Sakata la Lwakatare na sababu 2 za uthibitisho wa Mtonyaji Serikalini kuihujumu CHADEMA

Mkuu,
mada ya leo ni
Je, ni sawa kuwinda maisha ya viongozi wa upinzani?
Je, ni sawa kubinya demokrasia bungeni?
Je, ccm kujibatiza itawasaidia 2015?
Hayo mawazo yako ya idadi ya viongozi wa chadema tuanzishie thread yake.

Kama haya ndiyo maswwali yako Aweda, huna mada ya kuwasilisha hapa.

Majibu ya maswali uliyouliza yote yana majibu yasiyokinzana labda kwa mwendawazimu tu ndiye anayeweza kuja na majibu tofauti.

1) Si sawa kumuwinda mtu yeyote yule awe mpinzani au wa chama tawala

2) Democracy haistahili kubinywa

3) Ni ngumu kujua kama itawasaidia. Hiyo inategemea na aina ya transformation watakayoifanya.

Kwa mfano, wakiamua kuwaweka mbele wale amabo hata CHADEMA inawakubali kama akina Magufuli, Sitta, Salim na wangine ambao wana clean record wanaweza kuwasumbua wapinzani wote. Issue ni je CCM wanaweza kufanya hivyo.

Lakini yote kwa yote, ukweli haupigiwi kura. Hapa ilibidi pia tujadili kama CCM imeshindwa CHADEMA itaweza kuwa ni mbadala wake.

In my opinion, CDM wanaweza kuweza but not now until you put your house in order.

Other wise hii nchi itayumba from bad to worse! Sishauri kufanya hayo majaribio.
 
Hapo umenena, na hili ndio jambo wanalo litazama wapiga kura, watu wanaona bora kuwa na serikali uharo kuliko kutokuwa na serikali kabisa. Mzee sitta hakukosea kusema CDM haina kiongozi, wao wenyewe wanalijua hilo. Tuchuke mfano Dr.Slaa, anasifa gani ya kuwa Rais wa hii nchi? watakuja watu humu na kusema kwani JK alikua na sifa gani? Na mimi nawajibu kuwa je tuko tayari kufanya test tena?

Majebere,Tanzania kuna watu wenye maadili mazuri na uwezo mzuri wa kuongoza,tatizo hawajitokezi kwa sababu either wanaogopa matusi na siasa chafu.Ukumbuke hata Salim Ahmed Salim leo ukimwambia agombee sidhani kama atakubali.Na siasa chafu CCM ndiyo zimezidi.

Inawezekana unamuangalia Dr.Slaa kwa namna yako,na inawezekana akawa rais mzuri tu na wewe mwenyewe baadaye ukasema kwa nini hakuwepo mapema.

Tunachohitaji kama Watanzania ni kuungana na kuwa wamoja ili tulipiganie uhai wa taifa letu na maendeleo kaika nyanja zote elimu,afya na viwanda.Sote tukiwa wamoja ninauhakika kumpata kiongozi bora,mwanamapinduzi,mzalendo na atakayekuwa ana mapenzi ya dhati na nchi yake,watu wa taifa lake na kikubwa zaidi raisi asiye na karama ya kulipiza kisasi.

Majebere si angalii chama gani ninajali utaifa wangu kwanza.Na tukiwa tunajadili maendeleo ya Taifa letu bila kujali vyama tutokavyo na kuepuka matusi na kukashifiana tunaweza kupitia jukwaa hilihili kujenga taifa tulitakalo.
 
Yani sijawahi kuona serikali kama ya ccm yani wanaacha kutoa kero za wananchi ambazo zinafanya wawachukie wenyewe wako busy sana na chadema. tukutane kwenye sanduku la kura 2015.
 
Mr Ronn,
What are the optional means that CDM could explore in handling situtitions it is faceing currently???

The Options in the Current situation is choosing to be Very patient,carefully choosing How to respond to Offendors,and waiting this "UPEPO" kupita....Believe me or not,Yawezekana ni kweli kuna matatizo ndani ya Chadema ama la,Lakini cha muhimu siku zote unapodeal na mambo ambayo hutaki yakupe stress zaidi ni kuendelea ku "swallow" machungu taratibu kama ambavyo CCM na Lowasa wali swallow machungu ya kusemwa kuhusu EPA,Richmond,Kagoda....Sema tatizo la Chadema linakuwa kwamba hakishiki dola,hivyo hakuna kinachofunikwa,vyote vinafunuliwa...hapo ndio inakuwa kuombea Serikali wasipate vithibitisho zaidi kama hizi issue ni kweli zilifanywa(Iam talking about Lwax scandal).....

And between words...Bwana Michael garmahia!....Nadhani ni muhimu Chadema ndani kwa ndani huko msitwambie sisi,inabidi kufanya ile kitu inaitwa "pikshen" ya nguvu kuweza kuona hamruhusu siri nyingi zinatoka nje....ni muda muafaka wa kuwatazama kila mtu kuweza kuona "huyu" ni nani....Amini amini....serikali ni wajanja sana!...Achana na serikali ya Tanzania...Ni kweli mbele ya Watu wadharauni,Lakini mkikaa Ofisini wakuu kwa Wakuu muweke mikakati madhubuti ya kupambana...Msilewe "propaganda" zenu wenyewe....Msidang'anye mashabiki mpaka mkafikia kuuamini Uongo wenu wenyewe!......Chadema bado sana kuweza kupambana na CCM!
 
Yani sijawahi kuona serikali kama ya ccm yani wanaacha kutoa kero za wananchi ambazo zinafanya wawachukie wenyewe wako busy sana na chadema. tukutane kwenye sanduku la kura 2015.
Kero zimetatuliwa na zinaendelea kutatuliwa. Na kama mategemeo yenu ya kumaliziwa kero zote basi hata hao cdm wakichukua nchi lawama zenu zitaendelea.
 
chadema msiwe na hofu kwakuwa Mungu amewatangulia kwa kila mfanyacho, waacheni wafanye wafanyavyo waseme wasemavyo but only God knows.
 
Kama haya ndiyo maswwali yako Aweda, huna mada ya kuwasilisha hapa.

Majibu ya maswali uliyouliza yote yana majibu yasiyokinzana labda kwa mwendawazimu tu ndiye anayeweza kuja na majibu tofauti.

1) Si sawa kumuwinda mtu yeyote yule awe mpinzani au wa chama tawala

2) Democracy haistahili kubinywa

3) Ni ngumu kujua kama itawasaidia. Hiyo inategemea na aina ya transformation watakayoifanya.

Kwa mfano, wakiamua kuwaweka mbele wale amabo hata CHADEMA inawakubali kama akina Magufuli, Sitta, Salim na wangine ambao wana clean record wanaweza kuwasumbua wapinzani wote. Issue ni je CCM wanaweza kufanya hivyo.

Lakini yote kwa yote, ukweli haupigiwi kura. Hapa ilibidi pia tujadili kama CCM imeshindwa CHADEMA itaweza kuwa ni mbadala wake.

In my opinion, CDM wanaweza kuweza but not now until you put your house in order.

Other wise hii nchi itayumba from bad to worse! Sishauri kufanya hayo majaribio.

Mada kwa ujumla wake iko kwenye main thread. Hapa nilikuwa nataka nikualert kwamba urudi bara barani.
 
2015 atajidhihirisha , hamia chama cha ukombozi mkuu Ritz !

Mkuu NATA,

Ukombozi upi tena watu kama Lwakatare ndiyo utegemee ukombozi kutoka kwao siku wakichukuwa dola wale wote waliokuwa wanaipinga Chadema si watanyongwa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu NATA,

Ukombozi upi tena watu kama Lwakatare ndiyo utegemee ukombozi kutoka kwao siku wakichukuwa dola wale wote waliokuwa wanaipinga Chadema si watanyongwa.
Mkuu Ritz umekuwa mahakama, Lwakatale hajahukumiwa bado kuanwatu wanaamini ile ni doctored video na kunawatu wanaamini ni yaukweli sasa tusimhukumu tuache hawa tunaowalipa kodi watafute ukweli wasitake kufanya kazi kiulaini kwa kutumia speculations, wanalipwa kwa kodi zetu. So they have to work, si kungojea Ritz awafanyie kazi wao wameze tu .
 
Last edited by a moderator:
Kazi IPO yaan kama kulala ndani na kuamka na kutoka nje nakukuta hakuna nje. 2015
 
Back
Top Bottom