Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

taizo la uongozi ni kuwa wengi wanapenda kuongoza ikiwezekana hata kwa kupinga yale ambayo yanapaswa kutekelezwa kwanza kabla ya kuwa kiongozi.
nape akae pembeni aache vikao viendelee na mchakato nadhani bado mmoja tu!
 
Kitu muhimu ambacho mwandishi wa habari alitakiwa kukiweka wazi ama kuwauliza hao wana kamati ya utekelezaji ni swala la vigezo walivyotumia kutoa alama E kwa kijana Nape.

Halisi si alishadokeza kuwa stori yenyewe imepenyezwa na akina Nchimbi, sasa unadhani katika mazingira kama hayo mwandishi, hasa kwa aina ya waandishi hawa wetu, atakuwa na uwezo wa kuhoji hayo yote. Si ajabu kuwa ilipeneyezwa na kitu kidogo
 
kama mnataka kumsaidia Nape Mwandosya mmechelewa kwa kuwa Nape hajakatwa na Mtu bali amekatwa na kanuni ambayo imemfikisha kikomo cha umri na umri ni ukuta,sasa kujaribu kudai ni Nchimbi ndio kamkata ni kusingizia kusiko na kikomo kwa kuwa kikao kilicho mkata sicho kilichopitisha hio kanuni,
Usilolijua litakusumbua kwa utaratibu wa chama kutoa taarifa za kikao chochote cha chama kabla ya uteuzi wa mwisho ni makosa uteuzi wa mwisho hufanywa na kikao cha halimashauri kuu ya ccm taifa na wala siyo baraza kwa maana hiyo basi hata kama watakuwa wamempa alama E bado hawana madaraka ya mwisho kwa mujibu wa katiba ya ccm
 
mpita njia,

hilo swa na mimi niko upande wa said mtanda na nape coz ni vijana pekee ambao hawana makundi na nadhani wana nafasi kubwa ya kuchukua ushindi,tuwape nafasi waoneshe wanaweza.

Tatizo lipo kwa watu wa ina ya nchimbi,watu wanaoaminika walichangia ushindi wa mkulu,hapa kuna tatizo sababu moja kubwa kama mkuu akiwaaca watamziria nchi na ndiyo maana mkuu wa nchi yuko makini sana.kuna madhara kama nchimbi akipuuzwa ila atakchofanya ni kutumia wazee kuamua hili ili asionekane yeye anampendekeza nani.

Kimsingi mie nalijua chaguo la mkulu linaweza kuangukia kwa nani.

Watu juu mnauliza said ni nani kwa sababu gani,yaani kugombea lazima uwe flani?lazima uwe mtu kutoka sehemu atakayo mtu flani?au maarufu kiasi gani??hili ni tatizo na wakati mwingine nyani ngabu you are right..ndivyo tulivyo...tunapenda wenye majina na wale ambao tuwapendao kutoka nyumbani

gembe unamfahamu said mtanda?
Ndiye rafiki wa karibu sana wa ridhiwan jakaya mrisho kikwete, wengi wenu mnadhani ridhiwan anamtaka benno malisa, mmeingizwa mjini hapo, chaguo la ridhiwan ni said, said ni mtoto wa mheshimiwa hakimu mfawidhi mstaafu wa wilaya ya ulanga mzee mtanda, rafiki mkubwa wa marhemu hakimu ezekile ligema, said ndie aliyeongoza kampeni ya ridhiwan 2007 kuomba ujumbe wa mkutano mkuu wa ccm taifa na yeye pia kujitwalia nafasi huko bagamoyo, kiasili ni chinga toka lindi ila kwa sasa rasmi said ni raia wa bagamoyo maana sheikh mtanda ameamua kuishi bagamoyo kama mstaafu wa mahakama.

Ni kijana safi, muungwana ambaye ametoka ktk familia yenye maadili mema. Naamini kama si nape basi said ndiye anayefaa kwa nafasi kitaifa ktk kuiweka ccm vizuri.

Sometimes majina makubwa nayo yana gharama.
 
gembe unamfahamu said mtanda?
Ndiye rafiki wa karibu sana wa ridhiwan jakaya mrisho kikwete, wengi wenu mnadhani ridhiwan anamtaka benno malisa, mmeingizwa mjini hapo, chaguo la ridhiwan ni said, said ni mtoto wa mheshimiwa hakimu mfawidhi mstaafu wa wilaya ya ulanga mzee mtanda, rafiki mkubwa wa marhemu hakimu ezekile ligema, said ndie aliyeongoza kampeni ya ridhiwan 2007 kuomba ujumbe wa mkutano mkuu wa ccm taifa na yeye pia kujitwalia nafasi huko bagamoyo, kiasili ni chinga toka lindi ila kwa sasa rasmi said ni raia wa bagamoyo maana sheikh mtanda ameamua kuishi bagamoyo kama mstaafu wa mahakama.

Ni kijana safi, muungwana ambaye ametoka ktk familia yenye maadili mema. Naamini kama si nape basi said ndiye anayefaa kwa nafasi kitaifa ktk kuiweka ccm vizuri.

Sometimes majina makubwa nayo yana gharama.

Nawashangaa sana nyie watu msiojua hata culture ya umoja wa vijana wa ccm...Ridhi hana ubavu wa kumweka mtu yeyote katika umoja wa vijana wa ccm...wakati wa uchaguzi wa uvccm wa ubunge huyo Ridh alikuja na mgombea wake Flora Jovin,lakini alichapwa kama amesimama....Uvccm huwa hawaangalii sura ya mtu wala cheo wala jina lako...uchaguzi wa Nchimbi uliopita mkapa,malechela,sumaye wote walimuunga mkono Nape na walikuwa na madaraka lakini haikuwasaidia kitu.walichapwa kama wamesimama.
 
Nawashangaa sana nyie watu msiojua hata culture ya umoja wa vijana wa ccm...Ridhi hana ubavu wa kumweka mtu yeyote katika umoja wa vijana wa ccm...wakati wa uchaguzi wa uvccm wa ubunge huyo Ridh alikuja na mgombea wake Flora Jovin,lakini alichapwa kama amesimama....Uvccm huwa hawaangalii sura ya mtu wala cheo wala jina lako...uchaguzi wa Nchimbi uliopita mkapa,malechela,sumaye wote walimuunga mkono Nape na walikuwa na madaraka lakini haikuwasaidia kitu.walichapwa kama wamesimama.

Angalia alama za nyakati. Mambo yamebadilika sana na kesho msikilize JK utajua zama za UJIMA zimekwisha na yeye (JK) akichemsha naye anaingia matatani. Kwa hali ya sasa Nape ndiye atawasaidia UVCCM na kwa mantiki hiyo ataisaidia CCM. CCM kwa sasa ni sawa na jahazi linalotaka kuzama na abiria na nahodha wao JK wanatakiwa kujiokoa kwa kutumia maboya. Maboya hayo ni kina Nape, Mwakyembe, Kilango, Mpendazoe, Selelii na kadhalika. Hao kwa kweli mashua ikizama hawazami wao ni maboya tosha. Sasa kama CCM itayaachia maboya na kubebe mizigo kama vile kina Makamba na wenzake, wajue watazama
 
Angalia alama za nyakati. Mambo yamebadilika sana na kesho msikilize JK utajua zama za UJIMA zimekwisha na yeye (JK) akichemsha naye anaingia matatani. Kwa hali ya sasa Nape ndiye atawasaidia UVCCM na kwa mantiki hiyo ataisaidia CCM. CCM kwa sasa ni sawa na jahazi linalotaka kuzama na abiria na nahodha wao JK wanatakiwa kujiokoa kwa kutumia maboya. Maboya hayo ni kina Nape, Mwakyembe, Kilango, Mpendazoe, Selelii na kadhalika. Hao kwa kweli mashua ikizama hawazami wao ni maboya tosha. Sasa kama CCM itayaachia maboya na kubebe mizigo kama vile kina Makamba na wenzake, wajue watazama

Kaka CCM ni baba wa mambo yote.hayo maboya yako n feki kama ambavyo hapo kazini kwenu mnashindwa kuendesha ofisi wenyewe mpaka wanawaendeshea wakenya,ndivyo ambavyo hata nchi hamuwezi wapinzani kuiendesha...kwanza kamchallenge Sollei anavyolula pesa ya mwananchi nanyi mmebaki mnapiga chapa tu.
 
Angalia alama za nyakati. Mambo yamebadilika sana na kesho msikilize JK utajua zama za UJIMA zimekwisha na yeye (JK) akichemsha naye anaingia matatani. Kwa hali ya sasa Nape ndiye atawasaidia UVCCM na kwa mantiki hiyo ataisaidia CCM. CCM kwa sasa ni sawa na jahazi linalotaka kuzama na abiria na nahodha wao JK wanatakiwa kujiokoa kwa kutumia maboya. Maboya hayo ni kina Nape, Mwakyembe, Kilango, Mpendazoe, Selelii na kadhalika. Hao kwa kweli mashua ikizama hawazami wao ni maboya tosha. Sasa kama CCM itayaachia maboya na kubebe mizigo kama vile kina Makamba na wenzake, wajue watazama

Kaka nianze kwa kukuunga mkono kwa hoja zako, kwakweli kama CCM wanataka kupona wakishikilia maboya haya wamepona wakiyaachia wamekwenda!!!!!!!

Fisadi mtoto bahati mbaya twakujua kuliko unavyodhani, wewe ni kibaraka mkubwa wa Nchimbi na kwahakika hatan ukaaji wako US ni hisani zake nisingependa utupotezee heshima ya forum hii kama huna hoja kaa pembeni................
 
swala la said mtanda na uvccm niliweke wazi hili, said kwa Beno malisa ni kijana wake mno hawezi kufurukuta kwa malisa, hata kidogo hivyo kaingizwa na kina Ridhiwani kwa lengo la kugawa kura za kanda ya kusini kwani naye kama Nape ni Chinga....huu ni mchezo wa Ridhiwani kujaribu kuzipanga kete kumpitisha Beno na sio Said kama wakuu wanavyo dai hapo juu
 
Kaka nianze kwa kukuunga mkono kwa hoja zako, kwakweli kama CCM wanataka kupona wakishikilia maboya haya wamepona wakiyaachia wamekwenda!!!!!!!

Fisadi mtoto bahati mbaya twakujua kuliko unavyodhani, wewe ni kibaraka mkubwa wa Nchimbi na kwahakika hatan ukaaji wako US ni hisani zake nisingependa utupotezee heshima ya forum hii kama huna hoja kaa pembeni................
Sasa una maana kuwa Nchimbi amukuwa ni serikali ya Bush mpaka ananipa visa ya kuniwezesha kukaa huku????Wewe ulidhani Nchimbi hana washabiki kwenye siasa?hangekuwa hana washabiki hasingeshinda chaguzi zake.

Mbona wewe ni mshabiki wa Nape nami sijakuzuia, mbona fieldmarshal ni mshabiki wa JSM nami naona ni kheri kwa upofu wake wa mtazamo hasi
 
swala la said mtanda na uvccm niliweke wazi hili, said kwa Beno malisa ni kijana wake mno hawezi kufurukuta kwa malisa, hata kidogo hivyo kaingizwa na kina Ridhiwani kwa lengo la kugawa kura za kanda ya kusini kwani naye kama Nape ni Chinga....huu ni mchezo wa Ridhiwani kujaribu kuzipanga kete kumpitisha Beno na sio Said kama wakuu wanavyo dai hapo juu
Wewei spinner kimsingi tangu lini Ridh akawa na uwezo wa kuwapanga wagombea na kuwachuja atakavyo ndani ya umoja wa vijana wa ccm.Atagawaje kura wakati hata majina ya wagombea wa mwisho bado hayajatoka maana ata mtanda kutoka ni hadithi...na kama issue ni kusini basi pia sio kweli kuwa Nape ana nguvu kusini kwa kuwa hawezi kuwa na nguvu Ruvuma.Pia kama ni kugawa nguvu za kusini kwa nini amtumie Mtanda wakati tayari alikuwepo Zainab Kawawa ambaye pia anatokea hukohuko kusini?acheni kutunga hapa
 
Uongozi unahitaji wanaothubutu sio kupiga porojo na hekaya za abunuwasi.Bila aibu mtu anazungumza upuuzi na kutafuta kuua jina la mtu kutumia magazeti,tena hawa ni wale wanaosali uchi katika dini ya shetani.

Wanaotegemea nguvu za giza wameshindwa kabisa na hawataweza kuzima mbio za wanaotumikia wananchi kwa haki.Tanzania ni ya Mungu na kila mtu ana haki ya kuishi na kufaidi matunda yake wala si nchi ya ukoo wala kikundi cha watu fulani wenye maskahi yao binafsi.

Nape Nnauye amethubutu na HATA wale vijana wa CCM Tanga walithubutu kuwaambia wanaotuhumiwa kuhusika na ufisadi kuachia ngazi nafasi walizo nazo.Hawa afadhali wameonyesha dalili.Big up Nape and Uv-sisiem Tanga
 
Mhhh hii ndo CCM alikosea kukomea hadharani angefanya kama Levy Mwanawasa kimya kimya kisha ukiukwaa unageuka kama kinyonga mbona mafisadi wangebanwa mbavu.
Ila Jk akitaka kushinda vita ya mafisadi amwongeze huyu dogo katika mapambano hayo....


JK yupi mkuu? Huyu mswahili msanii, anayeongoza nchi kwa fitna?? Nani alikuambia anauchukia ufisadi?
 
sasa una maana kuwa nchimbi amukuwa ni serikali ya bush mpaka ananipa visa ya kuniwezesha kukaa huku????wewe ulidhani nchimbi hana washabiki kwenye siasa?hangekuwa hana washabiki hasingeshinda chaguzi zake.mbona wewe ni mshabiki wa nape nami sijakuzuia,mbona fieldmarshal ni mshabiki wa jsm nami naona ni kheri kwa upofu wake wa mtazamo hasi

anyway nadhani wewe sina haja ya kukujibu sana, lakini kimsingi ningependa kusema wazi hapa kuwa mimi simpendi nape kama nape napenda wapiga vita ufisadi(baba zako) maana wewe ni fisadi mtoto.. So kila anayeonyesha msimamo wa dhati kupinga ufisadi namuunga mkono kwa dhati...so nape katika hili
 
uKWELI WA SAKATA ZIMA NI KWAMBA, ALIYEANDIKA STORI YA MWANANCHI NI NCHIMBI MWENYEWE MPAKA AKAIPELEKA KWA MSAKI MFANYAKAZI WA MWANANCHI ANAYEHAMIA IPP KWA SASA YEYE AKAKABIDHI KWA WATU WA CHINI YAKE AMBAO KWA UZALENDO WAO WAKARIPOT KWA NAPE WITH EVIDENCE ZA MSG TOKA KWA NCHIMBI ALIYETAKA STORI ITOKE BILA KUCHELEWESHWA.

NA KWA HAKIKA HUU NI MWENDELEZO NA UTEKELEZAJI WA MIPANGO YA MAFISADI YA KUMTOKOMEZA NAPE KISIASA KABISA AMBAO WAMEKUWA WAKISHINDWA KILA WAJARIBUPO NA AMEBAKI KUWA MWIBA MNO KWAO. NI SAWA NA KUFUNGUA SODA YA COCACOLA HUFUNGUI MOJA KWA MOJA BALI UNAPUNGUZA GAS KIDOGO KIDOGO..
 
NA HILI LA KUBIP LIMEFANYIKA NA LIMO NDANI YA MINUTES ZA KIKAO CHA MWISHO CHA KALOKIRO AMBAPO RA ALI RAISE HOJA NI JINSI GANI WATAMMALIZA NAPE NCHIMBI AKATOA VIAPO ETI KAMA NAPE ATAKUWA MWENYEKITI BASI YEYE NCHIMBI AKATWE UUME WAKE AU AWE NDONDOCHA NA AKAAHIDI KUFIKIA MWEZI SEPTEMBER NAPE ATAKUWA ICU KISIASA, MWENYEWE NAPE AMEKARIRIWA NA BBC NA SAUTI YA UJERUMANI AKIDAI HATETEREKI NA KWAMBA NI MCHEZO MCHAFU DHIDI YAKE NA ANAIMANI KUBWA NA VIKAO VYA MAAMUZI VYA CHAMA.

NIJUAVYO SEKRETARIATE YA CHAMA NAPE ANAUNGWA MKONO NA, CAPT. MKUCHIKA, CAPT.CHILIGATI, MEMBE, FERUZ (Ambaye ni naibu katibu mkuu wa ccm zanzibar kwa wasio mfahamu).. wasiomuunga mkonom ni Kidawa, Francis Isack na taarifa nilizonazo wazee wakimakonde wameunda kamati kwenda kumuona Makamba na kumkumbusha kafika pale coz of Nnauye, kutomuunga mkono Nape ni kujitakia laana kwa bei nafuu..........

KAMATI KUU Nape anao vigogo kama KINANA, ANA MAKINDA, SITTA,ANA ABDALLAH, MALECELA, KAWAWA, MKAPA, MWINYI, MSEKWA, KIGODA,PINDA MIZENGO, DR BILALI, DR. SALIMIN, YUSUPH MREFU NK HAWA NIMEWASIKIA KWA MASIKIO YANGU WAKIAPA KUFA NA NAPE KATIKA HILI NA NDO MAANA NAPE ANADAI KUWA NA IMANI NA VIKAO VYA CHAMA....Hapa anakaririwa na bbc akisema......."naamini mwenyekiti wa chama JK ni mwadilifu hawezi kuingizwa na kushiriki mchezo mchafu anao chezewa...
 
Kimsingi Nape ka washika pabaya na ndo maana hajapatikana mtu wa kujibu hoja zake juu ya ufisadi mradi wa UVCCM, NA WANAENDELEA KUKIMBIA KILA KUKICHA, ALIJARIBU MAKAMBA AKAONA MAJI MAREFU AKACHOMOKA, SASA WANATAKA KUSINGIZIA NI COZ YA UCHAGUZI NDO MAANA HILI LIMEIBUKA ILI KUFICHA UKWELI WA MAMBO.

MIE NADHANI SWALA LA MRADI WA KIFISADI UJADILIWE TOFAUTI HOJA KWA HOJA NA USIUNGANISHWE NA UCHAGUZI MOJA KWA MOJA......
 
Fisadi mtoto mbona umepotea?

Endeleza majibu bila bugudha.

Ninawasoma kwa makini. Kicheko changu kitakuja mwishoni!
 
Sasa una maana kuwa Nchimbi amukuwa ni serikali ya Bush mpaka ananipa visa ya kuniwezesha kukaa huku????Wewe ulidhani Nchimbi hana washabiki kwenye siasa?hangekuwa hana washabiki hasingeshinda chaguzi zake.mbona wewe ni mshabiki wa Nape nami sijakuzuia,mbona fieldmarshal ni mshabiki wa JSM nami naona ni kheri kwa upofu wake wa mtazamo hasi

Mkuu mimi sina ushabiki na mtu au kiongozi yoyote, kwangu siasa ni ukweli tu ulipo, sina sababu ya kujiita majina ya ajabu ajabu eti watu hapa wanione na mimi ni mtoto wa kiongozi, huwa sina hiyo tabia mkuu,

Nape ni mgombea wa UV-CCM ambaye anweza kuenguliwa na NEC tu na sio Nchimbi, najua kuwa unajaribu sana kujikweza kwa Nchimbi, labda atakuja kukuinua, lakini na yeye si anahitaji kujiiinua kwanza kabla hajakuinua?

Kinachoendelea sasa hivi kati ya Nape na Nchimbi tunakijua vizuri sana, na Nchimbi anajua kuwa this time ameshikwa pabaya, punguza obsession na jina langu, naona unahangaika kila kona ukitumia jina langu, halafu huwezi andika bila jina langu, Mama Kilango, au JSM, vipi kwani la Nchimbi halikutoshi?

Haya kujiita majina ili uonekane kuwa ni mtoto wa kiongozi ni very low mkuu, kwa nini usiridhike na alichokupa tu Mungu wako? Hawa viongozi unaowalilia kila siku watakusaidia nini? Naomba nikuulize walichokusaidia so far ni nini zaidi tu ya kukula hela zako kuwanunulia zawadi?

Acha mkuu, kua kidogo be who you are utaheshimika sana, kuliko kuhangaika na what you are not! Halafu achana na jina langu, next time jaribu kusifia kazi alizokwisha fanya Nchimbi, tuwekee record yake ya kazi sio matusi na blah! blah! Nape is doing just fine na kuna nafasi nyingi sana za uongozi, kwa hiyo he is coming hakuna wa kumzuia, ndio maana alitoa ukweli wazi bila kuogopa, bila ya vile kuna baadhi ya viongozi walikuwa wamepania kumkata jina! Sasa wamepiga mwamba, subiri kikao cha NEC kinachokuja! Ndipo utagundua exactly nani hasa anyemuunga mkono kumwaga vitu wazi!

Ahsante Mkuu.
 
Back
Top Bottom