kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,181
- 1,574
Kabila gano huyu Mayalla?No siyo personal issues Kuna Muda ukweli lazima Usemwe tujilie Keki ya Taifa sisi
Kabila gano huyu Mayalla?No siyo personal issues Kuna Muda ukweli lazima Usemwe tujilie Keki ya Taifa sisi
Kabila gano huyu Mayalla?Tangu aseme mwalimu wake ni huyu Betina tumempuuza rasmi, ukiona mtu anajivunia A tena ya kozi MOJA ujue ni kilaza tu.
Kabila gano huyu Mayalla?Sasa ndugu yangu "Salary slip" hayo ni majungu.
Ni vyema wewe ukakata nyanga za kisheria naye atakuja atakata nyanga za kisheria na sisi wapenzi wasomaji na watazamaji tutapima uzito wa hoja na suala lenyewe...
mhadhiri wa somo na mwanafunzi wake. Wameonesha kwann walipeana AAibu kubwa sana
Huyu ni Pascal Mayalla kwanini usimtaje moja kwa moja tu...?Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawapo la kozi ya sheria pale UDSM.
Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.
Tusubiri.
Hahahaha!!Alipata A kwenye somo la KARMA na VOICES FROM WITHIN pale UDSM.
Kuna wakati huwa najiuliza hata nchi zilizoendelea wanafiki kama hao uwepo.Huyu ni Pascal Mayalla kwanini usimtaje moja kwa moja tu...?
Hawezi. Huyu ni mwana propaganda "mbuni" wa CCM achimbiaye kichwa chini ya ardhi huku kiwiliwili chake chote kikiwa nje..
Yeye hoja na kauli zake kuu kuhusu haya mambo huwa ni "..CHADEMA kwisha habari yake.." au "...CHADEMA ni Kangaroo court" huku yeye akiwa ni "mbuni" aliyeficha kichwa huku kiwiliwili kikiwa wazi kikichomwa na jua jangwani...
Huyo ndiye Pascal Mayalla "msomi wa sheria" aliyepata A kwenye course ya "..Kangaroo court law.."
A ya somo gani au kabobe kwenye Journalism Laws?Hawezi kuitumia kudadavua mambo ya Constitutional Law.Hata hivyo A ya kwenye mtihani huku mtaani zipo kuanzia chekechea/Sunday schools level upwardly.Pascal Mayalla hana lolote kupata A sio kigezo cha kudadavua mambo. Hana lolote.
Wanapenda kukunwa katika maungo gani?Ashakum si matusi,nauliza tu.Tulia na wakubwa zake ndo wakwanza kuvunja katiba na sheria za nchi halafu wanataka kukunwa
Tatizo asipochambua jinsi unavyotaka wewe lazima utaghadhabika. Sasa kwaninini unaitafuta hasira kwa lazima?Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawapo la kozi ya sheria pale UDSM.
Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.
Tusubiri.
Hiki chama kina madikteta hatari mno. Sema CCM inawanyoosha. Watanzania wasiwe na hofu wako salama na kamwe Chama Cha Mbowe hakitaingia ikulu.Wanachama wa CHadema wa humu Ni hopeless kabisa. JF Ni jukwaa huru. CHadema Ni Demokrasia na maendeleo. LINI MTAISHI HUO MOTTO WENU?
Matusi na kashfa. Hakuna madikteta kama wanachama wa chamatusi. Com. Katiba mnayotaka ya nini? Ya matusi? Why mko so stupid. Sio wote ila baadhi ya wanachama wa CHADEMA WA JF Ni zero BRAIN. Acheni matusi kwa watu wanaotoa hoja tofauti na matakwa yenu. Anzisheni Forum yenu Basi. CHADEMA FORUM where we dare to abuse.
Uko sahihi, ila Paskali apunguze ujuwaji, si lazima kila jambo ujifanye unalijuwa wewe, mbona hata Jaji Werema ni member humu lakini huwezi kumuona akirukia kila jambo la kisheria kujifanya yeye ndio mjuwaji.Kwa kweli hichi kinachoendelea kwenye huu ni kujidhalilisha jamii forums....ni kujidhalilisha CHADEMA..........
Kwanini kuikosoa CHADEMA inakuwa ni kosa la jinai ambalo hukumu yake kudhalilishana na kuvuana nguo kiwango......??
Sasa kuna tofauti gani kati ya Jf na kijiwe cha wavuta bangi.........
JF inaaminika kuwa ni uwanja wa watu wenye bongo zinazochemka na kuibua mijadala yenye tija kwa taifa.......kwanini tunataka kuipoteza sifaa hii kwa kushindwa kudhibiti mihemko yetu..........
Ni Demokrasia ipi inayohubiriwa na CHADEMA......Ni uhuru upi wa kutoa maoni unaopiganiwa na CHADEMA......??
Kwanini demokrasia ni kuisifia CHADEMA tu na sio kinyume chake.......???
Sasa kwa mtiririko huu kuna tofauti gani kati ya nyie na utawala wa MAGUFULI....??
Wandugu kuna maisha mengine nje ya siasa na wanadamu hatuwezi kuishi na mawazo yanayofanana hata watoto wako wa tumbo moja hutofautiana mawazo.....Hilo ni jambo la kawaida na ni maumbile ya kibinadamu....hakuna dawa juu ya hili zaidi ya kuvumiliana
Ukweli upi,? Kwamba Mbowe kafoji barua ya kuwateua, au kigogo wa Cdm! na kuwatoa baadhi wao magerezani wakasafirishwa usiku wa manane kwenda kuapishwa ubunge. Ingekua hivyo tusingefika hapa, subiri vyuma visuguane mwanga utayokea soonKwa nini hampendi kuambiwa ukweli?
Wahuni wahuni hiviChadema mtagombana na nchi nzima sasa.
Sio kwa Povu hili.
Kila siku mnaongeza idadi ya maadui wapya.
Kwenu haki ni pale inapowapa favour nyinyi na vinginevyo sio HAKI.
MBOWE Alisema.......ACHENI UHUNI BHANA!
achana na huyo kuna Tulia inasemekana ni PhD holder. Lakini jitu la hovyo
covid 19 wana fungu milions 400 crdb walijichanga muda mrefu linafanya kazi sasa unadhani mr NJAA yeye hazitaki na vile kazi zake zimekuwa ngumu? ukimuuliza hata ubunge wa mtu aliyetolewa jela usiku umepatikanaje , hana jibu? utasikia kuna kigogo chadema anaju sasa sijui chadema wanaamrisha magereza?