RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,520
Mkuu Mikael P. Awenda, Umenena vizuri sana. Pengine nami niseme kitu kimoja amacho ninakiona kiko kinaendelea, CCM inataka kutumia mfumo wa chama kimoja lakini kutokana na kutembeza bakuli kila siku inabidi ikubali kuwa katika mfumo wa vyama vingi vya siasa ili bakuli likubaliwe na nchi za magharibi. Wakati huo huo, mfumo wa chama kimoja bado inautumia zaidi katika kutembeza bakuli kutoka nchi kama za china (refer. katibu mkuu anavyotoka jasho kutembelea chama rafiki), lakini inajaribu kutengeneza tabaka la watawala wa milele,yaani ile style ya bandika bandua. Akifa baba, basi mtoto lazima awemo kwenye mfumo nk.
Kutokana na hiyo style, tulioko kati kati na chini basi nijuhudi zetu kuungana na kuhakikisha tunatengeneza mfumo unaotoa fursa sawa kwa wote. Hii itawezekana kama tutashikamana na kusema, tunaweza na watakaobaki ndo watakaotukumbuka.
Kutokana na hiyo style, tulioko kati kati na chini basi nijuhudi zetu kuungana na kuhakikisha tunatengeneza mfumo unaotoa fursa sawa kwa wote. Hii itawezekana kama tutashikamana na kusema, tunaweza na watakaobaki ndo watakaotukumbuka.