Sakata la Marekani na Iran... Marekani kaibuka kidedea..

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,793
Tujadili mada hii katika uhalisia..
Tuweke mahaba pembeni...
Hapa tusizungumzie propaganda za pande zote mbili bali tujadili zile fact zilizoonekana..

Wamarekani ni watu wanaothamini mno uhai wao kuliko kitu kingine chochote... Kwakuwa wanaamini ya kwamba WE LIVE ONLY ONCE... Tunaishi mara moja tuu.. Hayo maisha baada ya kifo ni habari nyingine isiyopewa mashiko sana..
Mmarekani hataki kusikia kitu kinaitwa kufia vitani.. Wanajaribu kwa jinsi zote kujikinga kwa kila namna asife lakini pia ashinde... Ndio maana amewekeza sana kwenye teknolojia ya maroboti ya kivita.. Vita ya kwenye computer... Yaani akutungue wakati akiwa kwenye sofa, kiyoyozi na kikombe cha kahawa mkononi..

Kwenye military base zao na hata kwenye Balozi zao duniani wamewekeza kwenye mifumo imara ya ulinzi na USALAMA.. Kiasi kwamba hupata taarifa mapema kabla hatari haijatokea. Wana mahandaki na vyumba salama ambavyo ni ngumu mno kuvishambulia na kuleta madhara tarajiwa
Hiyo ndio haiba ya mmarekani aende vitani akapigane ikiwezekana ashinde kisha arudi home maisha yaendelee huku akitunukiwa nishani na medani ya vita...

Kwa watu wa mashariki ya kati hasa waarabu... Wao wanaenda vitani wakapigane .. Kupona sio sehemu muhimu kwao.. Na ndio maana mambo ya kujitoa mhanga afe na wengine wengi sana ni SEHEMU muhimu ya mafunzo yao ya kivita.. Kwenda kupigana ufe.. Yani anapoona kuna nafasi ya kuua wengi kupitia yeye hasiti kujilipua... Hii ndio tofauti kubwa kati ya wawili hawa mzungu na mwarabu
Shambulizi la Iraq lililoondoka na kichwa cha jenerali komando wa Iran ni pigo kubwa sana kwa wa Iran.. Jenerali Qaesim alikuwa commando aliyeiva vizuri mno, mbabe na mpanga mikakati mkuu wa vita nyingi za mashariki ya kati.. Kwenye shambulizi lile lililomuua ni wazi kafa na makomandoo na watu wengine muhimu tu ambao hawajatajwa wasiopungua 20..

Baada ya shambulizi lile Iran walilipa kisasi kwa kushambulia kambi mbili za Marekani nchini Iraq na kudai kuwaua askari 80 wa Marekani.. Hili lilikanushwa na mpaka leo limekosa ithibati.. Kumbuka Marekani wana mfumo madhubuti wa tahadhari ya hatari
Katikati ya kizungumkuti cha shambulio ndege ya Ukraine iliyokuwa inaruka toka Iran ikashambuliwa na kombora la Iran kwa makosa na kuuwa abiria na wafanyakazi wote wanaokadiriwa kufikia 180.. Hili ni pigo la pili kwa Iran

Mwisho wakati wa mazishi ya commando Qaesim watu wasiopungua 60 walifariki kwenye mkanyagano.. Kwahiyo kwa hesabu za haraka Iran kapoteza raia wake wasiopungua 262 katika kipindi kifupi cha wiki moja na hii yote inatokana na kifo cha mtu mmoja tuu.. Commander general Qaesim Soleiman.. Kilichosababishwa na amri ya rais wa Marekani..

Kupoteza idadi hiyo ya watu kwa kipindi kifupi tena wakiwemo high profile figures sio jambo dogo.. Kwahiyo kwa mtazamo wa jumla kwenye hili sakata Iran ndio kaumia zaidi

Jr
 
Eti waarabu wao hawaogopi kifo

Hivi unafikiri kwanini waliisusia ile jackpot ya dollar milion 80 kwa atakayefanikisha kuleta kichwa cha trump?

Mimi niliongeza milion kumi pale zakitanzania, endapo kuna sisimizi itayoweza kuthubutu kugusa empaya ya trump mimi ningepeleka hiyo milion kumi kwenye familia yake iwe kama rambi rambi
 
Eti waarabu wao hawaogopi kifo

Hivi unafikiri kwanini wakiisusia ile jackpot ya dollar milion 80 kwa atakayefanikisha kuleta kichwa cha trump?

Mimi niliongeza milion kumi pale zakitanzania, endapo kuna sisimizi itayoweza kuthubutu kugusa empaya ya trump mimi ningepeleka hiyo milion kumi kwenye familia yake iwe kama rambi rambi
Nami ninge jitoa muanga kuunga mkono juhudi
 
bro nirekenishe kidogo...

kwenye hiyo idadi ya wairan waliolufa siyo sawa,hiyo ndege ilikia na raia wengi wa nchi zingine pia...wairan walikua 63 tu,hiyo kuweka rekodi sawa.

lakini pia ndege haikua ya urusi,ilikua ni ndege ya shirika la ndege la ukraine.

kuweka sawa.
Tujadili mada hii katika uhalisia..
Tuweke mahaba pembeni...
Hapa tusizungumzie propaganda za pande zote mbili bali tujadili zile fact zilizoonekana..

Wamarekani ni watu wanaothamini mno uhai wao kuliko kitu kingine chochote... Kwakuwa wanaamini ya kwamba WE LIVE ONLY ONCE... Tunaishi mara moja tuu.. Hayo maisha baada ya kifo ni habari nyingine isiyopewa mashiko sana..
Mmarekani hataki kusikia kitu kinaitwa kufia vitani.. Wanajaribu kwa jinsi zote kujikinga kwa kila namna asife lakini pia ashinde... Ndio maana amewekeza sana kwenye teknolojia ya maroboti ya kivita.. Vita ya kwenye computer... Yaani akutungue wakati akiwa kwenye sofa, kiyoyozi na kikombe cha kahawa mkononi..

Kwenye military base zao na hata kwenye Balozi zao duniani wamewekeza kwenye mifumo imara ya ulinzi na USALAMA.. Kiasi kwamba hupata taarifa mapema kabla hatari haijatokea. Wana mahandaki na vyumba salama ambavyo ni ngumu mno kuvishambulia na kuleta madhara tarajiwa
Hiyo ndio haiba ya mmarekani aende vitani akapigane ikiwezekana ashinde kisha arudi home maisha yaendelee huku akitunukiwa nishani na medani ya vita...

Kwa watu wa mashariki ya kati hasa waarabu... Wao wanaenda vitani wakapigane .. Kupona sio sehemu muhimu kwao.. Na ndio maana mambo ya kujitoa mhanga afe na wengine wengi sana ni SEHEMU muhimu ya mafunzo yao ya kivita.. Kwenda kupigana ufe.. Yani anapoona kuna nafasi ya kuua wengi kupitia yeye hasiti kujilipua... Hii ndio tofauti kubwa kati ya wawili hawa mzungu na mwarabu
Shambulizi la Iraq lililoondoka na kichwa cha jenerali komando wa Iran ni pigo kubwa sana kwa wa Iran.. Jenerali Qaesim alikuwa commando aliyeiva vizuri mno, mbabe na mpanga mikakati mkuu wa vita nyingi za mashariki ya kati.. Kwenye shambulizi lile lililomuua ni wazi kafa na makomandoo na watu wengine muhimu tu ambao hawajatajwa wasiopungua 20..

Baada ya shambulizi lile Iran walilipa kisasi kwa kushambulia kambi mbili za Marekani nchini Iraq na kudai kuwaua askari 80 wa Marekani.. Hili lilikanushwa na mpaka leo limekosa ithibati.. Kumbuka Marekani wana mfumo madhubuti wa tahadhari ya hatari
Katikati ya kizungumkuti cha shambulio ndege ya Urusi iliyokuwa inaruka toka Iran ikashambuliwa na kombora la Iran kwa makosa na kuuwa abiria na wafanyakazi wote wanaokadiriwa kufikia 180.. Hili ni pigo la pili kwa Iran

Mwisho wakati wa mazishi ya commando Qaesim watu wasiopungua 60 walifariki kwenye mkanyagano.. Kwahiyo kwa hesabu za haraka Iran kapoteza raia wake wasiopungua 262 katika kipindi kifupi cha wiki moja na hii yote inatokana na kifo cha mtu mmoja tuu.. Commander general Qaesim Soleiman.. Kilichosababishwa na amri ya rais wa Marekani..

Kupoteza idadi hiyo ya watu kwa kipindi kifupi tena wakiwemo high profile figures sio jambo dogo.. Kwahiyo kwa mtazamo wa jumla kwenye hili sakata Iran ndio kaumia zaidi

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hio ndio tofauti Kati ya kutumia akili na kutumia hisia.. unafikiri kwanini wazungu hudharau waafrika na waarabu..? Ni kuwa kiungo kinachoitwa ubongo hatukifanyii kazi ipasavyo!
Huo ni ukweli Kabisa

Yani ni kama mwakinyo kapigwa na baunsa ambaye kiuwezo mwakinyo kazidiwa, halafu mwakinyo anamuambia barnaba kua ukiweza kumpiga yule jamaa aliyenipiga ukamtoa ngeo basi mimi nitakupa milion tano

Ungekua wewe ndio barnaba ungeenda?

Sasa ilicho kifanya iran ni sawa na huo mfano wa mwakinyo kumsakizia ugomvi usiomhusu barnaba

Iran anasilaha na makombora yakuzidi lakini pamoja na hivyo vyote kapigwa mwanajeshi wake, akatoa kauli kua lazima atarudishia lakini ghafla akabadili gia angani eti natoa dau kwa atakayeleta kichwa cha trump

Hapa ndipo nilipoona kua iran inawatu wenye akili kwasababu hakuna aliyetaka kukubali huu ujinga
 
Iko
Tujadili mada hii katika uhalisia..
Tuweke mahaba pembeni...
Hapa tusizungumzie propaganda za pande zote mbili bali tujadili zile fact zilizoonekana..

Wamarekani ni watu wanaothamini mno uhai wao kuliko kitu kingine chochote... Kwakuwa wanaamini ya kwamba WE LIVE ONLY ONCE... Tunaishi mara moja tuu.. Hayo maisha baada ya kifo ni habari nyingine isiyopewa mashiko sana..
Mmarekani hataki kusikia kitu kinaitwa kufia vitani.. Wanajaribu kwa jinsi zote kujikinga kwa kila namna asife lakini pia ashinde... Ndio maana amewekeza sana kwenye teknolojia ya maroboti ya kivita.. Vita ya kwenye computer... Yaani akutungue wakati akiwa kwenye sofa, kiyoyozi na kikombe cha kahawa mkononi..

Kwenye military base zao na hata kwenye Balozi zao duniani wamewekeza kwenye mifumo imara ya ulinzi na USALAMA.. Kiasi kwamba hupata taarifa mapema kabla hatari haijatokea. Wana mahandaki na vyumba salama ambavyo ni ngumu mno kuvishambulia na kuleta madhara tarajiwa
Hiyo ndio haiba ya mmarekani aende vitani akapigane ikiwezekana ashinde kisha arudi home maisha yaendelee huku akitunukiwa nishani na medani ya vita...

Kwa watu wa mashariki ya kati hasa waarabu... Wao wanaenda vitani wakapigane .. Kupona sio sehemu muhimu kwao.. Na ndio maana mambo ya kujitoa mhanga afe na wengine wengi sana ni SEHEMU muhimu ya mafunzo yao ya kivita.. Kwenda kupigana ufe.. Yani anapoona kuna nafasi ya kuua wengi kupitia yeye hasiti kujilipua... Hii ndio tofauti kubwa kati ya wawili hawa mzungu na mwarabu
Shambulizi la Iraq lililoondoka na kichwa cha jenerali komando wa Iran ni pigo kubwa sana kwa wa Iran.. Jenerali Qaesim alikuwa commando aliyeiva vizuri mno, mbabe na mpanga mikakati mkuu wa vita nyingi za mashariki ya kati.. Kwenye shambulizi lile lililomuua ni wazi kafa na makomandoo na watu wengine muhimu tu ambao hawajatajwa wasiopungua 20..

Baada ya shambulizi lile Iran walilipa kisasi kwa kushambulia kambi mbili za Marekani nchini Iraq na kudai kuwaua askari 80 wa Marekani.. Hili lilikanushwa na mpaka leo limekosa ithibati.. Kumbuka Marekani wana mfumo madhubuti wa tahadhari ya hatari
Katikati ya kizungumkuti cha shambulio ndege ya Urusi iliyokuwa inaruka toka Iran ikashambuliwa na kombora la Iran kwa makosa na kuuwa abiria na wafanyakazi wote wanaokadiriwa kufikia 180.. Hili ni pigo la pili kwa Iran

Mwisho wakati wa mazishi ya commando Qaesim watu wasiopungua 60 walifariki kwenye mkanyagano.. Kwahiyo kwa hesabu za haraka Iran kapoteza raia wake wasiopungua 262 katika kipindi kifupi cha wiki moja na hii yote inatokana na kifo cha mtu mmoja tuu.. Commander general Qaesim Soleiman.. Kilichosababishwa na amri ya rais wa Marekani..

Kupoteza idadi hiyo ya watu kwa kipindi kifupi tena wakiwemo high profile figures sio jambo dogo.. Kwahiyo kwa mtazamo wa jumla kwenye hili sakata Iran ndio kaumia zaidi

Jr
Uko sahihi sana
 
Eti waarabu wao hawaogopi kifo

Hivi unafikiri kwanini waliisusia ile jackpot ya dollar milion 80 kwa atakayefanikisha kuleta kichwa cha trump?

Mimi niliongeza milion kumi pale zakitanzania, endapo kuna sisimizi itayoweza kuthubutu kugusa empaya ya trump mimi ningepeleka hiyo milion kumi kwenye familia yake iwe kama rambi rambi

Jr
 
na wewe unajidharau
Na hio ndio tofauti Kati ya kutumia akili na kutumia hisia.. unafikiri kwanini wazungu hudharau waafrika na waarabu..? Ni kuwa kiungo kinachoitwa ubongo hatukifanyii kazi ipasavyo!

Jr
 
nashukuru kwa marekebisho.. Nita edit SEHEMU ya Urusi
bro nirekenishe kidogo...

kwenye hiyo idadi ya wairan waliolufa siyo sawa,hiyo ndege ilikia na raia wengi wa nchi zingine pia...wairan walikua 63 tu,hiyo kuweka rekodi sawa.

lakini pia ndege haikua ya urusi,ilikua ni ndege ya shirika la ndege la ukraine.

kuweka sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Iran hapo kwenye kuua wananchi wao wenyewe na hadi sasa hamna kiongozi aliewajibika aiseeee nazidi kukereka nao

imagine ingeku marekani watu wangesharesign na hatua kuchukuliwa

STRONG INSTITUTIONS katika taifa lolote for checks and balance na uwajibikaji ktk maeneo mbalimbali zinabadilisha maisha ya raia wake
 
Si mdogo kivile na hatupaswi kumdharau hata kidogo.... Lile shambulizi kwenye kambi mbili za Marekani nchini Iraq halikuwa la kitoto pia... Kama si mfumo madhubuti wa Marekani wa ujenzi na ulinzi pale pangebakia mahandaki na kila kitu kingezikwa pale
Iran ni mtoto mdogo sana, arudishe silaha chumbani alale, hamuwezi Mmarekani abadani!

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Back
Top Bottom