With all respect kwa wakuu wote, naomba kuigusa hii topic kidogo, maaan imenigusa sana:-
1. Wa-Tanzania tumefikia mahali ni lazima tukubali kuwa ufisadi ndio siasa ya sasa kwa taifa letu, kwamba pmaoja na matatizo yote tuliyonayo ukweli wa mbali ni kwamba tukiweza kulikabili tatizo la ufisadi, basi mengine yote yaani matatizo tuliyonayo, yatajinyoosha yenyewe, lakini the name of the game ni ufisadi.
2. Sasa kwenye hili la ufisadi, lets be honest with each other, yaani wananchi at large ni lazima tuamue sasa tunataka kuwa upande gani kwa sababu, hakuna neutrality, wala middle position na ufisadi, either you are for it au you are not, either uko with us tunaoupinga au uko na wanaoufanya na wanaoushangilia.
3. Kwenye hili ninaomba kusema wazi kuwa ninatoa heshima nzito na a strong support kwa kiongozi huyu kijana Nape, ninajua for a fact kwamba record yake ni safi haina mikwaruzo, na heshima yangu kwake ilianzia pale ambapo yeye kama mimi pia, tuliitwa na muungwana kwa wakati tofauti wakati wa uchaguzi wa urais uliopita, katika kutaka our support kwa kambi yake, yeye ninajua kuwa alimkatalia kata kata muungwana, kwa sababu nyingi sana lakini ya msingi ilikuwa ni marafiki wengi wa muungwana, hawakuwa safi kushirki nao kwenye coaliton ya kisiasa kwa maneno mengine ni corrupt, kama wote tunavyojua sasa kutokana na ushahidi mbali mbali uliokwisha jitokeza, wazi.
4. Inanisikitisha sana kwamba somehow tumewaachia viongozi wasiofaa kuushika Umoja Wa Vijana ambao one time ulikuwa umeshikiliwa na Mzee Joseph Nyerere ambaye hakuwa na mchezo kabisa katika kufuata haki, sasa huu umoja umekuwa almost wa mtu mmoja, ambaye kwa kuamini kuwa ana ukaribu na the powers wa sasa basi anaweza kufanya atakalo that is pathetic.
Hapa again ninamlaumu Rais wa sasa, kwa sababu haiwezekani kiongozi mmoja wa CCM apewe alama ya E kiuongozi na uongozi huu suspect wa Vijana halafu aende bungeni na kushangiliwa namna hii na viongozi wengine tena wa CCM, something is not right na uongozi wa sasa!
Kwa kumaliza ninasema kuwa kwa wale wapenda mabadiliko kwa taifa letu, huwezi ukasema serikali ya sasa haifai lakini ukampondea huyu kijana Nape, huwezi ukampenda Obama, anayesimamia change, halafu ukamponda Nape ambaye pia anasiamia hiyo hiyo change, ila kwa njia tofauti kuliko ya Obama, hasa kutokana na tofauti ya mazingara ya kisasa ya grounds wanazozisimamia.
Nape, aendelee ksuimama kidete akielewa kuwa mabadiliko ya kisiasa sio kitu rahisi kukubalika, Umoja Wa Vijana yes ni step kubwa sana katika kutafuta nafasi ya kiongozi kuonyesha uwezo wake wa kulilia na kuleta mabadiliko, kwa hiyo Nape apokee kwa heshima kubwa vietndo kama hivi vya kusimamiwa na wabunge karibu wote bungeni kutoa heshima zao kwa ushujaa wake wa kusimama kidete,
Hakuna tatizo la time kwenye kutafuta mabadiliko, kwa hiyo ni sawa kabisa kwa Nape ksuema maneno mazito now kwa sababu politically huu ndio hasa wakati wa kusema na usikike wakati wa kukaribia uchaguzi, kwa sababu huyu mama Pelin huko kwao Alsaka kula Moose ni sawa, lakini sio sasa wakati yeye na Makeni wakigombea urais, sasa ataulizwa kwamba kwa nini unakula yule mnyama, asingekwua mgombea isingekuwa tatizo, ndio siasa inavyochezwa, maswali serious kuhusu nonesense huulizwa wakati wa uchaguzi sio kabla, kwa hiyo Nape hakukosea kuuliza kuhusu majengo sasa, yaani wakati wa uchaguzi kukaribia.
Mkuu Nape, tunakutakia mafanikio katika hivi vita ambavyo wengine tumevulia nguo siku nyingi sana, na sasa tuko kwenye kuvioga, usimame imara bila kuogopa, you have our attention sasa wewe ni kungalia mbele tu, hata ukikosa huu Umoja wa vijana, bado kuna nafsi nyingi sana tena muhimu kuliko hiii, ninasema bravo Nape, na kuna mabao tuko nyuma yako. na heshima kwa wabunge wote waliotoa heshima kwako.
Mingu Aibariki Tanzania.