Sakata la Lwakatare na sababu 2 za uthibitisho wa Mtonyaji Serikalini kuihujumu CHADEMA

Nashukuru kwamba umejua hii ni movie ya ukweli - it about life or death.


Two jailed for song describing police as dogs

A protester, and Tunisian riot police in the background, during the clashes in Tunis. PHOTO/Reuters
newvision
TUNIS - Two Tunisians have been detained for insulting the police by making a rap video describing them as dogs, in a case likely to fire debate over free speech under the new Islamist-led government.
"The rap video posted on youtube called the police dogs and contains expressions and gestures that affect morals and threaten the security of officers and magistrates," the Ministry of Interior said on Tuesday in a statement.
Mohamed Hedi Belgueyed and actress Sabrine Klibi were arrested on Sunday and appeared at the Court of First Instance in Ben Arous on Tuesday. The court decided to keep them in prison until their trial, the ministry added.
A third rapper known as "weld el 15" is still sought by police.
The video (Weld EL 15 - Boulicia Kleb (HD) (RAP TUNISIEN) - YouTube) features footage of security forces. Weld el 15 sings rap lyrics calling police dogs and says they use violence unjustifiably.
"I was only using the language of the police. They have harassed me verbally and physically. As an artist, the only way I could answer them is through art. I gave them a violent art," weld el 15 said in video published on facebook.
Secular groups say freedom of creativity and expression are threatened under the moderate Islamist Ennahda-led government.
In particular, they accuse authorities of failing to prevent attacks by militant Islamist Salafis on cultural institutions and individuals.
Salafis prevented several concerts and plays from taking place last year, saying they violated Islamic principles. They ransacked the U.S. embassy in September during worldwide Muslim protests over an Internet video.
The government says it supports freedom of expression and press.
Facebook users have launched pages to support Klibi and Belgueyed and called for protests to support freedom of expression.
 
Mr Ronn,
What are the optional means that CDM could explore in handling situtitions it is faceing currently???

well,

There are number of facts.Kwanza ni lazima tukubali kwamba ili umshinde mtu yakupasa uwe one or more steps ahead of him. Mkiwa at per, au chini yake forget it. Sasa ni lazima CDM wajithibitishe kuwa wapo mbele ya CCM in terms of planning, strategies and implementations. Kwa mfano

1. CCM wanajua kwamba kiwango chao cha kukubalika kwa wananchi kimeshuka sana. Wanajua kuwa pia CDM inapanda chati. Hivyo whatever a move they are taking its final aim ni kuwafrustrate, kuwapotezea muda, kuwashushia kiwango cha kukubalika katika jamii na zaidi kuwachanganya wananchi hasa wasio na elimu na wale wa kijijini kwamba CDM ni chama hatari kushika madaraka. Mkumbuke pia kwamba watanzania wanapenda amani na kama wakiambiwa chama hiki ni cha vurugu na mauaji, believe me, ni wale wachache wenye elimu wenye uwezo wa kuchanganua mambo ndio watakao weza kuwasupport. CDM inapaswa kuwa na uwezo wa kuweza ku-counter attach these moves bila kupoteza mwelekeo wake wakujijenga kitaifa.

2. Kufafanua zaidi ninalosema hapo juu, lolote linaloletwa na CCM, lisipoteze muda wa chama katika kujijenga. Ningeshauri muibue na kuongeza idadi ya figure za kitaifa zinazoweza kuaddress maswala ya kitaifa. Wasiwepo watu wachache wanaokuwa wanang'ara kila siku. Mnapokuwa na watu wengi, ni rahisi kuhakikisha kuwa majukumu yanaendelea katika kila kanda kwa ujenzi wa chama wakati huo huo figure nyingine ziwe zinadeal na attacks za CCM. Mf issue ya Lwakatare inatakiwa iwe addressed simultaneously with party building activities at the grass root level

3. On intelligence side, you need more trusted insiders than ever. Strategically mnaweza hata kuhakikisha mna moles wenu kule wanaocheza double agent roles. Since CCM wameamua kuresort kwenye intelligence na vyombo vya dola mnaweza kuwashinda tuu kwa kuempoly advanced intelligence techniques na sio siasa za majukwaani. Mfano kati ya Dec na March ambapo hili swala la Lwakatare limekuwa likipikwa (if at all) insiders wangeweza kuwapa updates. Hii ingewaumbua sana wapinzani wenu.

4. Kama nilivyosema awali, CCM wanataka kuwapotezea muda. Mtakuwa mmegundua kuwa mtu mmoja wa CDM akihamia CCM story inakuwa kubwa sana. Dont try to play the same game. You need thousands votes of villagers in Nangurukuru, Masasi, Mto wa Mbu, Nguruka, Biharamulo,Moshi, Pangani, Kondoa, Geita than few people moving from CCM who at the end of the day may not vote at all. Mnahitaji base kubwa sana ya wapiga kura.

5.Najua mnao, lakini jitahidi kupata watu wengi zaidi kwenye media. Watu ambao si kwamba wataandika uongo juu yenu, lakini watotoa proper weight kwenye habari zenu hasa kunapokuwa na many hitting headlines.

6.Msipoteze sauti yenu mlionza nayo kwenye mabadiliko ya katiba. Msikae kimya katika kusukuma swala zima la maboresho ya wapiga kura. Mnahitaji kuhakikisha kwamba vijana wengi wanajiandikisha na wanapiga kura. Hakikisheni pia siku ambayo watanzani wanatakiwa kufanya maamuzi yatakayo waathiri haiwi siku ya ibada kwa dini yoyote. This is technically important. Angalieni ni wapi mna wapiga kura wengi. Arusha, Moshi, Mbeya, Mwanza, Iringa nk nk. Ikiwa kura inapigwa jumapili, trust me wapo wengi hawatapiga kura. Wapo ambao Ibada zinaanza saa mbili mpaka saa nane, unadhani watapiga kura saa ngapi?


7. Hakikisheni mnaandaa wagombea ubunge influential na wenye kukubalika. Hawa waanze sasa kukijenga chama kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi ya chini. Najua kwa sasa wagombea wengi wapo Dar. Ni vyema wakaanza kujenga chama kuanzia kwenye mashina ya maeneo walipotoka.

8. Uchaguzi wa mwakani ni muhimu sana kwenu kuliko hata huo wa 2015. Huu ndio utakaoeleza mmekubalikaje Tanzania nzima. Kama hamtafanya vyema, tutayasikia maneno ambayo nimeyasikia sana 'CDM wanafanya vizuri lakini hawajawa tayari kuongoza nchi'. Mpaka sasa mnapaswa muwe mme eyemark watu watakaosimamisha bendera yenu kwenye ngazi za mitaa. Narudia tena kama mkishindwa mwaka mmoja uliobakia utakuwa mgumu sana hasa ukizingatia propaganda za wapinzani wenu.

9. Hakikisheni mnakuwa na mawakala wakutosha watakaosimamia kura zenu kwa uaminifu katika uchaguzi wa 2014 na 2015

10. Tunafahamu nchi hii inategemea wahisani wa maendeleo. Sijajua how close are you to them lakini kama wakipewa objective analysis ya yanayondelea nchi from opposition point of view wanaweza kuwa na sauti juu ya serikali yetu. At least inaweza kupunguza makali ya vita mnayopitia.

Sasa nimeandika kwa haraka na najua kunawezakuwa na some errors and may be no coherence. Please see what you can gather from it. Muhimu ni hii, learn you enemy silently, play smarter than him, of course in all spheres!

Copy to Mwita Maranya, John Mnyika, Crashwise, Joshua Nassari, Halima Mdee, Ruttashobolwa etc
 
Last edited by a moderator:
310300829.jpg


Very very sad. Picha imeibua hisia zangu kwa upya kabisa.
 
Tatizo lenu mnajipa imani kubwa kushika Dola 2015, CDM kweli imepata nguvu lakini bado haikubaliki kama mnavyo taka kuaminisha watanzania. Hizi mbinu tunazo ziona ni maigizo yenu wenyewe ili kuonyesha umma kuwa CCM inataka kuwamaliza kwa sababu CDM ndio chama mbadala. Kundi linalo washabikia ni vijana wafata mkumbo na wengi wao sio wapiga kura bali ni wapiga kelele tu.
CCM itafika wakati itang'oka lakini sio leo wala kesho, na wala haitakuja kutolewa na CDM. Wapiga kura bado hawajaona chama mbadala na hawako tayari kuwakabidhi Nchi nyinyi wakati hata chama kinawashinda kukiendesha.

Majebere naomba nikusahihishe ,hakuna chama cha siasa kisicho na ndoto ya kushika dola.Na ndiyo maana hata CCM haitaki kuiachia hiyo dola ndiyo maana inafanya siasa chafu.Kwanza watanzania tuwe wamoja tujue matatizo yetu ,mchawi wetu na mwisho tuje na suluhisho.Hatuhitaji malaika kutoka mbinguni kuja kutuunganisha watanzania.Tuache vyama nyuma tuweke taifa letu kwanza.Tuwe wazalendo,hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemea wafadhili au wageni hakuna,na ndicho kinachotula na viongozi wabadhirifu ndio wanatuletea hii siasa chafu sababu hata mtanzania wa kawaida sasa anajua mbivu na mbichi.

Sisemi uwe CHADEMA,CUF au NCCR bali mzalendo,Tetea haki ukweli na taifa lako.
 
thread hii imejaa upuuzi mtupu!!!!!!!!!!!!

Alikuwepo Nyerere, muda ukafika akaondoka! Akaja Mwinyi, muda ukafika akaondoka! Mkapa pia alikuja, muda ukafika akaondoka! Sasa huyu aliyepo ni akili gani ipo kichwani mwake mpaka ajifanye yeye ni Putini kwamba atakuwapo milele!!!? :nono: akiweza afikirie kuanzia sasa je? anaondokaje, maana ni muda ukifika ataondoka tu!
JE!? Huu nao ni upuuzi ......................!!!? :yo:
 
Pia inabidi kupiga kelele nyingi hasa kwa wafadhili ili daftari lawapiga kura liwe linafanyiwa marekebisho kila siku na tume ya uchaguzi iingie kwenye technolpjia ya kisasa,information za mpiga kura ziweze kuonekana moja kwa moja kwenye mtandao wao.Na kila mtu awe na haki ya kupiga kura siyo lazima mahali ulipojiandikisha.Tukifika hapo tutakuwa tumesonga mbele sana na haki za wapiga kura zitalindwa.

Kuwe na sheria ya kuwabana wasimamizi wa uchaguzi pale matatizo yanapojitokeza kwenye vituo vyao na sheria ya kuhesabu kura ibadilishwe,kura zianze kuhesabiwa kwenye vituo na majumuisho ndiyo yapelekwe kwenye wilaya au ofisi ya mkoa.
 
Ndugu yangu ya kijijini ndio acha kabisa, usione watu wamejazana ukafikiri ni wapenzi wa chama, hao wanakuja kushangalia helkopta. Ni rahisi sana kubadili mawazo ya watu wanao ishi mjini lakini wa kijijini sio rahisi. Bila shaka wewe huna ndugu kijijini ndio maana unasema haya. Watanzania bado wanachagua mtu kutokana wanavyo shauriwa na mwenyekiti wa kijiji. Usimshangae mbunge wa ccm anae wapigia magoti wapiga kura ndugu yangu, hayo ndio mambo yanayo takiwa kijijini.

View attachment 87331

Husiwe na mtazamo kama huo ndugu hao unaowaona hapo ni baadhi ya Umati wa watu wa Igunga waliohudhuria mkutano ulioitishwa na Viongozi wa Wilaya na kuwakaribisha Kigaila na Waitara, hakuna miongoni mwao alioletwa na fuso wote walikuja kwa mapenzi yao, halafu nikupe taarifa tu Wilayani Igunga DC ameishaitisha mikutano zaidi ya Mitatu hakuna mwananchi aliyehudhuria lakini CDM wakiitisha hata iwe kwa muda wa nusu saa watu nyomi, usijidanganye hali ni mbaya sana kwa upande wa CCM inatakiwa mbadirike sio kuwa na imani kuwa mnapendwa wakati sio.
 
Tatizo lenu mnajipa imani kubwa kushika Dola 2015, CDM kweli imepata nguvu lakini bado haikubaliki kama mnavyo taka kuaminisha watanzania. Hizi mbinu tunazo ziona ni maigizo yenu wenyewe ili kuonyesha umma kuwa CCM inataka kuwamaliza kwa sababu CDM ndio chama mbadala. Kundi linalo washabikia ni vijana wafata mkumbo na wengi wao sio wapiga kura bali ni wapiga kelele tu.
CCM itafika wakati itang'oka lakini sio leo wala kesho, na wala haitakuja kutolewa na CDM. Wapiga kura bado hawajaona chama mbadala na hawako tayari kuwakabidhi Nchi nyinyi wakati hata chama kinawashinda kukiendesha.

Baadhi ya Watu ambao hamkusoma FALSAFA mna matatizo kweli kweli...CCM itafika siku ITANG'OKA lakini sio leo wala kesho...Hapa huna ulichokisema maana hiyo tunaiita Fallacy (maana Everything happens in TIME and SPACE) maana hujatuambia CCM itang'okaje!Au itajing'oa yenyewe??Na kama haitaondolewa na CDM (chama cha siasa chenye nafasi ya kikatiba kufanya hivyo) itaondolewa na JESHI?! Halafu Magamba kwa KUJIFARIJI......!Tehe!
 
Ndugu yangu ya kijijini ndio acha kabisa, usione watu wamejazana ukafikiri ni wapenzi wa chama, hao wanakuja kushangalia helkopta. Ni rahisi sana kubadili mawazo ya watu wanao ishi mjini lakini wa kijijini sio rahisi. Bila shaka wewe huna ndugu kijijini ndio maana unasema haya. Watanzania bado wanachagua mtu kutokana wanavyo shauriwa na mwenyekiti wa kijiji. Usimshangae mbunge wa ccm anae wapigia magoti wapiga kura ndugu yangu, hayo ndio mambo yanayo takiwa kijijini.

Wewe unaongelea vijiji vya mkoa gani huo?Mambo yamebadilika ndiyo maana magamba yanahangahika!
 
Kwenye mkakati wa 3 tunataka kuwawini CUF ili tuone kama CDM mtaweza kushindana na ccm + CUF.
 
My response in red colour p'se.

well,

There are number of facts.Kwanza ni lazima tukubali kwamba ili umshinde mtu yakupasa uwe one or more steps ahead of him. Mkiwa at per, au chini yake forget it. Sasa ni lazima CDM wajithibitishe kuwa wapo mbele ya CCM in terms of planning, strategies and implementations. Kwa mfano

1. CCM wanajua kwamba kiwango chao cha kukubalika kwa wananchi kimeshuka sana. Wanajua kuwa pia CDM inapanda chati. Hivyo whatever a move they are taking its final aim ni kuwafrustrate, kuwapotezea muda, kuwashushia kiwango cha kukubalika katika jamii na zaidi kuwachanganya wananchi hasa wasio na elimu na wale wa kijijini kwamba CDM ni chama hatari kushika madaraka. Mkumbuke pia kwamba watanzania wanapenda amani na kama wakiambiwa chama hiki ni cha vurugu na mauaji, believe me, ni wale wachache wenye elimu wenye uwezo wa kuchanganua mambo ndio watakao weza kuwasupport. CDM inapaswa kuwa na uwezo wa kuweza ku-counter attach these moves bila kupoteza mwelekeo wake wakujijenga kitaifa.
Nadhani huu ni ushauri mzuri sana. Tunajua hilo tunatakiwa kuongeza tahadhari kama ulivyosema.

2. Kufafanua zaidi ninalosema hapo juu, lolote linaloletwa na CCM, lisipoteze muda wa chama katika kujijenga. Ningeshauri muibue na kuongeza idadi ya figure za kitaifa zinazoweza kuaddress maswala ya kitaifa. Wasiwepo watu wachache wanaokuwa wanang'ara kila siku. Mnapokuwa na watu wengi, ni rahisi kuhakikisha kuwa majukumu yanaendelea katika kila kanda kwa ujenzi wa chama wakati huo huo figure nyingine ziwe zinadeal na attacks za CCM. Mf issue ya Lwakatare inatakiwa iwe addressed simultaneously with party building activities at the grass root level
Hili la wasemaji wengi wa chama limeshafanyiwa kazi. Viongozi wa Kanda sasa wataanza kuwa wasemaji wa kanda na ultimately baadhi yao watakuwa national figures soon. Pili shughuli za ujenzi wa Chama ktk kila kanda na kila jimbo zinaendelea as you advised.

3. On intelligence side, you need more trusted insiders than ever. Strategically mnaweza hata kuhakikisha mna moles wenu kule wanaocheza double agent roles. Since CCM wameamua kuresort kwenye intelligence na vyombo vya dola mnaweza kuwashinda tuu kwa kuempoly advanced intelligence techniques na sio siasa za majukwaani. Mfano kati ya Dec na March ambapo hili swala la Lwakatare limekuwa likipikwa (if at all) insiders wangeweza kuwapa updates. Hii ingewaumbua sana wapinzani wenu.
Kiukweli Chadema ina wanausalama wazuri hata hivyo, ushauri wako wa maboresho hopfully ni ushauri wa kufanyiwa kazi. Thnks. Ni Ukweli kwamba ccm inahangaika sana na kutupandikizia mamluki kwa staili hiyo. Ila tunakula nao sahani moja mpaka sasa. Kama siyo intenligence tusingekuwa hapa tulipo leo. Huko serikalini wala hatuhitaji kuajiri wako wengi sana waliotayari kujitolea kutoa siri za hujuma haramu dhidi ya Chadema na wanasaidia sana kama alivyokwisha kusema Dr Slaa mara kadhaa.

4. Kama nilivyosema awali, CCM wanataka kuwapotezea muda. Mtakuwa mmegundua kuwa mtu mmoja wa CDM akihamia CCM story inakuwa kubwa sana. Dont try to play the same game. You need thousands votes of villagers in Nangurukuru, Masasi, Mto wa Mbu, Nguruka, Biharamulo,Moshi, Pangani, Kondoa, Geita than few people moving from CCM who at the end of the day may not vote at all. Mnahitaji base kubwa sana ya wapiga kura.
We are doing something around that very strategically, hata hivyo, sitaleza in detail maana ntakuwa nawafaidisha hapa.

5.Najua mnao, lakini jitahidi kupata watu wengi zaidi kwenye media. Watu ambao si kwamba wataandika uongo juu yenu, lakini watotoa proper weight kwenye habari zenu hasa kunapokuwa na many hitting headlines.
Noted.

6.Msipoteze sauti yenu mlionza nayo kwenye mabadiliko ya katiba. Msikae kimya katika kusukuma swala zima la maboresho ya wapiga kura. Mnahitaji kuhakikisha kwamba vijana wengi wanajiandikisha na wanapiga kura. Hakikisheni pia siku ambayo watanzani wanatakiwa kufanya maamuzi yatakayo waathiri haiwi siku ya ibada kwa dini yoyote. This is technically important. Angalieni ni wapi mna wapiga kura wengi. Arusha, Moshi, Mbeya, Mwanza, Iringa nk nk. Ikiwa kura inapigwa jumapili, trust me wapo wengi hawatapiga kura. Wapo ambao Ibada zinaanza saa mbili mpaka saa nane, unadhani watapiga kura saa ngapi?
Nakubaliana na wewe hata hivyo, nadhani msisitizo uwe Tume huru ya uchaguzi zaidi kuliko kingine chochote kwa sababu kwenye fair election mpaka sasa ccm wanajua kwamba tutawapiga vizuri sana. Hata hivyo, hilo la kuwaongeza wapiga kura nalo ni muhimu sawia.

7. Hakikisheni mnaandaa wagombea ubunge influential na wenye kukubalika. Hawa waanze sasa kukijenga chama kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi ya chini. Najua kwa sasa wagombea wengi wapo Dar. Ni vyema wakaanza kujenga chama kuanzia kwenye mashina ya maeneo walipotoka.
Correct. Ndivyo ilivyo.

8. Uchaguzi wa mwakani ni muhimu sana kwenu kuliko hata huo wa 2015. Huu ndio utakaoeleza mmekubalikaje Tanzania nzima. Kama hamtafanya vyema, tutayasikia maneno ambayo nimeyasikia sana 'CDM wanafanya vizuri lakini hawajawa tayari kuongoza nchi'. Mpaka sasa mnapaswa muwe mme eyemark watu watakaosimamisha bendera yenu kwenye ngazi za mitaa. Narudia tena kama mkishindwa mwaka mmoja uliobakia utakuwa mgumu sana hasa ukizingatia propaganda za wapinzani wenu.
Nch hakuna uchaguzi usiokuwa na kanuni na unaochezewa rafu kama uchaguzi wa serikali za mitaa. Hata hivyo, next year kitaeleweka tu.
9. Hakikisheni mnakuwa na mawakala wakutosha watakaosimamia kura zenu kwa uaminifu katika uchaguzi wa 2014 na 2015
Nakubaliana na wewe, lakini siyo tu wa kutosha lakini pia wasiohongeka. Siku moja nilikaa kiti kimoja na abiria. Njiani tukazoeana sana halafu akaniambia jinsi alivyokuwa wakala wa NCCR mwaka 1995 na jinsi saa sita usiku alipewa Tsh 300,000?= hela ambayo hajawahi kushika tangu azaliwe. Akapokea na kwenda kulala huku anatetemeka. Saa kumi na mmoja akarudi kituoni kusaini matokeo.
10. Tunafahamu nchi hii inategemea wahisani wa maendeleo. Sijajua how close are you to them lakini kama wakipewa objective analysis ya yanayondelea nchi from opposition point of view wanaweza kuwa na sauti juu ya serikali yetu. At least inaweza kupunguza makali ya vita mnayopitia.

I do think kwamba wanafuatilia kila kitu ndo maana hata kwenye baadhi ya matukio makubwa ya kitaifa wamekuwa wakitoa sauti yao. Hata hivyo, ushauri wako ni murua pia.
Sasa nimeandika kwa haraka na najua kunawezakuwa na some errors and may be no coherence. Please see what you can gather from it. Muhimu ni hii, learn you enemy silently, play smarter than him, of course in all spheres!

Copy to Mwita Maranya, John Mnyika, Crashwise, Joshua Nassari, Halima Mdee, Ruttashobolwa etc
 
View attachment 87331

Husiwe na mtazamo kama huo ndugu hao unaowaona hapo ni baadhi ya Umati wa watu wa Igunga waliohudhuria mkutano ulioitishwa na Viongozi wa Wilaya na kuwakaribisha Kigaila na Waitara, hakuna miongoni mwao alioletwa na fuso wote walikuja kwa mapenzi yao, halafu nikupe taarifa tu Wilayani Igunga DC ameishaitisha mikutano zaidi ya Mitatu hakuna mwananchi aliyehudhuria lakini CDM wakiitisha hata iwe kwa muda wa nusu saa watu nyomi, usijidanganye hali ni mbaya sana kwa upande wa CCM inatakiwa mbadirike sio kuwa na imani kuwa mnapendwa wakati sio.

Mifano hai kama hii yenye picha inasaidia sana kuwaelimisha wenzetu. Taratibu tunafika.
 
Hizi hadhithi mnazo leta ni za kutafuta huruma kutoka kwa wananchi, siasa hizo zilisha pitwa na wakati, wapiga kura hawatazami hayo tena wao wanatazama msimamo wa chama. Kwa jinsi mlivyo leo mkipewa serikali basi kuna wabunge watapewa wizara tatu kutokama na ufinyu wa viongozi. Chama kina wasomi wa kuhesabu na vijana wasio na utaalamu wowote.
 
Mikael P Aweda,

Kama haya yanatendeka nadhani mpaka mwisho wa mwaka mnaweza kuwa na detailed repoti ya kina inayotoa mwelekeo wa chama. Wataalamu wa chama wafanye Monitoring and Evaluation ya program zote za chama periodically (Nadhani mnafanya). This should not be a political evaluation but professional and technical evaluation. Itawasaidia kujua mmefika wapi, mnapungikiwa nini, wapi mna nguvu na wapi mnaudhaifu. Nadhani hii technical/professional monitoring and evaluation ikifanywa pamoja na ile political one itaonesha CDM iko wapi kiuhalisia katika siasa za nchi hii. Itasaidia pia kuonesha kama mikakati mliyonayo inazaa matunda au laa. Msisubiri tathmini za baada ya uchaguzi. Nilisoma hotuba ya Mbowe baada ya uchaguzi wa 2005 nadhani ina mambo mengi mnayopaswa kuyatathmini. I don know why but Im still convinced you have to play more smarter than your counterpart.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom