Mwandishi wa makala hii ni CHARLES CHARLES,ambaye ni naibu katibu uhamasishaji UVCCM Taifa,kwaiyo msimshangae analinda unga wa watoto kwa kumfagilia bosi wake kaka Charles; ni vizuri ufahamu kuwa tatizo sio Beno kama unavyotaka tuamini.
Tunachokitaka sisi vijana wa CCM, NI kuongeza wigo wa uwakilishi ndani ya vikao vya maamuzi,Beno tayari ni mjumbe wa NEC Taifa anaingia katika vikao vyote vya chama kuanzia tawi-Taifa. Kwanini asiwaachie na vijana wenzake au ni yeye pekee ndio mwenye sifa,tunasema kwa lugha moja atutaki atutaki, sauti ya watu ni sauti ya mungu
Ni hatari kwa mwandishi anaeshimika kama wewe kuchochea suala la rangi ya mtu ,ukabila,na ukanda.sisi sote ni wa Tanzania,Kama vipi nenda bondeni kwa mzee madiba (MANDELA) uendeleze ubaguzi WA RANGI(racism)