Sakata la Marekani na Iran... Marekani kaibuka kidedea..

Sakata la Marekani na Iran... Marekani kaibuka kidedea..

Iran mbali sana hivi hapa kwetu tuna mfumo wa kulinda raia wetu ama hata kuwajali kwenye shida ndani na nje ya nchi
Iran hapo kwenye kuua wananchi wao wenyewe na hadi sasa hamna kiongozi aliewajibika aiseeee nazidi kukereka nao

imagine ingeku marekani watu wangesharesign na hatua kuchukuliwa

STRONG INSTITUTIONS katika taifa lolote for checks and balance na uwajibikaji ktk maeneo mbalimbali zinabadilisha maisha ya raia wake

Jr[emoji769]
 
Hupaswi kufanya hivyo kamwe.. Hao waliokuzidi haikutokea kama nyota ya jaha.. Walikataa kujidharauliwa na kujidharau ndio maana wako hapo walipo leo... Nawe acha kujidharau PAMBANA
Yeah! Huwa najidharau hasa kwa kuangalia walio nizidi uwezo! Kiakili na kiuchumi!!. Utakuwa umenielewa nadhani.

Jr[emoji769]
 
Its a failure kwake... Biggest failure.. Congress walipiga kura na wasiotaka vita wakashinda... Hata kwenye shambulizi la Qaesim ingepigwa kura asingeruhusiwa kushambulia
Pongezi kwa Rais Trump. Ilibaki amri yake tu. He saved the war twice

Jr[emoji769]
 
Hupaswi kufanya hivyo kamwe.. Hao waliokuzidi haikutokea kama nyota ya jaha.. Walikataa kujidharauliwa na kujidharau ndio maana wako hapo walipo leo... Nawe acha kujidharau PAMBANA

Jr[emoji769]
Jitahidi kunielewa sijidharau kuwa siwezi ila kunizidi wao najidharau Hivyo natakiwa kuwa Kama wao na nafanya juhudi.. Kuna kitu huwa nakiweza kisawasawa kwa wale waliochini yangu ndo wanaona Hivyo ila mi najiona siwezi maana siwaangalii wao nawaangalia walionizidi!!
 
Iran mbali sana hivi hapa kwetu tuna mfumo wa kulinda raia wetu ama hata kuwajali kwenye shida ndani na nje ya nchi

Jr[emoji769]
Policcm lol

Factors ni nyingi...
Mfumo wa ulinzi.,polisi wana contain usalama kwa kiasi kikubwa TZ hamna machafuko ama hayapo kabisaa

uwepo wa demokrasia japo iko limited(ina faida na hasara) walau ya kila miaka mitano ni hatua yani sisi na kina kagame na museveni tuko tofauti
 
Kuwajali raia kwenye shida kunahitaji 'resources'
Na raia nao wawe wanatoa taarifa kwenye taasisi husika

ila sasa kusaidiwa na taasisi pia inategemea na hizo taasisi zinapewa pesa kiasi gani..

RESOURCES
 
Difenda likija linadai pesa ya wese
Can u compare na 911 call service ya nchi za wenzetu?Wakipiga simu hospital au polisi wanarespond fasta sana
Wanapenda kazi zao cz wana maslahi mazuri

RESOURCES
 
Wakati wa vita vya Iran/Iraq
Iraq walitengeneza mahandaki (bunkers) kwa ajili ya kujilinda na makombora ya Iran kwa raia wao na hata silaha zao
Majeshi ya dunia yalipomshambulia Saddam mwaka 1990 waliyatandika mabomu mengi sana na hayakupita mpaka walipotumia bunker busters za [emoji631] ndio wakafanikiwa ingawa waliuwa wananchi wengi pamoja na watoto waliokuwa wamejihifadhi humo
Sasa ndio hizo Bunkers USA anazitumia kwa kuficha silaha zake kubwa na askari wake
Hii sio vita bali ni tit for tat


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Vizuri.
Wakati dunia ikiwa na kesi ya vita kutoka mataifa makubwa, baadhi ya mataifa yenye nguvu kijeshi yanatumia kesi hiyo kuzisoma nchi zinazojionyesha kuwa na nguvu kijeshi kwa kung'amua aina ya siraha walizonazo ili iwe rahisi kuwachapa kwa misile yenye nguvu.

Mmarekani anatumia slogan hiyo na ndiyo maana kuna wakati anakufanyia fujo ili upaniki na kufunguka kutoka kwenye ghara lako la siraha.
 
bro nirekenishe kidogo...

kwenye hiyo idadi ya wairan waliolufa siyo sawa,hiyo ndege ilikia na raia wengi wa nchi zingine pia...wairan walikua 63 tu,hiyo kuweka rekodi sawa.

lakini pia ndege haikua ya urusi,ilikua ni ndege ya shirika la ndege la ukraine.

kuweka sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naona irani hajapoteza. Nialikua underdog kusema kwamba angeweza kushinda vita na USA ila mpaka sasa ikowazi kua irani hatishwi na vitsho vya USA. Kuhusu ndege ya ukraine hatuwezi kuhesabu kma nihasara kwa irani pekee waliofarik sio wa irani pekeake napia inaweza ikawa sio bahat mbaya kamawanavodai, mtu mmoja anaweza akawasababu yakushusha ndege nzima. Kma irani ameweza kusimama kwa USA na Trump akaufyata niwazi USA asjirabi kwa kiduku wa north korea wala putin.

Irani katuonesha USA nimikwara mingi action hakuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana jr unaaminika Sana ,hata ulisema uongo watu wanakuamin.kwa leval uliofikia gombea ubunge
 
Kama medulla yako iko OK... Pambana.. Maisha ni kupambana... Pambana ili siku uwe kama wao... Afadhali ufe ukiwa unapambana kuliko ufe ukiwa umekata tamaa
Jitahidi kunielewa sijidharau kuwa siwezi ila kunizidi wao najidharau Hivyo natakiwa kuwa Kama wao na nafanya juhudi.. Kuna kitu huwa nakiweza kisawasawa kwa wale waliochini yangu ndo wanaona Hivyo ila mi najiona siwezi maana siwaangalii wao nawaangalia walionizidi!!

Jr[emoji769]
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Policcm lol

Factors ni nyingi...
Mfumo wa ulinzi.,polisi wana contain usalama kwa kiasi kikubwa TZ hamna machafuko ama hayapo kabisaa

uwepo wa demokrasia japo iko limited(ina faida na hasara) walau ya kila miaka mitano ni hatua yani sisi na kina kagame na museveni tuko tofauti

Jr[emoji769]
 
Nimekusoma vizuri mno.. Nilikuwa nalitafuta hili neno bunker [emoji120][emoji120][emoji120]
Wakati wa vita vya Iran/Iraq
Iraq walitengeneza mahandaki (bunkers) kwa ajili ya kujilinda na makombora ya Iran kwa raia wao na hata silaha zao
Majeshi ya dunia yalipomshambulia Saddam mwaka 1990 waliyatandika mabomu mengi sana na hayakupita mpaka walipotumia bunker busters za [emoji631] ndio wakafanikiwa ingawa waliuwa wananchi wengi pamoja na watoto waliokuwa wamejihifadhi humo
Sasa ndio hizo Bunkers USA anazitumia kwa kuficha silaha zake kubwa na askari wake
Hii sio vita bali ni tit for tat


Sent from my iPhone using Tapatalk

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom