasa iliyokuwa your vision kwa taifa hili? What is the vision anyways? Hii debate nzima ya uongozi wa Vijana hivi kweli exactly what it is all about? Watu waliohusika na failed policies leo tena wanataka kutuamulia our future leaders? Wanataka kutuwekea viongozi wa mfano kama wao tena?

Halafu na sisi wananchi we are so much caught up na huu ujinga hata kurushiana maneno mazito as if kuna viongozi kweli, kumbe ni mfano tu wa viongozi ambao hili la uongozi wa vijana wa CCM ni clear example of how they think of us wananchi, kuwa ni wajinga, wakuu it is about time tukawaambia hawa viongozi kuwa enough is enough! Enough of the last two years, tuliyoyaona yametutosha hatutaki zaidi tena!
umeona kwa nini tulikupa record zake...wewe unapouluza yahusiana vipi na ya nape wakati ulitaka kupotosha umma ulikuwa una maana gani
 
Haya yamekuja kutokana na wewe najua kichwa chako hakiwezi kumbuka lakini pitia post zako humu ndani ktk thread hii umesema kwamba Nchimbi hana record yeyote ya kujivunia kama kiongozi,nikakwambia record zake.ukasema nitajie hizo shule alizojenga kwa kuim arisha nguvu za watu,wafadhiri na yeye mwenyewe kwa mwaka mmoja. Nimekuletea sasa roho inakuuma tena na kusema nimetunga....no investigation no right to speak.

Huwezi sema nimewafanya wajinga alafu unakwenda kufanya utafiti.hapo tayari utafiti wako utakuwa na walakini kwa kuwa hauko huru...majibu yako yatakuja ukiwa ni mnyonge na utajua kwa nini tunamuheshimu Nchimbi....lakini kwa kuwa ni bias naomba usije sema shule zenyewe sio za ghorofa..uje na uwaambie wenzio wakati sie tunapiga domo hapa huyu jamaa anaweka record zake za uongozi uliotukuka.

Nakuomba kwa uungwana kabisa urudi,useme jamani haya ya camarade Nchimbi ni ya kweli.usije ona haya mjukuu wa seguyemisi

Karume kuchangia ujenzi wa shule Bunda

2004-10-31
Na Radio One Habari



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Amani Abeid Karume leo atakuwa mgeni rasmi katika hafla ya kuchangia mabati elfu-10 katika ujenzi wa shule 17 za sekondari zinazojengwa na wananchi wilayani Bunda, mkoani Mara.

Mkuu wa wilaya ya Bunda, Dakta Emmanuel Nchimbi ameiambia Radio One Stereo kuwa hafla hiyo itafanyika jijini Dar es Salaam.

Dakta Nchimbi asmesema kuwa viongozi mbalimbali wa serikali wafanyabiashara pamoja na wananchi wamealikwa kuhudhuria hafla hiyo.

Amesema kuwa mabati yanayotarajiwa kuchangwa katika harambee hiyo yatasaidia uezekaji wa shule hizo za sekondari ambazo zinatarajiwa kufunguliwa mapema mwakani wilayani Bunda.

Amesema kuwa shule hizo ambazo zimejengwa na uongozi wa serikali wilayani Bunda na wananchi zitaifanya kila kata kuwa na shule moja ya sekondari wilayani humo.


SOURCE:
Radio One
 
Karume kuchangia ujenzi wa shule Bunda

2004-10-31
Na Radio One Habari



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Amani Abeid Karume leo atakuwa mgeni rasmi katika hafla ya kuchangia mabati elfu-10 katika ujenzi wa shule 17 za sekondari zinazojengwa na wananchi wilayani Bunda, mkoani Mara.

Mkuu wa wilaya ya Bunda, Dakta Emmanuel Nchimbi ameiambia Radio One Stereo kuwa hafla hiyo itafanyika jijini Dar es Salaam.

Dakta Nchimbi asmesema kuwa viongozi mbalimbali wa serikali wafanyabiashara pamoja na wananchi wamealikwa kuhudhuria hafla hiyo.

Amesema kuwa mabati yanayotarajiwa kuchangwa katika harambee hiyo yatasaidia uezekaji wa shule hizo za sekondari ambazo zinatarajiwa kufunguliwa mapema mwakani wilayani Bunda.

Amesema kuwa shule hizo ambazo zimejengwa na uongozi wa serikali wilayani Bunda na wananchi zitaifanya kila kata kuwa na shule moja ya sekondari wilayani humo.


SOURCE:
Radio One
Kaka nakushukuru sana kwa kuwa umeweza kumaliza ubishi kwati yangu na huyu jamaa,anaweza akaona jinsi ambavyo yuko nyuma na ukweli.

Naomba aje hapa na akili wazi kuwa nchimbi aliacha record kwa wananchi wake wa Bunda na mfano wa kuiga kwa wananchi wote wa tanzania mpaka jk alisema kuwa kama bunda walkiweza basi kila kata pia itaweza.

Field Marshal ES nakungojea hahahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
Kumbe hata wabunge wa sisiemu wanachukia ufisadi ndio sababu ya kumshangilia nape. Hakuna kingine. Sasa mbona wanaogopa kukemea wazi?
 
Kaka nakushukuru sana kwa kuwa umeweza kumaliza ubishi kwati yangu na huyu jamaa,anaweza akaona jinsi ambavyo yuko nyuma na ukweli.

Naomba aje hapa na akili wazi kuwa nchimbi aliacha record kwa wananchi wake wa Bunda na mfano wa kuiga kwa wananchi wote wa tanzania mpaka jk alisema kuwa kama bunda walkiweza basi kila kata pia itaweza.

Field Marshal ES nakungojea hahahahahahahahahahahahahahahahahaha
Mkuu ninazikusanya record zote za Nchimbi sio za Bunda tu, usije kulia na kuleta matusi, Nchimbi asingeweza kujenga shule 17 katika wilaya ambayo hakuwepo hata siku moja, sitishiki na maneno ya uzushi ya kuokota kwenye internet yanaweza kuandikwa na anybody na hata Nchimbi mwenyewe, lakini ninakuahidi kuwa nitauleta ukweli wazi na sio wa ukihiyo na internent!
 
Kaka nakushukuru sana kwa kuwa umeweza kumaliza ubishi kwati yangu na huyu jamaa,anaweza akaona jinsi ambavyo yuko nyuma na ukweli.

Naomba aje hapa na akili wazi kuwa nchimbi aliacha record kwa wananchi wake wa Bunda na mfano wa kuiga kwa wananchi wote wa tanzania mpaka jk alisema kuwa kama bunda walkiweza basi kila kata pia itaweza.

Field Marshal ES nakungojea hahahahahahahahahahahahahahahahahaha
Fisadi Mtoto,

Pamoja na kwamba nili-google na kuipata hiyo taarifa ya Nchimbi, haina maana kwamba ninapenda ufisadi ... actually, I wish Tanzania tungekuwa na sheria kama zile za China ... ua mafisadi wote na watoto wao ... make no mistake about that!
 
...17 sec. schools in one yr? nina wasiwasi kama ni kweli ni shule au ni majengo tuu,tunaomba full data ya hizo 17 schools kuanzia idadi ya walimu & wanafunzi,madarasa,nyumba za walimu na ikiwezekana facilities kama labs,Library etc sio kutuambia kajenga 17 school kumbe ni vyumba viwili au vitatu vya madarasa tuu bila walimu wala wanafunzi,shule sio majengo tuu lazima kuwe na walimu wa kutosha na vitabu....na msisahau kutuambia kama ziko registered au laa!
 
Mkuu ninazikusanya record zote za Nchimbi sio za Bunda tu, usije kulia na kuleta matusi, Nchimbi asingeweza kujenga shule 17 katika wilaya ambayo hakuwepo hata siku moja, sitishiki na maneno ya uzushi ya kuokota kwenye internet yanaweza kuandikwa na anybody na hata Nchimbi mwenyewe, lakini ninakuahidi kuwa nitauleta ukweli wazi na sio wa ukihiyo na internent!
Sina namna ya kukusaidia kwa kuwa umeamua kubisha hivyo hakuna wa kukufanya ubadilike....unatia aibu sana...siyo taarifa zote za kwenye internet zinaweza kuandikwa..

Source yetu ya taarifa ni website ya IPP ambayo ilirecord miaka ipatayo minne iliopita...sasa leo hii mimi au Nchimbi angewezaji kuedit website ya IPP tena kwa miaka 4 iliopita kama wewe sio mzushi na mtu usiekubali kushindwa....ka sikubali mengine acha kujishushia hadhi kwa watu mpaka nao wakajua jinsi ulivyo subjective.Aidha unadai Nchimbi hakuwa akikaa bunda...unasema hakuwepo ata siku moja. Hii nawachia wasomaji wengine wakupime akili yako.

Eti katika historia ya tanzania kuna mkuu wa wilaya aliteuliwa kwa muda wa mwaka mmoja na hakukaa mwaka mzima wilayani kwake...itaingia kwenye ajabu la nane la dunia.Unatishia nyau kuwa unakusanya data.Hapo ndipo huwa nakudharau kwa kuwa kumbe hizo chuki zako zote ata data zenyewe huna.sasa unapokusanya unachukua za aina gani mbaya na nzuri au mbaya tu?????

Hata mie najua data zako mbaya kwa mfano nikisema wakati una miezi sita ulikuwa unajinyea nitakuwa muongo????lakini ina uzito wowote hio data kwako???
 
Fisadi Mtoto,

Pamoja na kwamba nili-google na kuipata hiyo taarifa ya Nchimbi, haina maana kwamba ninapenda ufisadi ... actually, I wish Tanzania tungekuwa na sheria kama zile za China ... ua mafisadi wote na watoto wao ... make no mistake about that!
Kaka sijakushukuru kwa kutetea ufisadi kwa kuwa wala sikutegemei kufanya hivyo.nakushukuru kwa kumpadi sadist Field marshal ES link ya kupata mwanga wa record za nchimbi ambazo mwenyewe kanyamaza bila kujigamba wala kuleta makuu.Na sasa analia kuomba watu wenye mapenzi mema wachangie kupinga hizo record.hahahahahahahaha
 
...17 sec. schools in one yr? nina wasiwasi kama ni kweli ni shule au ni majengo tuu,tunaomba full data ya hizo 17 schools kuanzia idadi ya walimu & wanafunzi,madarasa,nyumba za walimu na ikiwezekana facilities kama labs,Library etc sio kutuambia kajenga 17 school kumbe ni vyumba viwili au vitatu vya madarasa tuu bila walimu wala wanafunzi,shule sio majengo tuu lazima kuwe na walimu wa kutosha na vitabu....na msisahau kutuambia kama ziko registered au laa!
Kaka kila mtu ana wajibu wake katika ujenzi wa taifa la tanzania...nchimbi aliweza kujenga majengo ya shule ambazo zilkuwa ni ya kidato cha kwanza mpaka cha nne,nyumba za walimu wapatao kumi,vyumba viwili vya maabara na viwanja vya michezo.Kama mungu angumjalia akae zaidi Bunda pengine angemalizia yote unayotaka wewe lakini tuyapime hayo kwa mwaka mmoja aliokaa kwanza...

Napenda kukwambia kuwa shule zote zina usajiri wa serikali.Si hayo tu bali alijenga hostel za wanafunzi wa kike kwenye shule nne za zamani na kuongeza mikondo kwenye shule zote za zamani kwa kuongeza madarasa mapya....alijenga bank kata kila kata ya bunda na mpaka sasa zipo na wananchi wanafaidika nazo.shud i sei mo?
 
Mimi ni shahidi kuwa shule zote hizo ni kutokana na juhudi za Dr. Nchimbi na mnataka msitake ni yeye aliye initiate idea na kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wake.Kampuni niliyokuwa nikifanyia kazi hapo Bunda ilitoa shs.500,000 na mifuko kama mchango wake.wananchi wenyewe wa Bunda walichangia kwa namna moja au nyingine ujenzi wa shue hizo kwa donation zao.Idea hii baadaye ilichukuliwa na JK na kuanzisha mradi kama huo nchi nzima.Kama ni credit basi inakwenda kwa Dr.Nchimbi.
 
Mimi ni shahidi kuwa shule zote hizo ni kutokana na juhudi za Dr. Nchimbi na mnataka msitake ni yeye aliye initiate idea na kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wake.Kampuni niliyokuwa nikifanyia kazi hapo Bunda ilitoa shs.500,000 na mifuko kama mchango wake.wananchi wenyewe wa Bunda walichangia kwa namna moja au nyingine ujenzi wa shue hizo kwa donation zao.Idea hii baadaye ilichukuliwa na JK na kuanzisha mradi kama huo nchi nzima.Kama ni credit basi inakwenda kwa Dr.Nchimbi.
mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.najua hili ni pigo baya sana kwa field marshal wa usadist na wengine wote ambao imani yao ni kuwa masikini ana jamba na kuambiwa toka lakini tajiri ana pumua tu na kuambiwa pole.
 
Mimi ni shahidi kuwa shule zote hizo ni kutokana na juhudi za Dr. Nchimbi na mnataka msitake ni yeye aliye initiate idea na kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wake.Kampuni niliyokuwa nikifanyia kazi hapo Bunda ilitoa shs.500,000 na mifuko kama mchango wake.wananchi wenyewe wa Bunda walichangia kwa namna moja au nyingine ujenzi wa shue hizo kwa donation zao.Idea hii baadaye ilichukuliwa na JK na kuanzisha mradi kama huo nchi nzima.Kama ni credit basi inakwenda kwa Dr.Nchimbi.

Mkuu heshima yako sana, lakini huu ni uongo wa mchana kweupee, katika historia ya uongozI wa Tanzania kama kungekuwa na mkuu wa wilaya aliyejenga shule za sekondari 17 in one year, tena katika wilaya ambayo hakuwepo, alikuwa kwenye kampeni za urais, angeshapewa nishani ya pekee ya taifa ya uongozi bora,

Sio wewe tu unayetoka Bunda, mshikaji wangu wa karibu sana alikuwa mbuneg kule, inawasiliana naye kuupata ukweli wote, na nimemuomba ukweli wote, kama Nchimbi alijenga shule 17 katika mwaka mmoja aliokuwa DC pale nitauweka wazi si unajua kwenye ukweli huwa sina noma kukubali, lakini so fasr ni maneno yal;iyomshitua kila mtu aneyotka Bunda ninayemfahamu,

It is about time nitauweka ukweli hapa, lakini ahsate kwa mchango wako.
 
Mkuu heshima yako sana, lakini huu ni uongo wa mchana kweupee, katika historia ya uongozI wa Tanzania kama kungekuwa na mkuu wa wilaya aliyejenga shule za sekondari 17 in one year, tena katika wilaya ambayo hakuwepo, alikuwa kwenye kampeni za urais, angeshapewa nishani ya pekee ya taifa ya uongozi bora,

Sio wewe tu unayetoka Bunda, mshikaji wangu wa karibu sana alikuwa mbuneg kule, inawasiliana naye kuupata ukweli wote, na nimemuomba ukweli wote, kama Nchimbi alijenga shule 17 katika mwaka mmoja aliokuwa DC pale nitauweka wazi si unajua kwenye ukweli huwa sina noma kukubali, lakini so fasr ni maneno yal;iyomshitua kila mtu aneyotka Bunda ninayemfahamu,

It is about time nitauweka ukweli hapa, lakini ahsate kwa mchango wako.
Kaka naungoja huo ukweli wako ambao sijui umeufata sayari ya mars au jupiter.maana kama ni hapo tanzania ata ukimtuma mtu hapo wizara ya elimu tu unapewa ukweli au altenative piga namba ya mkuu wa mkoa wa Mara.wanazo taarifa zote kupitia ofisi ya mkuu wa mkoa...baada ya hapo nakuomba wewe mwenyewe utoe nishani ya uongozi uliotukuka wa nchimbi na umuombe seguyemisi amvishe kwa niaba yako.Angalizo mimi siktoki bunda na wala sikai bunda.Msaada namba ya afisa elimu mkoa wa mara ni 2622139 na std ni +25528
 
Back
Top Bottom