Sakata la Marekani na Iran... Marekani kaibuka kidedea..

Sakata la Marekani na Iran... Marekani kaibuka kidedea..

Kuna cha uongo nilichoandika hapa? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30]
Mshana jr unaaminika Sana ,hata ulisema uongo watu wanakuamin.kwa leval uliofikia gombea ubunge

Jr[emoji769]
 
In terms of vifo tuwe wakweli Iran kaumizwa na US
Binafsi naona irani hajapoteza. Nialikua underdog kusema kwamba angeweza kushinda vita na USA ila mpaka sasa ikowazi kua irani hatishwi na vitsho vya USA. Kuhusu ndege ya ukraine hatuwezi kuhesabu kma nihasara kwa irani pekee waliofarik sio wa irani pekeake napia inaweza ikawa sio bahat mbaya kamawanavodai, mtu mmoja anaweza akawasababu yakushusha ndege nzima. Kma irani ameweza kusimama kwa USA na Trump akaufyata niwazi USA asjirabi kwa kiduku wa north korea wala putin.

Irani katuonesha USA nimikwara mingi action hakuna

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Tujadili mada hii katika uhalisia..
Tuweke mahaba pembeni...
Hapa tusizungumzie propaganda za pande zote mbili bali tujadili zile fact zilizoonekana..

Wamarekani ni watu wanaothamini mno uhai wao kuliko kitu kingine chochote... Kwakuwa wanaamini ya kwamba WE LIVE ONLY ONCE... Tunaishi mara moja tuu.. Hayo maisha baada ya kifo ni habari nyingine isiyopewa mashiko sana..
Mmarekani hataki kusikia kitu kinaitwa kufia vitani.. Wanajaribu kwa jinsi zote kujikinga kwa kila namna asife lakini pia ashinde... Ndio maana amewekeza sana kwenye teknolojia ya maroboti ya kivita.. Vita ya kwenye computer... Yaani akutungue wakati akiwa kwenye sofa, kiyoyozi na kikombe cha kahawa mkononi..

Kwenye military base zao na hata kwenye Balozi zao duniani wamewekeza kwenye mifumo imara ya ulinzi na USALAMA.. Kiasi kwamba hupata taarifa mapema kabla hatari haijatokea. Wana mahandaki na vyumba salama ambavyo ni ngumu mno kuvishambulia na kuleta madhara tarajiwa
Hiyo ndio haiba ya mmarekani aende vitani akapigane ikiwezekana ashinde kisha arudi home maisha yaendelee huku akitunukiwa nishani na medani ya vita...

Kwa watu wa mashariki ya kati hasa waarabu... Wao wanaenda vitani wakapigane .. Kupona sio sehemu muhimu kwao.. Na ndio maana mambo ya kujitoa mhanga afe na wengine wengi sana ni SEHEMU muhimu ya mafunzo yao ya kivita.. Kwenda kupigana ufe.. Yani anapoona kuna nafasi ya kuua wengi kupitia yeye hasiti kujilipua... Hii ndio tofauti kubwa kati ya wawili hawa mzungu na mwarabu
Shambulizi la Iraq lililoondoka na kichwa cha jenerali komando wa Iran ni pigo kubwa sana kwa wa Iran.. Jenerali Qaesim alikuwa commando aliyeiva vizuri mno, mbabe na mpanga mikakati mkuu wa vita nyingi za mashariki ya kati.. Kwenye shambulizi lile lililomuua ni wazi kafa na makomandoo na watu wengine muhimu tu ambao hawajatajwa wasiopungua 20..

Baada ya shambulizi lile Iran walilipa kisasi kwa kushambulia kambi mbili za Marekani nchini Iraq na kudai kuwaua askari 80 wa Marekani.. Hili lilikanushwa na mpaka leo limekosa ithibati.. Kumbuka Marekani wana mfumo madhubuti wa tahadhari ya hatari
Katikati ya kizungumkuti cha shambulio ndege ya Ukraine iliyokuwa inaruka toka Iran ikashambuliwa na kombora la Iran kwa makosa na kuuwa abiria na wafanyakazi wote wanaokadiriwa kufikia 180.. Hili ni pigo la pili kwa Iran

Mwisho wakati wa mazishi ya commando Qaesim watu wasiopungua 60 walifariki kwenye mkanyagano.. Kwahiyo kwa hesabu za haraka Iran kapoteza raia wake wasiopungua 262 katika kipindi kifupi cha wiki moja na hii yote inatokana na kifo cha mtu mmoja tuu.. Commander general Qaesim Soleiman.. Kilichosababishwa na amri ya rais wa Marekani..

Kupoteza idadi hiyo ya watu kwa kipindi kifupi tena wakiwemo high profile figures sio jambo dogo.. Kwahiyo kwa mtazamo wa jumla kwenye hili sakata Iran ndio kaumia zaidi

Jr[emoji769]
Kabisa kabisa mkuu. Ndio maana leo hii hapa mtandaoni pako kimya mkuu,watoto wa iran leo wamelowa hasa baada ya Iran kukiri kuidungua ndege ya Ukraine,tena yenye abiria wake wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hii kitu hapa kuhusu Iraq... Isikilize imekaa poa sana... Wazungu wanasutana live
Pamoja sana mkuu


Sent from my iPhone using Tapatalk
Iran war: was a (gross) pack of lies


Jr[emoji769]
 
Wanajeshi 270 wa marekani waliuawa na makombora ya Iran kule Iraq uhalisia wa hii habari unaweza kutia shaka nyingi... Lakini isibezwe
tapatalk_1578760335618.jpeg


Jr[emoji769]
 
Tujadili mada hii katika uhalisia..
Tuweke mahaba pembeni...
Hapa tusizungumzie propaganda za pande zote mbili bali tujadili zile fact zilizoonekana..

Wamarekani ni watu wanaothamini mno uhai wao kuliko kitu kingine chochote... Kwakuwa wanaamini ya kwamba WE LIVE ONLY ONCE... Tunaishi mara moja tuu.. Hayo maisha baada ya kifo ni habari nyingine isiyopewa mashiko sana..
Mmarekani hataki kusikia kitu kinaitwa kufia vitani.. Wanajaribu kwa jinsi zote kujikinga kwa kila namna asife lakini pia ashinde... Ndio maana amewekeza sana kwenye teknolojia ya maroboti ya kivita.. Vita ya kwenye computer... Yaani akutungue wakati akiwa kwenye sofa, kiyoyozi na kikombe cha kahawa mkononi..

Kwenye military base zao na hata kwenye Balozi zao duniani wamewekeza kwenye mifumo imara ya ulinzi na USALAMA.. Kiasi kwamba hupata taarifa mapema kabla hatari haijatokea. Wana mahandaki na vyumba salama ambavyo ni ngumu mno kuvishambulia na kuleta madhara tarajiwa
Hiyo ndio haiba ya mmarekani aende vitani akapigane ikiwezekana ashinde kisha arudi home maisha yaendelee huku akitunukiwa nishani na medani ya vita...

Kwa watu wa mashariki ya kati hasa waarabu... Wao wanaenda vitani wakapigane .. Kupona sio sehemu muhimu kwao.. Na ndio maana mambo ya kujitoa mhanga afe na wengine wengi sana ni SEHEMU muhimu ya mafunzo yao ya kivita.. Kwenda kupigana ufe.. Yani anapoona kuna nafasi ya kuua wengi kupitia yeye hasiti kujilipua... Hii ndio tofauti kubwa kati ya wawili hawa mzungu na mwarabu
Shambulizi la Iraq lililoondoka na kichwa cha jenerali komando wa Iran ni pigo kubwa sana kwa wa Iran.. Jenerali Qaesim alikuwa commando aliyeiva vizuri mno, mbabe na mpanga mikakati mkuu wa vita nyingi za mashariki ya kati.. Kwenye shambulizi lile lililomuua ni wazi kafa na makomandoo na watu wengine muhimu tu ambao hawajatajwa wasiopungua 20..

Baada ya shambulizi lile Iran walilipa kisasi kwa kushambulia kambi mbili za Marekani nchini Iraq na kudai kuwaua askari 80 wa Marekani.. Hili lilikanushwa na mpaka leo limekosa ithibati.. Kumbuka Marekani wana mfumo madhubuti wa tahadhari ya hatari
Katikati ya kizungumkuti cha shambulio ndege ya Ukraine iliyokuwa inaruka toka Iran ikashambuliwa na kombora la Iran kwa makosa na kuuwa abiria na wafanyakazi wote wanaokadiriwa kufikia 180.. Hili ni pigo la pili kwa Iran

Mwisho wakati wa mazishi ya commando Qaesim watu wasiopungua 60 walifariki kwenye mkanyagano.. Kwahiyo kwa hesabu za haraka Iran kapoteza raia wake wasiopungua 262 katika kipindi kifupi cha wiki moja na hii yote inatokana na kifo cha mtu mmoja tuu.. Commander general Qaesim Soleiman.. Kilichosababishwa na amri ya rais wa Marekani..

Kupoteza idadi hiyo ya watu kwa kipindi kifupi tena wakiwemo high profile figures sio jambo dogo.. Kwahiyo kwa mtazamo wa jumla kwenye hili sakata Iran ndio kaumia zaidi

Jr[emoji769]
Kaumia vipi iran wakat kwa kauli yako umesema wairani kufa vitani sio habari kubwa kwao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna cha uongo nilichoandika hapa? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30]

Jr[emoji769]
Kasome au katafute vivid example or historical ya malekani na Iraq ,Iraq Ana mataifa 6 na yote yako full xo malekani hamna kitu ,usituaminishe kivile
 
Back
Top Bottom