Sakata la Mdee na Wenzake: Yule anayejisifu kusoma sheria na kupata A hamuwezi kumuona akichambua uamuzi wa Spika kuwalinda Mdee na Wenzake

Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawqpo la kozi ya sheria pale UDSM.

Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.

Tusubiri.
Bwana P ni mchambuzi mzuri, Yeye kama walivyo Watanzania wengi hujali TONGE lao kwanza kabla ya ukweli..
 
Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawqpo la kozi ya sheria pale UDSM.

Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.

Tusubiri.
Unamaanisha yule njaa iliyoingia kwenye ubongo?
 
Hatutaki kupakaziwa uongo,hao malaya wa kisiasa si wako Mahakamani? Huko ndiko ukweli utajulikana tofauti hizo ngonjera za huyo mlevi wenu mwenye njaa kali

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Jibuni hoja zake, kwani ni uongo kwamba Katiba ya CHADEMA inazuia wanachama kwenda mahakamani? huoni kama hii ni kinyume na katiba ya nchi na moja kwa moja inaondoa uhalali wake?!! kwani ni uongo kwamba utaratibu wa kuwafukuza ulikiukwa kwa mfano Halima mamlaka yake ya nidhamu kwa nafasi yake kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA ni Baraza kuu lakini yeye aliadhibiwa na CC!!!!? Haya ndo mambo ya kujibu na si kukimbilia kumuataki mleta hoja.
 
Kupata A haimanishi yeye ni mbobezi kwenye sheria mambo mengine ni upuuzi mtupu tunao wengi huku mitaani ni weupe kichwani huwezi amini mkuu.
Mhurumieni kaka yangu
Pascal Mayalla
Kuna wakati matatizo hupofusha akili.
Ninakiri wazi na Mungu ananiona kuwa Mayalla ana akili njema na uwezo mzuri.
Lakini hawezi kutenda haki katika hili.
Hii ni kwasababu amewgemea upande wenye mapera yaliyotari kuliwa.

Akisema kweli anahofia kutopewa upendelea kuingia shambani.

Cheza na vingine lkn usicheze na akili iliyovurugwa na shida.

Shida hazinaga adabu.

Nisamehe Pascal ukubali kusikia ambayo hupendi kusikia.

Pili jitafakari sana kwanini vidole vingi vinaku point siku hizi?
 
Jibuni hoja zake, kwani ni uongo kwamba Katiba ya CHADEMA inazuia wanachama kwenda mahakamani? huoni kama hii ni kinyume na katiba ya nchi na moja kwa moja inaondoa uhalali wake?!! kwani ni uongo kwamba utaratibu wa kuwafukuza ulikiukwa kwa mfano Halima mamlaka yake ya nidhamu kwa nafasi yake kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA ni Baraza kuu lakini yeye aliadhibiwa na CC!!!!? Haya ndo mambo ya kujibu na si kukimbilia kumuataki mleta hoja.
  • Ni kweli Katiba ya CHADEMA inazuia mwanachama kwenda mahakamani, Katiba hiyo imesema kwamba ukienda mahakamani ukashindwa kesi automatically unapoteza uanachama, Ukishinda kesi hiyo uanachama hauupotezi umeelewa hapo?
  • Kama Mamlaka ya kinidhamu ya Mhe.Halima Mdee ni baraza kuu, swali ni je Asiporidhika na uamuzi ataenda chombo gani kingine? Au unataka kusema ataenda Kamati kuu?
  • Vyombo vya ngazi ya Juu vya kinidhamu vya CHADEMA ni Kamati kuu ambayo kisheria tunasema Ina original jurisdiction, halafu mkutano Mkuu una appellate jurisdiction yaani mamlaka ya rufaa.
 
Jibuni hoja zake, kwani ni uongo kwamba Katiba ya CHADEMA inazuia wanachama kwenda mahakamani? huoni kama hii ni kinyume na katiba ya nchi na moja kwa moja inaondoa uhalali wake?!! kwani ni uongo kwamba utaratibu wa kuwafukuza ulikiukwa kwa mfano Halima mamlaka yake ya nidhamu kwa nafasi yake kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA ni Baraza kuu lakini yeye aliadhibiwa na CC!!!!? Haya ndo mambo ya kujibu na si kukimbilia kumuataki mleta hoja.
Jina la Mdee lililopelekwa nec lilienda kama mwenyekiti wa bawacha au vitu maalum?
 
Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawqpo la kozi ya sheria pale UDSM.

Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.

Tusubiri.
Chuo kikuu wanatoa GPA, sio A kama za shule za vidudu
 
Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawqpo la kozi ya sheria pale UDSM.

Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.

Tusubiri.

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imesema Wabunge 19 waliovuliwa uanachama na CHADEMA, waendelee kufanya shughuli zao za kibunge hadi Mahakama itakaposikiliza maombi yao ya zuio la muda kuhusu ubunge wao.

Uamuzi huo umetolewa na Jaji John Mgeta baada ya kusikiliza kesi hiyo kwa ajili ya kutoa uamuzi kama Wabunge hao waendelee kuwa Bungeni ama laah, ambapo June 13, 2022 ndio atasikiliza zuio hilo.
#MillardAyoMAHAKAMANI
 
Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawqpo la kozi ya sheria pale UDSM.

Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.

Tusubiri.

Zuio lipo, Spika siyo mjinga kama unavyofikiria wewe. Soma hapa chini:

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imesema Wabunge 19 waliovuliwa uanachama na CHADEMA, waendelee kufanya shughuli zao za kibunge hadi Mahakama itakaposikiliza maombi yao ya zuio la muda kuhusu ubunge wao.

Uamuzi huo umetolewa na Jaji John Mgeta baada ya kusikiliza kesi hiyo kwa ajili ya kutoa uamuzi kama Wabunge hao waendelee kuwa Bungeni ama laah, ambapo June 13, 2022 ndio atasikiliza zuio hilo.
#MillardAyoMAHAKAMANI
 
Sijaona sababu kuanzia mwanzo kuchangia hii mada lakini sasa nimepata kiu. Inakuwaje Mahakama inaamuru waendelee na kazi Bungeni? Bunge ni mhimili ulio huru na hauwezi ingiliwa na Mahakama. Waliowasilisha rufaa mahakamani siyo Bunge lenyewe bali ni wabunge 19, sasa Jaji anaagiza Bunge liwaruhusu kuendelea na Ubunge ambao haukutokana na chama chao? Hii inaonyesha system ni rojo. Maana inaashiria kwamba kuna mazungumzo na makubaliano nyuma ya pazia. Katiba wala Sheria hazina nafasi hapo. Tulidhania hili jambo ni dogo kumbe ni kubwa sana!
 
Back
Top Bottom