Sakata la Marekani na Iran... Marekani kaibuka kidedea..

Sakata la Marekani na Iran... Marekani kaibuka kidedea..

Eti waarabu wao hawaogopi kifo

Hivi unafikiri kwanini waliisusia ile jackpot ya dollar milion 80 kwa atakayefanikisha kuleta kichwa cha trump?

Mimi niliongeza milion kumi pale zakitanzania, endapo kuna sisimizi itayoweza kuthubutu kugusa empaya ya trump mimi ningepeleka hiyo milion kumi kwenye familia yake iwe kama rambi rambi
hawakuisusia hiyo Jackpot, ishu ni Formula ya kuicheza hiyo Jackpot hawana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bro nirekenishe kidogo...

kwenye hiyo idadi ya wairan waliolufa siyo sawa,hiyo ndege ilikia na raia wengi wa nchi zingine pia...wairan walikua 63 tu,hiyo kuweka rekodi sawa.

lakini pia ndege haikua ya urusi,ilikua ni ndege ya shirika la ndege la ukraine.

kuweka sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wairan walikuwa 82,na Wacanada 63

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom