Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Tatizo lenu mnajipa imani kubwa kushika Dola 2015, CDM kweli imepata nguvu lakini bado haikubaliki kama mnavyo taka kuaminisha watanzania. Hizi mbinu tunazo ziona ni maigizo yenu wenyewe ili kuonyesha umma kuwa CCM inataka kuwamaliza kwa sababu CDM ndio chama mbadala. Kundi linalo washabikia ni vijana wafata mkumbo na wengi wao sio wapiga kura bali ni wapiga kelele tu.
CCM itafika wakati itang'oka lakini sio leo wala kesho, na wala haitakuja kutolewa na CDM. Wapiga kura bado hawajaona chama mbadala na hawako tayari kuwakabidhi Nchi nyinyi wakati hata chama kinawashinda kukiendesha.
Mngelijua hilo wasingekaa vikao vya siri kutuhujumu, obviously mtatoka ttu sio hiari NI LAZIMA KAMA VILE MTU KUFA. Msitegemee Usalama wa Taifa kwamba utawabeba, umma wa watz ni kila kitu nakuuliza mtaua waandishi wa habari wangapi, mtazuia mada zetu bungeni mara ngapi? mtazuia maandamano yetu mara ngapi? mtafungia magazeti yanayosema kweli mara ngapi. Mtatengeneza video za kutuchafua mara ngapi? Mtanunua viongozi wasaliti kama Shibuda wangapi??? SAA YA UKOMBOZI NI SASA. Jiandaeni kukimbia nchi kwa udhalimu mlioufanya. Mungu yuko upande wetu tumuogope nani? CCM ni sawa na shetani wafuasi wake ni kimna nani?