Sakata la Lwakatare na sababu 2 za uthibitisho wa Mtonyaji Serikalini kuihujumu CHADEMA

mkuu Mikael P Aweda ; kuhusu hili la CCM kubadilika; si rahisi na mimi naweza kusema ni kitu kisichowezekana lakini Hili la CHADEMA kuhujumiwa ni jambo linalowezekana sana maana kwa sasa CCM wamewekeza kwenye kufanya "Nasty politics".

Pia inabidi viongozi na wanachadema kwa ujumla kuwa makini kweli kwa sababu hujuma hizo zinaweza kuratibiwa kwa utaalam mkubwa kweli.
 
Mkuu majebere acha kujidanganya yawezekana hujaenda kijijini kwenu siku nyingi hali huko
ni mbaya,ccm ilitegemea wazee na wanawake,kwa ttarifa yako wazee wengi wamekufa na
wanawake wanawafuata waume zao si unajua vijini wanwake no say kwa waume zao.
 
Huko nyuma ktk moja ya mada zangu JF nilieleza habari nilizoelezwa na mtonyaji wangu Serikalini kwamba kuna mipango mibaya ya kuihujuma chadema ili kuithibiti kabla ya 2015
Nilielezwa kwamba serikali ya JK imepewa kuchagua jambo moja kati ya options 3 kuhusu Chadema ambayo ni;
1) awe tayari kuwapa nchi 2015
2)aisambaratishe Chadema sasa kabla ya 2015 au
3)waibatize ccm kiwe chama kipya kimya kimya ili iendeleze sera za ccm.

Swali ni Je, watafanikiwa kuizuia Chadema kuingia Ikulu 2015. Jibu langu ni Hapana – hawataweza. LET US WAIT AND SEE.
Wasi wasi wangu ni kwamba kama CHADEMA itaingia ikulu hivi ilivyo, nchi itakuwa ni vurugu tupu na nchi inaweza kuyumba.

Kwanini nasema hivi:

1) Chadema kama taasisi haina uongozi imara ndani yake.

Bado viongozi wake hawajajuwana vizuri na hivyo kukosa kutokuaminiana.

Mfano, Naibu katibu mkuu wenu mnamhisi ni pandikizi, Makamo mwenye kiti, yule DR mwingine maarufu Kitila mlishawahi
kumuhusisha na masalia, baadhi ya wabunge mnawatuhumu kuwa wanahujumu chama n.k. In short kuna major reforms inabidi zitoke ndani ya CDM yenyewe kabala ya kuchukua nchi.

2) Idadi ndogo ya wabunge ambayo ikibaki hivi ilivyo CCM wanaweza kuiyumbisha serikali yenu kwa vile hakuna maamuzi ambayo mnaweza kuyapitisha bila ya kuwa na theluthi mbili ya wabunge.

3) Ushirikiano mbaya na vyama vingine vya upinzani, Hili linaweza kuwa pigo kwa vile CDM inajitengenezea maadui wengi na hivyo kukosa support ya vyama vingine vya upinzani.

4) Mfumo inaoutumia CHADEMA katika kudai haki ikwemo maandamano na kupiga makelele. Hii inaweza kuwa cost kama baadhi ya ahadi mlizoziahidi hamtaweza kuzitekeleza.

Nchi itashuhudia historia ya migomo na maandamano isiyokwisha hasa pale ambapo:

a) Maji yaacha kutoka baada ya CDM kuingia madarakani

b) Umeme ukikatika kama ilivyo sasa

c) Mishahara ya watumishi wa serikali isipoongezwa kutokana na matakwa ya watumishi hao

Yaani kwa kifupi inabidi mjirekebishe sana ili angalau 2015 muoneshe sura ya umoja na ukomavui.
 
Kwanini hali hii itokee wakati huu wa JK, mtu aliyetegemewa na Watanzania 80% mwaka 2005 leo nini kimemtokea, je ni kweli Rais wetu ni dhaifu au bado anaangushwa na watendaji wake, je haya ndio matokeo ya kulipa fadhila kwa waliomfikisha ikulu, kwamba hata ukivurunda hauguswi sababu tu ulikuwa upande wake wakati wa campaign?

Ndani ya CCM hakuna wazee wenye hekima ya kuhoji utendaji wa Serikali yao au wote wameridhika na jinsi bwana mkubwa anavyolisongesha gurudumu, ni kweli kila awamu ilikuwa na mapungufu yake lakini mbona mapungufu ya awamu hii yanaelekea kubaya zaidi (kumwaga damu za wasio na hatia)

Nashauri liitishwe kongamano la kitaifa kujadili mustakabali wa Nchi yetu, tuna watu wenye heshima ndani ya jamii yetu Pro.Shivji, General Ulimwengu na wanazuoni wengine bila kuwaacha nyuma wahariri wote, wamiliki wa vyombo vya habari na taasisi za kutetea haki za binadamu kwa pamoja tujadili hiki kinachoendelea ndani ya Nchi yetu, leo katolewa jicho Kibanda kesho hatujui nani atakatwa masikio, kisa tu unaihoji SERIKALI.
 
kama kweli kuna njama chafu zinazofanywa na vyombo vya dola basi taifa linelekea pabaya.
 
Mkuu majebere acha kujidanganya yawezekana hujaenda kijijini kwenu siku nyingi hali huko
ni mbaya,ccm ilitegemea wazee na wanawake,kwa ttarifa yako wazee wengi wamekufa na
wanawake wanawafuata waume zao si unajua vijini wanwake no say kwa waume zao.
Kama ni hivyo basi kwanini M4C wanazunguka huko vijijini kuelimisha/kukampeni. CDM imeshaona kuwa kipigo kitatokea vijijini na ndio sababu za harakati zote hizi. Tatizo lenu nyie mtu akisema kijijini mnafikiri anamaanisha kigamboni.
 
mkuu Mikael P Aweda ; kuhusu hili la CCM kubadilika; si rahisi na mimi naweza kusema ni kitu kisichowezekana lakini Hili la CHADEMA kuhujumiwa ni jambo linalowezekana sana maana kwa sasa CCM wamewekeza kwenye kufanya "Nasty politics".

Pia inabidi viongozi na wanachadema kwa ujumla kuwa makini kweli kwa sababu hujuma hizo zinaweza kuratibiwa kwa utaalam mkubwa kweli.

Wanachofanya Betlehem, siyo kuibadilisha jina ccm bali kuiingiza ccm ktk muungano wa vyama pengine kwa staili ya Kenya. Let us wait and see the move.
 
Wasi wasi wangu ni kwamba kama CHADEMA itaingia ikulu hivi ilivyo, nchi itakuwa ni vurugu tupu na nchi inaweza kuyumba.

Kwanini nasema hivi:

1) Chadema kama taasisi haina uongozi imara ndani yake.

Bado viongozi wake hawajajuwana vizuri na hivyo kukosa kutokuaminiana.

Mfano, Naibu katibu mkuu wenu mnamhisi ni pandikizi, Makamo mwenye kiti, yule DR mwingine maarufu Kitila mlishawahi
kumuhusisha na masalia, baadhi ya wabunge mnawatuhumu kuwa wanahujumu chama n.k. In short kuna major reforms inabidi zitoke ndani ya CDM yenyewe kabala ya kuchukua nchi.

2) Idadi ndogo ya wabunge ambayo ikibaki hivi ilivyo CCM wanaweza kuiyumbisha serikali yenu kwa vile hakuna maamuzi ambayo mnaweza kuyapitisha bila ya kuwa na theluthi mbili ya wabunge.

3) Ushirikiano mbaya na vyama vingine vya upinzani, Hili linaweza kuwa pigo kwa vile CDM inajitengenezea maadui wengi na hivyo kukosa support ya vyama vingine vya upinzani.

4) Mfumo inaoutumia CHADEMA katika kudai haki ikwemo maandamano na kupiga makelele. Hii inaweza kuwa cost kama baadhi ya ahadi mlizoziahidi hamtaweza kuzitekeleza.

Nchi itashuhudia historia ya migomo na maandamano isiyokwisha hasa pale ambapo:

a) Maji yaacha kutoka baada ya CDM kuingia madarakani

b) Umeme ukikatika kama ilivyo sasa

c) Mishahara ya watumishi wa serikali isipoongezwa kutokana na matakwa ya watumishi hao

Yaani kwa kifupi inabidi mjirekebishe sana ili angalau 2015 muoneshe sura ya umoja na ukomavui.
Hapo umenena, na hili ndio jambo wanalo litazama wapiga kura, watu wanaona bora kuwa na serikali uharo kuliko kutokuwa na serikali kabisa. Mzee sitta hakukosea kusema CDM haina kiongozi, wao wenyewe wanalijua hilo. Tuchuke mfano Dr.Slaa, anasifa gani ya kuwa Rais wa hii nchi? watakuja watu humu na kusema kwani JK alikua na sifa gani? Na mimi nawajibu kuwa je tuko tayari kufanya test tena?
 
Wasi wasi wangu ni kwamba kama CHADEMA itaingia ikulu hivi ilivyo, nchi itakuwa ni vurugu tupu na nchi inaweza kuyumba.

Kwanini nasema hivi:

1) Chadema kama taasisi haina uongozi imara ndani yake.

Bado viongozi wake hawajajuwana vizuri na hivyo kukosa kutokuaminiana.

Mfano, Naibu katibu mkuu wenu mnamhisi ni pandikizi, Makamo mwenye kiti, yule DR mwingine maarufu Kitila mlishawahi
kumuhusisha na masalia, baadhi ya wabunge mnawatuhumu kuwa wanahujumu chama n.k. In short kuna major reforms inabidi zitoke ndani ya CDM yenyewe kabala ya kuchukua nchi.

2) Idadi ndogo ya wabunge ambayo ikibaki hivi ilivyo CCM wanaweza kuiyumbisha serikali yenu kwa vile hakuna maamuzi ambayo mnaweza kuyapitisha bila ya kuwa na theluthi mbili ya wabunge.

3) Ushirikiano mbaya na vyama vingine vya upinzani, Hili linaweza kuwa pigo kwa vile CDM inajitengenezea maadui wengi na hivyo kukosa support ya vyama vingine vya upinzani.

4) Mfumo inaoutumia CHADEMA katika kudai haki ikwemo maandamano na kupiga makelele. Hii inaweza kuwa cost kama baadhi ya ahadi mlizoziahidi hamtaweza kuzitekeleza.

Nchi itashuhudia historia ya migomo na maandamano isiyokwisha hasa pale ambapo:

a) Maji yaacha kutoka baada ya CDM kuingia madarakani

b) Umeme ukikatika kama ilivyo sasa

c) Mishahara ya watumishi wa serikali isipoongezwa kutokana na matakwa ya watumishi hao

Yaani kwa kifupi inabidi mjirekebishe sana ili angalau 2015 muoneshe sura ya umoja na ukomavui.

Umeibua mambo mengi na hayana ukweli kwa sababu mengi yanapandikizwa na magazeti ya ccm. Hata hivyo, yako nje ya mada. Kwa leo hoja ni mikakati katili ya ccm dhidi ya Chadema, tufanye nini?
 
Freedom is not free.
Kwa hiyo wanachadema na wanamageuzi wote lazima tulifahamu hilo na kusimama imara kukabiliana na hila zote zinazotengenezwa na ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola.

Si jambo rahisi kwa chama ambacho kimekuwa madarakani kwa zaidi ya nusu karne, kimetumia muda huo kulifanyia taifa hili kila aina ya uhuni, uhalifu na unyonyaji halafu mtu makini utarajie kwamba watakubali kuondoka madarakani kwa urahisi, ni lazima watatumia kila aina ya mbinu na nguvu hata kama ni za haramu, kuhakikisha kwamba wanabaki madarakani.
 
Hapo umenena, na hili ndio jambo wanalo litazama wapiga kura, watu wanaona bora kuwa na serikali uharo kuliko kutokuwa na serikali kabisa. Mzee sitta hakukosea kusema CDM haina kiongozi, wao wenyewe wanalijua hilo. Tuchuke mfano Dr.Slaa, anasifa gani ya kuwa Rais wa hii nchi? watakuja watu humu na kusema kwani JK alikua na sifa gani? Na mimi nawajibu kuwa je tuko tayari kufanya test tena?

"watu wanaona bora kuwa na serikali uharo kuliko kutokuwa na serikali kabisa". Kumbe mnalijua ?
 
Hapo umenena, na hili ndio jambo wanalo litazama wapiga kura, watu wanaona bora kuwa na serikali uharo kuliko kutokuwa na serikali kabisa. Mzee sitta hakukosea kusema CDM haina kiongozi, wao wenyewe wanalijua hilo. Tuchuke mfano Dr.Slaa, anasifa gani ya kuwa Rais wa hii nchi? watakuja watu humu na kusema kwani JK alikua na sifa gani? Na mimi nawajibu kuwa je tuko tayari kufanya test tena?

Mkuu,
mada ya leo ni
Je, ni sawa kuwinda maisha ya viongozi wa upinzani?
Je, ni sawa kubinya demokrasia bungeni?
Je, ccm kujibatiza itawasaidia 2015?
Hayo mawazo yako ya idadi ya viongozi wa chadema tuanzishie thread yake.
 
Kama ni hivyo basi kwanini M4C wanazunguka huko vijijini kuelimisha/kukampeni. CDM imeshaona kuwa kipigo kitatokea vijijini na ndio sababu za harakati zote hizi. Tatizo lenu nyie mtu akisema kijijini mnafikiri anamaanisha kigamboni.

Kwa taarifa yako uelewa wa watu juu CDM ni matunda ya M4C,si unajua "ukitaka kumtawala mwanadamu,
mfanye kuwa mjinga kwa kumnyima elimu" ndicho kilfanywa na serikali ya ccm kwa kuwanyima raia wake
elimu ya uraia. M4C imewatoa watu ujinga kwa kuwapa elimu ya uraia na kuwafanya wajitambue na kutambua
haki zao'
 
Back
Top Bottom