Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Tatizo wabongo tumekua waongeaji mno
Ukiacha kuvua samaki wabongo tunalalama hakuna bonga wavuvi siku hizi hawavui ee tena ee hapa sijui kuna mtu wewe umemwandaa awe mvuvi tuu na kwanini isiwe wewe mvuvi??

mtu akiamua kuvua hao samaki tena waanza lalama ooh mvuvi huyu anamaliza samaki ooh mvuvi huyu anachafua ziwa lazima azuiwe mvuvi huyu kapandisha bei ya samaki lazima adhibitiwe.

Wewe bado hujawai hata sukuma mashua pale ufukweni je wajuaje dhahama iliyo baharini?? Watanzania wezangu acheni uoga usio na misingi.
 
Duh, washikaji wangu wengi CUF si unajua tena Uislaam! wengine ndio hao wabangaizaji hawana dini.. kwi kwi kwii!..
Bongo mkuu najiandaa nipo safarini utanisikia tu... kazi inaanza Columbus kwenye ngoma za kizeee! - tukalishwe sumu.

Mkuu Mkandara utaleta balaa humu ndani kama CUF ni chama cha uislamu hebu tuambie na CHADEMA ni chama cha nini?
 
Mrithi wa Nchimbi mwenyekiti UVCCM (umoja wa vijana Taifa) Taifa, RIdhwan kikwete katangaza leo kupitia gazeti la Tanzania daima kuwa ana mtu wake anayemtaka awe mwenyekiti wa umoja wa vijana Taifa, Zainabu Kawawa (mtoto wa kawawa Rashid) anagombea uenyekiti taifa, Violet Mzindakaya (mtoto wa Mzindakaya Mbunge wa Sumbawanga, na mtuhumiwa wa ufisadi wa sh bilioni 10 kutoka B.O.T) anagombea ijapokuwa kuna minongono kuwa mwishoni atamuunga mkono kipenzi cha Ridhwan ,Mwamvita Makamba(mtoto wa makamba katibu mkuu wa CCM) nae ana mtu wake.

Wana JF nauliza sisi wototo wa wakulima nafasi yetu ipo wapi? katika jumuia kama watoto wa Nyerere, Makongoro, Madaraka, Ana na watoto wa mzee Ruksa Mwinyi Husein, na Abas wangetaka kuwaweka marafiki zao waliosoma nao (kwa maana na wao wanesoma)jumuia ya vijana(UVCCM) igekuwa wap?

Na wewe tangaza wa kwako halafu peleka kwenye vyombo vya habari mkuu.
 
Mrithi wa Nchimbi mwenyekiti UVCCM (umoja wa vijana Taifa) Taifa, RIdhwan kikwete katangaza leo kupitia gazeti la Tanzania daima kuwa ana mtu wake anayemtaka awe mwenyekiti wa umoja wa vijana Taifa, Zainabu Kawawa (mtoto wa kawawa Rashid) anagombea uenyekiti taifa, Violet Mzindakaya (mtoto wa Mzindakaya Mbunge wa Sumbawanga, na mtuhumiwa wa ufisadi wa sh bilioni 10 kutoka B.O.T) anagombea ijapokuwa kuna minongono kuwa mwishoni atamuunga mkono kipenzi cha Ridhwan ,Mwamvita Makamba(mtoto wa makamba katibu mkuu wa CCM) nae ana mtu wake.

Wana JF nauliza sisi wototo wa wakulima nafasi yetu ipo wapi? katika jumuia kama watoto wa Nyerere, Makongoro, Madaraka, Ana na watoto wa mzee Ruksa Mwinyi Husein, na Abas wangetaka kuwaweka marafiki zao waliosoma nao (kwa maana na wao wanesoma)jumuia ya vijana(UVCCM) igekuwa wap?

Dawa yao ndogo sana! soma signature yangu hapo chini!
 
Hakuna tatizo kwa watoto wa vigogo kugombea provided hakuna by law inayowazuia ndani ya CCM wala kwenye katiba ya nchi,kwa kawaida lazima UVCCM iwe breading place kwa ajiri ya kulinda masirahi ya wakubwa wakistaafu sasa nyinyi mnataka waje watoto wa wakulima waje kuwasumbua kwa kuwapeleka mahakamani viongozi wakistaafu kwa makosa yao.

Waacheni wachague na kuwafanyia kampeni watu wanaowataka kwa kuwa na wao wana haki ya kuchagua na kuwafanyia kapeni viongozi wanaowapenda kwa masirahi yao binafsi kama na nyinyi mnavyofanya kwenye uchaguzi wa nchi kwa kuwasaidia viongozi hao hao kuwapa wananchi sh. 2000 na kuwarubuni wawapigie viongozi mnaowapenda na kuwanyia kampeni.
 
Hii sasa imepitiliza...kila mtoto wa kigogo anafikiria kuwa lazima na yeye aje awe....kiongozi...hiyo ni fikra potofu..."hata kama hawana uwezo wanalazimisha tuu".........kuna uhalali na ulazima kwa hilo??au imeshakuwa chama cha kifalme..........
 
Hii sasa imepitiliza...kila mtoto wa kigogo anafikiria kuwa lazima na yeye aje awe....kiongozi...hiyo ni fikra potofu..."hata kama hawana uwezo wanalazimisha tuu".........kuna uhalali na ulazima kwa hilo??au imeshakuwa chama cha kifalme..........

kwa hiyo kosa kwa mtoto wa kigogo kufikiria kugombea uongozi ?? oh hail mary full of grace !

kama hutaki kuona mtoto wa kigogo akigombea, nakushauri ukiona mtoto yoyote wa kigogo anagombea, na wewe chukua fomu ujaze haraka haraka !
 
Jamani kila kukicha mnaambiwa CCM chama cha mafisadi tatizo la akili zetu wabongo tunaugonjwa wa kung'ang'ania kwani lazima ugombee CCM?mbona kiuna vyama vingi vyenye sera nzuri kuliko hata CCM lakini nyie mmeng'ang'ania tu nendeni CUF au njooni CHADEMA.
 
Sidhani kugombea kwao au kuendorse wagombea kuna effect kama uchaguzi utakuwa wa haki na usawa. Kazi kwenu walala hoi mlio CCM, hamna nafasi ondokeni njooni Independent. Hakuna haja ya kuwa mwanachama kwenye chama kinachoendeshwa kwa misingi ya kimalkia na kifalme.

Mwenye shida na kadi za Independent naomba nitumie msg, nitakupa strategy zote za kugombea jimbo lako. Kama unaipenda sana CCM lakini baba yako ni mkwea minazi huko Pangani, i am afraid kwamba na wewe utakuwa kada wa wakwea minazi na sio kada wa CCM. THAT IS REALITY, you don't need LLB from Harvard school of law to figure that out.
 
Mambo haya yapo DUNIA nzima. George Bush na Baba yake; Karume na Karume tena; Ian Khama na Sir Seretse Khama( Botswana); Ugiriki nasikia zipo familia mbili tu; India ndio usiseme; Mbowe na Mtei; Infact CCM yalichelewa kidogo kwa sababu ya Mwalimu!
 
Last edited:
Mambo haya yapo DUNIA nzima. George Bush na Baba yake; Karume na Karume tena; Ian Khama na Sir Seretse Khama( Botswana); Ugiriki nasikia zipo familia mbili tu; India ndio usiseme; Mbowe na Mtei; Infact CCM yalichelewa kidogo kwa sababu ya Mwalimu!

Tatizo koo za CCM zipo kubwa mzazi, wakianza pale mtachoka. Maana Makamba ana watoto wa kutosha, ukija kwa Karamangi, Lowassa, Jakaya na wengine. Kazi ipo kweli kweli,
 
Mrithi wa Nchimbi mwenyekiti UVCCM (umoja wa vijana Taifa) Taifa, RIdhwan kikwete katangaza leo kupitia gazeti la Tanzania daima kuwa ana mtu wake anayemtaka awe mwenyekiti wa umoja wa vijana Taifa, Zainabu Kawawa (mtoto wa kawawa Rashid) anagombea uenyekiti taifa, Violet Mzindakaya (mtoto wa Mzindakaya Mbunge wa Sumbawanga, na mtuhumiwa wa ufisadi wa sh bilioni 10 kutoka B.O.T) anagombea ijapokuwa kuna minongono kuwa mwishoni atamuunga mkono kipenzi cha Ridhwan ,Mwamvita Makamba(mtoto wa makamba katibu mkuu wa CCM) nae ana mtu wake.

Wana JF nauliza sisi wototo wa wakulima nafasi yetu ipo wapi? katika jumuia kama watoto wa Nyerere, Makongoro, Madaraka, Ana na watoto wa mzee Ruksa Mwinyi Husein, na Abas wangetaka kuwaweka marafiki zao waliosoma nao (kwa maana na wao wanesoma)jumuia ya vijana(UVCCM) igekuwa wap?

Mkuu ogwalumapesa

Ha ha ha ha ha ha!!!!!!!! kwi kwi kwi!!!!
Samahani kwa kucheka kiasi hicho. Sio kwa nia ya kubeza maoni yako bali umenikumbusha ule usemi wa wahenga usemao "Mwana wa nyoka ni nyoka" hawezi kuwa mjusi. Unatarajia mtoto wa Mwanasiasa atakuwa nani kama sio Mwanasiasa? Mtoto wa Mkulima anapaswa kuwa mkulima. Tatizo letu watz tunapenda ku-divert from our origins.

Kwa hiyo sisi watoto wa wakulima tushike majembe hima tuvamie mapori ili tuwe wakulima bora ambapo wakulima wenzetu watatuchagua tuwawakilishe kama sauti yao.
 
ridhwan anampigia debe rafiki yake wa karibu naitwa BENO MALISA. huyu ni mtoto wa aliyekua mkuu wa magereza. walisoma wote chuo na walikuwa wanakaa pamoja. habari ndio hiyo
 
ni kweli hatuna nafasi hiyo kabisa,swali la maana ni hili,hivi huwezi kuwa kiongozi mzuri ktk jamii yako mpaka upitie ccm,sema wanataka kupitia ccm kwa sababu ya ulaji tu.Kama ni siasa mbona vyama viko lundo, kama sijakosea viko zaidi ya kumi na saba hivi.

Ukishindwa siasa nenda shambani kalime,jamaa wanagawana bonde la mto Rufiji huko chini.CCM haina nafasi kwa watu wa chini aka wanyonge.

Kinachoniuma zaidi sisi wanyonge ndio tunaowapigia kura za ndio hawa jamaa!!
 
Ushauri wangu sisi wote ambao bado tumo ndani ya chama tawala kama katiba ya nchi yetu inavyoruhusu kuwa kila mtanzania ana haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa, tupigie mbiu kubwa! nchi nzima ili tukifika Dodoma tuhakikishe kuwa hao wote wanaonekana hawana jipya kwetu tuwapige chini basi vinginevyo tutandelea kuimba Iyena Iyena hadi uzeeni bila jipya! kingine swala la kujiunga na chama ni haki ya mtu hata kuanzisha kipya kama vilivyopo vyote mtu anaona havitoshi
 
Nchi hii imelaaniwa na sababu kubwa ni kupatikana kwa uhuru wa nchi hii kw anjia za kishirikina,cha kufanya kama wewe ni Mtanzania na una nafasi ya kula pesa wewe lamba na nenda zako.


Usitegemee maendeleo katika nchi hii.Wewe angalia Ridhwani sasa anamtaka beno ili amsaidie kwa baadaye wakati benoo akishashika hatamu.

Utawal wa nchi hii ni wa ku peana tu.wakati mwingine huwa nakuwa na mawazo kama ya waasi ,nimechoka na upuuzi kila siku
 
ni kweli hatuna nafasi hiyo kabisa,swali la maana ni hili,hivi huwezi kuwa kiongozi mzuri ktk jamii yako mpaka upitie ccm,sema wanataka kupitia ccm kwa sababu ya ulaji tu.Kama ni siasa mbona vyama viko lundo, kama sijakosea viko zaidi ya kumi na saba hivi.

Ukishindwa siasa nenda shambani kalime,jamaa wanagawana bonde la mto Rufiji huko chini.CCM haina nafasi kwa watu wa chini aka wanyonge.

Kinachoniuma zaidi sisi wanyonge ndio tunaowapigia kura za ndio hawa jamaa!!

wanafuata easy sailing ccm hakuna kingine>wanasema ccm hata ikisimamisha mgomba utapita tu,upo hapo???
 
Back
Top Bottom