Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

Kinacho nishangaza mimi ni vijana wetu wanaojiunga ktk vyama vya siasa hapa TZ. Hawa vijana wenzangu kama kweli wana nia ya dhati ni kukaa kama kikundi na kuanzisha chama chini ya mwembe, hapo watakuwa na sauti moja lakini kukuta Mzee mtei na wenzake wamewekeza ktk chama chao na wewe wanakukaribisha alafu baada ya muda unataka uwe na sauti eti kuwazidi walio kukaribisha ktk chama chao? hilo haliwezekani.

Nashauri vijana kama akina zitto, kafulila, nape na wengine, kama kweli tunataka tuwe na chama chetu ni kuanzisha chama cha vijana wa Tanzania bila kuegemea chama cho chote kilichopo na tukisajiri, hapo tutaweza kuwa na sauti na mapambano ya kweli.


Now you are talking...
 
Ni vizuri zingepatikana na hizo hoja/makosa ya huyo Kafulila hapa jamvini zipimwe katika mizani kuona ukweli na haki ipo wapi.Vinginevyo if he is real a traitor he worth to be chased kabla hajaambukiza wengine virusi.
 
Yale yaleeeeeeeeeeee
Hivi vyama vya upinzani vya Tanzania vinachangia tuchelewe kurudi nyumbani...muda huu CCM inalega lega baada ya kujiimarisha ndo kwanza fimbo mkononi,tutafika kweli?

"Nilishasema Tanzania hatuna vyama vya upinzani hamuelewi?.Ni kwamba ili tufuate sera za magharibi na matakwa ya IFM na Bank ya dunia sisiemu ilibidi waanzishe tuvyama watuite vyama vya upinzani lakini kiundani ni sisiemu.Ndiyo maana viongozi wa upinzani wakienda vizuri wakakaribia patamu wanavurugana.Kumbuka ya mrema waliyoenda vizuri sana wakakaribia kuungana na kuwa chama kimoja mrema alikataa na akapinga vibaya mno, sasa presha inapanda na inashuka.Pili ebu angalia kama wangekuwa makini, wakati sisiemu imegawanyika ndo mda mzuri wa kuwapiku,sasa chadema ndo wanapigana chini.Kenya waliwezaje kuondoa chama tawala, sisi katika kugawanyika kwa wanachama, sisi tulie tu hatuna vyama vya upinzani.
 
Mzee Mtei ni mwanachama wa JF, anajua kinachoendelea. Matumaini yetu wanaCHADEMA ni kuwa busara ileile aliyoitumia na wazee wenzake wakati wa uchaguzi mkuu wa chama itatumika kipindi hiki kuepusha fukuza fukuza. My worry, Kafulila asijekuwa wale wanasiasa ambao kwao nje ya siasa hakuna maisha.
 
Jamani, naona shutuma dhidi ya bwana David zinazidi, Je kwanini kama shutuma zipo wazi Mwenyekiti aliitisha kikao kisicho rasmi Dodoma kumjadili? Kwanini Mwenyekiti asiitishe vikao rasmi?, kama aliitisha basi sina taabu na mwenyekiti.
 
safi sana wakuu yaani nimeipenda sana hii
we fukuza tu kama hawana adabu, wanavujisha siri
 
Nani hapa ana uthibitisho kuwa Kafulila anatoa siri za chama, zipi hizo alizowahi kutoa?

Pili what if anayosimamia Kafulila yapo sahihi na Mbowe yuko wrong, kumbukeni Chacham He was innocent!

Inakuwaje katibu msaidizi wa Chama (Zitto Kabwe ) asijue hii ishu?

Jamani mpaka saa hizi mnakubali kuwa mna chama???

mmefulia

To hell Chadema!!!!!!!!!

==========================================
Very lowly, this one. Can you prove kwamba Wangwe alikuwa innocen, my friend? All what I know ni kwamba Wangwe alikuwa amekwenda kinyume na norms za chama kama akina Sophia Simba wanavyofanya sasa hivi. Period
 
Zitto alisema humu hakuna atakayefukuzwa.

Mimi nasisitiza kuwa kufukuza mwanachama sio sahii ila kumuondoa kwenye uongozi ni sahihi especially tatizo ikiwa ni kutofautiana misimamo au mtazamo. Ila kama ana makosa kama ya kuvujisha siri basi VIKAO HALALI VIKAE NA KUONYWA, akizidi wamfukuze.

Ila Chadema mmmhhhh!

Kafulila amezungumza na waandishi leo. Amesema kwamba hakufukuzwa uanachama ili uteuzi wake wa kuwa Afisa Habari wa chama umetenguliwa na sekretariati ya chama ambayo ilifanya kikao chake leo; Dr Slaa akiwa Mwenyekiti wa Kikao.

.......ndiyohiyo
 
Kinacho nishangaza mimi ni vijana wetu wanaojiunga ktk vyama vya siasa hapa TZ. Hawa vijana wenzangu kama kweli wana nia ya dhati ni kukaa kama kikundi na kuanzisha chama chini ya mwembe, hapo watakuwa na sauti moja lakini kukuta Mzee mtei na wenzake wamewekeza ktk chama chao na wewe wanakukaribisha alafu baada ya muda unataka uwe na sauti eti kuwazidi walio kukaribisha ktk chama chao? hilo haliwezekani.

Nashauri vijana kama akina zitto, kafulila, nape na wengine, kama kweli tunataka tuwe na chama chetu ni kuanzisha chama cha vijana wa Tanzania bila kuegemea chama cho chote kilichopo na tukisajiri, hapo tutaweza kuwa na sauti na mapambano ya kweli.

KULA TANO BABA, NIMEMWELEZA JANA ZITTO KWENYE POST MOJA , the very same ideas

KWA NINI TUSIANZISHE CHAMA CHA VIJANA kitakacho hit kila kona na kuleta mwanga na matumaini ya kizazi hiki na kijacho

why kung'ang'ania chama kinachoongozwa kwa misingi ya CCM na uzee uzee, vimekaa ki NGO NGO, familia familia, n.k

Vijana ni taifa la leo na ndio tuko wengi

Magezi that idea is superb
 
Nani hapa ana uthibitisho kuwa Kafulila anatoa siri za chama, zipi hizo alizowahi kutoa?

Pili what if anayosimamia Kafulila yapo sahihi na Mbowe yuko wrong, kumbukeni Chacha He was innocent!

Inakuwaje katibu msaidizi wa Chama (Zitto Kabwe ) asijue hii ishu?

Jamani mpaka saa hizi mnakubali kuwa mna chama???

Mnapokuja na hoja dhaifu za 'aende' jamani kumbukeni kila siku mnapiga kelele kuhusu CCM!, nyie wana CHADEMA pona yenu ni kuweka uthibitisho wa ubaya wa Kafulila! otherwise soon hiki chama kitabaki historia, ilikuwepo NCCR jamani!

Kwa nini HAMCHUKUI JAPO DAKIKA KUFIKIRI KABLA YA KUWEKA USHABIKI NA UTETEZI MBELE?? mtaja ubuka jamani, post hizi zitabaki ushahidi siku zote

Mbowe amekaa chni na Kafulila mara ngapi,lini amepewa barua za onyo, lini kaonywa na kamati ya maadili ya chama, JE Kafulila amejieleza na kujitetea kwa madai yaliyoelekezwa kwake??

Mswali haya yasipoulizwa na kujibiwa something wrong, naanza kupata wasiwasi washabiki na wapenzi wengi wa Mbowe ni wadumavu wa akili, na wameweka maslahi mbele kuliko ya taifa, kwani ni tusibaki na CCM angalau basi hakuna ufamilia wala

mmefulia

To hell Chadema!!!!!!!!!

Hiyo font kubwa kama vile unataka kuua mtu?! mweeee, hasira zote hizi za nini?
 
CHADEMA walichelewa sana kumfukuza huyu David Kafulila! Ni Sumu kwenye chama

Tena sumu mbaya kabisa ya kuua hata mbu wanaoingia ndani ya chumba. Yaani alikuwa kaanzisha chama chake ndani ya chadema?!?!
 
==========================================
Very lowly, this one. Can you prove kwamba Wangwe alikuwa innocen, my friend? All what I know ni kwamba Wangwe alikuwa amekwenda kinyume na norms za chama kama akina Sophia Simba wanavyofanya sasa hivi. Period

Very low kwako, umekisoma kitabu cha Wangwe wewe? nani asiyejua alikuwa threat kwa Mbowe, wenyewe Chaema wamekiri humu, muulize Zitto na Asha, kuwa alizushiwa , humu humu kwenye hili jamvi

Zitto alimwomba msamaha Wangwe akiwa mochwali, Zito kasema hapa jamvini, kuwa zilikuwa ishu za politics zaidi pale na wakaamua kuzushiana, the same way wanavyomzushia zushia Zitto

leo unasema nini wewe!!!

ukipenda bwana
 
KULA TANO BABA, NIMEMWELEZA JANA ZITTO KWENYE POST MOJA , the very same ideas

KWA NINI TUSIANZISHE CHAMA CHA VIJANA kitakacho hit kila kona na kuleta mwanga na matumaini ya kizazi hiki na kijacho

why kung'ang'ania chama kinachoongozwa kwa misingi ya CCM na uzee uzee, vimekaa ki NGO NGO, familia familia, n.k

Vijana ni taifa la leo na ndio tuko wengi

Magezi that idea is superb

Anzisha chama mkuu, utapata wafuasi kibao tu.
 
Very low kwako, umekisoma kitabu cha Wangwe wewe? nani asiyejua alikuwa threat kwa Mbowe, wenyewe Chaema wamekiri humu, muulize Zitto na Asha, kuwa alizushiwa , humu humu kwenye hili jamvi

Zitto alimwomba msamaha Wangwe akiwa mochwali, Zito kasema hapa jamvini, kuwa zilikuwa ishu za politics zaidi pale na wakaamua kuzushiana, the same way wanavyomzushia zushia Zitto

leo unasema nini wewe!!!

ukipenda bwana

Udaku tu, ulikuwepo wakati hayo yakitokea? Au wewe sasa ndiye msemaji wa Zitto Kabwe?
 
Back
Top Bottom